Kupitia mimi nimejifunza kitu kikubwa sana kuhusu hili jambo. Usioe mwanamke mwenye mtoto

K ni K tu muhimu ulikuwa unatoa Matumizi na uroda mnakula wote
 
Mwamba unajisifu kabisa kwamba unapiga malaya
 
Watu weengi sana humu hata mama zao wa kuwazaa ni wasimbe tena watoto kuanzia 7 na baba zao sita....ila utakuta eti anadiss single maza me I never do that japo sio single maza na wala sjalelewa na single maza
Nice
 
Mleta mada ulicho ongea ni ukweli mchungu mm mwenyewe ni mashahidi hawa viumbe km ulizaa nao na ukawa hamna bifu kali kula mzigo ni ww tu hatakunyima utasikia sasa nikunyime ya mn wakati sioni kwa nn nikunyime sometine yy ndo anaoomba game.
 
Very stupid!! Alafu hana hata haya, anakuja hapa kujivunia upuuzi wake.😏
Hajivunii upuuzi, anashangaa kuona kwamba kuna watu wenye akili wengine wanaoweza ku entertain upuuzi wake. Kama hao wanawake wana akili kwanini wana entertain upuuzi wake..?
 
Single mother kacharuka
 
Umeongea ukweli uliopo japo sio busara kuleta hoja za kukera watu wengine hapa jukwaani mwisho wa kugonga mke wa mtu huwa ni mbaya siku zote mafuta yanakuhusu au kuvimbishwa huko chini acha hizo mambo
Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.

UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
 
Bora hawaa usikutane na waliotoaa mimba ujanani MKUU HATA huyo mtoto utasikia kwa puaa
 
Hajivunii upuuzi, anashangaa kuona kwamba kuna watu wenye akili wengine wanaoweza ku entertain upuuzi wake. Kama hao wanawake wana akili kwanini wana entertain upuuzi wake..?
That's why I said yeye na hao wanawake wote ni wapuuzi on my first comment.
 
Kuna muda huwa nawapa point zote 3 team KATAA NDOA!...Yaani hawa tunaowaita wake zetu kuna mafala wanawaita mademu zao kudadeki!yaan mkeo ni demu wa kajamaa fulani kakinyozi,inaumiza ila hakuna namna
 
That's why I said yeye na hao wanawake wote ni wapuuzi on my first comment.
Hiyo ndio iko hivyo, yaani wanashiriki wote kufanya ujinga halafu yeye anajiona mjanja.

Huyo ndio mjinga maradufu, yaani mjinga halafu hajui kwamba ni mjinga, anajiona mjanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…