Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Shule zingine Zina walimu wa kutosha ila hawana mbinu za kiufundishaji, walimu wanafundisha kimazoea huku miyoni wajaa husdaNi mfumo tuu wa kutoa matokeo ,D mbili na F zote hazina tofauti yeyote na wastani wa D, tatizo kubwa shule hazina walimu wa kutosha