Kupika au kununua kwa mamantilie

Kupika au kununua kwa mamantilie

Kupika ununue Mchele, mafuta,chumvi, mkaa, kiberiti, maji, kitunguu, karoti, hoho bado ukae kuchoche moto kutwa nzima😄
Unatumia chumvi pakti Moja kwa mlo mmoja?

Unatumia mafuta Lita Moja kwa mlo mmoja?

Unatumia kiberiti kimoja kwa mara Moja.

Unatumia mkaa wa elfu 5 kwa mara Moja?
 
Wanaosema Tatizo ni Muda bado tu hawajaamua...Ila kupika kuna Raha yake hasa kama unajua kupika..Kuna Majiko na Tech inakua kwa kasi sana
Rice cooker,Ugali cooker,Chapati,Maandazi na baking aina zote Oven..Maharage,Nyama, kuna Inductor la kioo linaivisha ndani ya sekunde na wala sio bei sana 40k unapata la plate moja

Gesi mtungi mdogo wa Akiba Umeme wa Tanesco hautabiriki..Chai unachesha na Heater chap yani kama ni mtu unaezingatia Muda na Afya basi kupika ni bora mara 100 zaidi ya kununua kwa Mamantilie

Ila kama Unathamini Kazi na kuacha AFYA nyuma basi utaona kununua ni bora
 
Wakuu wasalaam.

Moja kwa moja kwenye mada.

Ikiwa unaishi mwenyewe ghetto, ipi nafuu kati ya kujipikia mwenyewe au kununua chakula kwa mama~ntilie/ mgahawani.

Ukizingatia muhusika na mwanachuo ambaye bado kiuchumi anajitafuta.

Nawasilisha
Mkuu utakuwa umejiozesha ndoa ya mkeka ukiruhusu jiko kuwaka ndani ya room yako ya kibachelor.

Mi niliwahi kuoa pre mature kwa visa vya kujipikilisha nikiwa msimbe kama unavotaka kufanya wewe!

Kosa nililolifanya ni kumuomba aje anipikie!

Tulipigiana simu kuoneshana ufunguo ulipo nikiwa kazini, kurudia ebhanaee!

chumba nilikipotea kilivyosafishwa na msosi uliopikwa!

Kesho yake nilikakataa asiondoke na ikawa ndiyo chanzo Cha ndoa yangu ya bila matarajio.

Mwanaume yeyote ukifanyiwa mambo niliyoyataja, lazima 'urogeke', huwa hamna ujanja tena!

Nenda ukale kwa nama ntilie huko, usiruhusu jiko kuwaka ili kujiepusha na ndoa zisizotarajiwa.

Ukianza tu kukarangiza kwa mikono yako huko kwenye mapango, lazima utavamiwa tu kusaidiwa kazi hiyo hata na watu usiowatarajia, ambao kwao hiyo ni fursa!
 
Mkuu utakuwa umejiozesha ndoa ya mkeka ukiruhusu jiko kuwaka ndani ya room yako ya kibachelor.

Mi niliwahi kuoa pre mature kwa visa vya kujipikilisha nikiwa msimbe kama unavotaka kufanya wewe!

Kosa nililolifanya ni kumuomba aje anipikie!

Tulipigiana simu kuoneshana ufunguo ulipo nikiwa kazini, kurudia ebhanaee!

chumba nilikipotea kilivyosafishwa na msosi uliopikwa!

Kesho yake nilikakataa asiondoke na ikawa ndiyo chanzo Cha ndoa yangu ya bila matarajio.

Mwanaume yeyote ukifanyiwa mambo niliyoyataja, lazima 'urogeke', huwa hamna ujanja tena!

Nenda ukale kwa nama ntilie huko, usiruhusu jiko kuwaka ili kujiepusha na ndoa zisizotarajiwa.

Ukianza tu kukarangiza kwa mikono yako huko kwenye mapango, lazima utavamiwa tu kusaidiwa kazi hiyo hata na watu usiowatarajia, ambao kwao hiyo ni fursa!
Oyaaa,hii naichukua
 
Nyie[emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona mnatusema sana, usafi ni muhimu kwenye hii biashara,

Kuna mmoja hapa jirani sufuria la wali wa jana kalifuta na kitambaa kwa nje na kupikia tena bila kuliosha[emoji23][emoji23]
Usikute mshirikina huyo.
 
Back
Top Bottom