Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Chizi Maarifa ungemaliza kwa kusema oeni at your own risk.
Maana kuna watu ni matomaso kama mimi vile, pamoja na shuhuda zote hizi bado unaweza kuta nikaoa singo maza. Wengine tuna kusikia kwa kenge 😂😂.
Maana kuna watu ni matomaso kama mimi vile, pamoja na shuhuda zote hizi bado unaweza kuta nikaoa singo maza. Wengine tuna kusikia kwa kenge 😂😂.