Kupitia mimi nimejifunza kitu kikubwa sana kuhusu hili jambo. Usioe mwanamke mwenye mtoto

Inatia sana kinyaa 🤮🤮🤮 kuoa mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwingine

Katoto/vitoto vyake kila ukiviangalia unakumbuka ni shahawa za mwanaume mwenzangu

Ni mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeoa mwanamke aliyezalishwa
 
Unamsifia Rais haraf unaleta mada ya kitoto vile, ausee, huyo Rais tumebebesha mizigo kwel kwel
 
Siku ukifumaniwa na mmoja wa wa mume wa hao wanawake utuletee mrejesho utakachofanywa
 
Mwanamke umezaa nae Sawa.. lakini analiwa na mwanaume mwingine, mtoto unapangiwa siku ya kumuona au unaweza usimuone kabisa mpaka aje kukutafuta mwenyewe mwanaume ambae yupo na mwanamke wako pia anaweza fanyia mtoto wako chochote na usijue..

Kama kweli uliyoyasema yanatendeka Ni kwamba mwanamke hamoendi huyo mwamba ambae Yuko nae..

Mimi ninae huyu single Mama.. [emoji23][emoji23][emoji23] mtoto Jina nimetoa Mimi.. akataka amfiche babae kwamba mimba alitoa ili awe wangu mazima.. nikakataa maana kiimani kwangu haijakaa sawa

Sasa kilichopo Mimi ndo ninae amua Kila kitu jamaa amejiaminisha hivyo kama wewe anatuma sana meseji.. simu pia anapiga sana tokea Manzi anamimba mpaka kajifungua Niko nae mtoto pia Niko nae hajawahi kwenda Kwao wala nini zaidi ya mara mbili akiwa ukweni ambapo na Mimi nilikuwepo pia[emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa kifupi.. usidhani kwamba mimba ndio tiketi ya kufanya lolote Kwa mwanamke..

Kitu pekee kitakacho kufanya uwe na nafasi ya kumlala ni treatment nzuri uliyompa ambayo hawezi ipata mwingine.. sio mimba bwashee sukuhizi mimba sio nshu tena imekuwa kama vile Bikra ilivyokuwa haina nshu tena
 
Kaka pole sana, hao wanawake ukidhani unawajua ndo unakuja kujua kwamba huwajui kabisa. Usije kusema hatukukwambia.
 
Nyie wote mpo hivyo hivyo.
 
Wakati kuna vibinti kibao vya 2006 ambavyo vimefikisha 18yo
Eti mtu anaenda oa mke wa mtu.

Mi hata nikitaka zaa nitazaa na ambaye hajawahi zalishwa
Umesema vyema

Kuoa single maza ni kujiunga familia ya mwanamume mwingine. Hii ni dharau sana

Mwanamume anatakiwa aanzishe familia yake sio kujiunga familia ya mwanamume mwenzake
 
Dah kwahyo wanaivundika au sio??hahahahahhahahahahaha nmecheka sana aisee
 
Ukizingatia rais wetu ni mwanamke, bila shaka mnaelewana sana, si kwa kumtaja kiasi hicho.
Utapata malipi yako kwa kadiri ya matendo yako.
 
Ukizingatia rais wetu ni mwanamke, bila shaka mnaelewana sana, si kwa kumtaja kiasi hicho.
Utapata malipi yako kwa kadiri ya matendo yako.
Rais wenu mwanamke. We unamjua nmemtaja rais gani? Na ana jinsia gani? Nyue kwa nini huwa hampendi Elimu?
 
Huna lolote unajitutumua tuuu....we ni mzinzi umezaa na wazinzi wenzio halafu wote maskin wenzio nyoko wewe

😀usichukie ni storry ya kutunga hio.
Nb: Na mimi nilichogundua jiwe lilitupwa gizani hatimae limempata mtu.
uwiiiiiii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…