Kupika au kununua kwa mamantilie

Kupika au kununua kwa mamantilie

Nikiwa na elfu 10 tu naingia tandika pale sokoni nabeba viazi sado elfu 3, ndizi bukoba elfu 3, mihogo elfu 2, viazi vitamu elfu 2.

Naweza kupika kwa siku 4 na vikabaki
Ndizi rost karanga
Ndizi mchemsho
Viazi rost
Viazi mchemsho
Viaz kukaanga/chip - very rarely
Mihogo mchemsho
Mihogo kukaanga
Viazi mchemsho
Viazi kukaanga - very rarely

Yani mimi napika kiasi kwamba bibie anaogopa kuja kunisalimia, hajui atapika nini kiwe kipya kwangu.

[emoji28][emoji28][emoji28] yeye akija ale aoshe vyombo
 
Bora kupika,

Vyakula vya mabandani basi tu,unakula chakula hakina hata ladha,

Unakunywa chai kama maji yenye uvuguvugu,chai haina hata viungo.
 
For the sake ya usafi wa mlo , bora kujipikia mwenyewe. Nishakula nzi kwenye marage ya chapati, dah . Vitafunwa kama mandazi ,niliwahi kutana na nywele . Kwa kweli sijui ni vingapi nimelishwa na uchafu
 
ni bora upike mwenyewe kama unajua kupika. unaweza kwenda kwa baadhi ya mama ntilie hayo maji tu ya kuoshea vyombo machafu balaa, kuna kisponchi flani kimepiga weusi ambacho anafutia meza hicho hicho kinaenda kwenye beseni kuosha sahani.
muda mwengine unaagiza supu anaileta supu dole gumba limezama kwenye bakuli likiwa na kucha kubwa nyeusi.
yani ni kinyaaa!
 
ni bora upike mwenyewe kama unajua kupika. unaweza kwenda kwa baadhi ya mama ntilie hayo maji tu ya kuoshea vyombo machafu balaa, kuna kisponchi flani kimepiga weusi ambacho anafutia meza hicho hicho kinaenda kwenye beseni kuosha sahani.
muda mwengine unaagiza supu anaileta supu dole gumba limezama kwenye bakuli likiwa na kucha kubwa nyeusi.
yani ni kinyaaa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wachafu mno,nilikula wali nikakuta nywele kwenye mchuzi,pika mwenyewe
 
KAMA UNAPENDA KULA CHAKULA BORA NA CHENYE LADHA NZURI LAZIMA UTAJIPIKIA...
 
Bora upike hata kama gharama kuliko kwa mama ntilie
 
Mtafute mmama mstaarabu,awe anakupikia special binafsi nilishindwa kula michuzi michuzi ile.

Nikatafuta Mdada nikaongeza Bei kidogo from Kutoka Bei yake,nikampa advance ya nusu mwezi akawa ananipikia ananiwekea kwa hot pots zangu nafika nakula home

nikagundua anachopikiwa mumewe ni tofauti na anachotuuzia sisi na nikizuri.nikaokoa muda na Fedha.
 
Mtafute mmama mstaarabu,awe anakupikia special binafsi nilishindwa kula michuzi michuzi ile.

Nikatafuta Mdada nikaongeza Bei kidogo from Kutoka Bei yake,nikampa advance ya nusu mwezi akawa ananipikia ananiwekea kwa hot pots zangu nafika nakula home

nikagundua anachopikiwa mumewe ni tofauti na anachotuuzia sisi na nikizuri.nikaokoa muda na Fedha.
kuwa makini,hii ni sawa n kutembea na muwa kama mkongojo,[emoji23]
 
Ukiwa na fridge,
Hio 150,000/- kwa mwezi unakula kifalme sanaaaa,

Mchele kg 10 25k
Nyama kg 3 21k
Kuku 2. 14k
Nyanya. 5k
Mafuta litre. 4k
Kiungo cha pilau 3k
Vitunguu & co. 5k
Gas 20/5months. 4k
Mboga majani. 3k
Njegere 3k
Sabuni. 1k

Total. 90k, na hapo utakula msosi mwingi sana wa kushiba, nyama utakula nyingi sio kama za mgahawani 2, pia utapata kiporo utakula milo mitatu per day,

Btw nunua rice cooker kupunguza kazi ya ku adjust gas na kusave time
hii ni plan ya ni kwaajili Mwanaume Kamili pekee.
Mwanaume wa Dar hawezi hizo mambo, kwanza hajui wala hawezi kupika chakula chochote hata chai tu,

So hii plan mujarabu ni kwa wanaume Kamili pekee ndio wanaiweza.

we check, sasa kama kuosha vyombo huwez, ataeweza kufua nguo zake kweli au kushave vizur kweli?

wanaume wa dar bana, we check hata ndoa zao, iliyodumu sanaa ni miezi 10 lakini baada ya hapo ni kunkurunkankara...... wanaenda kupigania bar, standi ya daladala au sokoni....
 
Kupika au kujipikia ikiwa unaishi gheto itakusaidia kusave hela Kama unaweza pata chakula Cha mwezi ambacho ni

Mchele kg 15
Unga kg 10
Sukari kg 1

Gas 25k

So hapo ukiwa na 150k inakutosha kula chakula Cha kushiba na kuujenga mwili . Kama upo DSM chakula sio Bei ghali Sana .


Then hata Kama hauna hel ila ukiwa na CHAKULA ndani itakuongezea utulivu mkubwa Sana.
 
Binafsi wiki ya Kwanza nilivyoanza chuo (Boom)lilikuwa bado, so nikawa nakula kwa Mama ntilie. Chakula KIBAYA kibichi, alafu ni distance na usumbufu, yaan sehem ambayo ni affordable ni mbali ukilinganisha na nilipopanga.

Nikaamua kununua GAS, muda huo hata sufuria sina.

Nikafos nikanunua kila kitu cha jikon, semester ya Pili nikavuta kifirji cha HITACHI. vile vya mlango mmoja.

Nikawa nanunua KUKU wa kutosha nawajaza humo na mazaga zaga mengine.

Trust me utakula vzr sana pia nikavuta trey za mayai.. nikiwa nataka mboga EXPRESS nagonga mayai yangu manne na kitunguu + nyanya natafuta kiporo cha wali kilipo tyr msosi.
 
Ukiwa na fridge,
Hio 150,000/- kwa mwezi unakula kifalme sanaaaa,

Mchele kg 10 25k
Nyama kg 3 21k
Kuku 2. 14k
Nyanya. 5k
Mafuta litre. 4k
Kiungo cha pilau 3k
Vitunguu & co. 5k
Gas 20/5months. 4k
Mboga majani. 3k
Njegere 3k
Sabuni. 1k

Total. 90k, na hapo utakula msosi mwingi sana wa kushiba, nyama utakula nyingi sio kama za mgahawani 2, pia utapata kiporo utakula milo mitatu per day,

Btw nunua rice cooker kupunguza kazi ya ku adjust gas na kusave time
We jamaa utafika mbali uko vizuri
 
Back
Top Bottom