Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili

Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili

Nadhani yu hai ila kajificha places.
Salman Rushdie is currently living in New York. He was the victim of a knife attack in August 2022 while giving a speech in Chautauqua, New York. He has since recovered and made public appearances, including at the PEN America gala in New York.
What happened to Salman Rushdie?
Rushdie was stabbed 12 times in the neck and abdomen by a Muslim man.
He lost sight in one eye and the use of one hand.
He spent six weeks in the hospital.
He has said that he feels the presence of death more, but doesn't feel like a different person.
What has Salman Rushdie done since the attack?
He released the novel Victory City in 2023.
He released the memoir Knife: Meditations After an Attempted Murder in 2024.
He made an in-person appearance at the PEN America gala in New York.
 
Huwa haiishagi.Adui wa milele.No mercy!
Salman Rushdie kwa sasa anaishi New York. Alikuwa mwathirika wa shambulio la kisu mnamo Agosti 2022 alipokuwa akitoa hotuba huko Chautauqua, New York. Tangu wakati huo amepona na kuonekana hadharani, ikiwa ni pamoja na kwenye tamasha la PEN America huko New York.
Nini kilimtokea Salman Rushdie?
Rushdie alidungwa kisu mara 12 shingoni na tumboni na mwanaume Mwislamu.
Alipoteza kuona katika jicho moja na matumizi ya mkono mmoja.
Alitumia wiki sita hospitalini.
Alisema anahisi uwepo wa kifo zaidi, lakini hajisikii kama mtu tofauti.
Salman Rushdie amefanya nini tangu shambulio hilo?
Alitoa riwaya ya Victory City mnamo 2023.
Alitoa kisu cha kumbukumbu: Tafakari Baada ya Jaribio la Mauaji mnamo 2024.
Alionekana ana kwa ana kwenye tamasha la PEN America huko New York
 
Salman Rushdie is currently living in New York. He was the victim of a knife attack in August 2022 while giving a speech in Chautauqua, New York. He has since recovered and made public appearances, including at the PEN America gala in New York.
What happened to Salman Rushdie?
Rushdie was stabbed 12 times in the neck and abdomen by a Muslim man.
He lost sight in one eye and the use of one hand.
He spent six weeks in the hospital.
He has said that he feels the presence of death more, but doesn't feel like a different person.
What has Salman Rushdie done since the attack?
He released the novel Victory City in 2023.
He released the memoir Knife: Meditations After an Attempted Murder in 2024.
He made an in-person appearance at the PEN America gala in New York.
We have the "new borns" who do not know who's Suleiman Rushidie!
 
Salman Rushdie kwa sasa anaishi New York. Alikuwa mwathirika wa shambulio la kisu mnamo Agosti 2022 alipokuwa akitoa hotuba huko Chautauqua, New York. Tangu wakati huo amepona na kuonekana hadharani, ikiwa ni pamoja na kwenye tamasha la PEN America huko New York.
Nini kilimtokea Salman Rushdie?
Rushdie alidungwa kisu mara 12 shingoni na tumboni na mwanaume Mwislamu.
Alipoteza kuona katika jicho moja na matumizi ya mkono mmoja.
Alitumia wiki sita hospitalini.
Alisema anahisi uwepo wa kifo zaidi, lakini hajisikii kama mtu tofauti.
Salman Rushdie amefanya nini tangu shambulio hilo?
Alitoa riwaya ya Victory City mnamo 2023.
Alitoa kisu cha kumbukumbu: Tafakari Baada ya Jaribio la Mauaji mnamo 2024.
Alionekana ana kwa ana kwenye tamasha la PEN America huko New York
Tuisheni ya kwa Ras imenisaidia sana.
 
Victims wa ndoa za aina hii ni wasichana wadogo wa kutoka familia za masikini. Njaa zitawafanya wazee wasio na akili kuuza binti zao wakabakwe
 
Have to "puff...puff..puff" and pass the story to the "new ones"!
Wamemla 👁 (sio lile la shetani😀)
230213_r41865.jpg
Salman_Rushdie,_2024.jpg
Salman-Rushdie-10762.jpg
 
Kataa dini.
Dini inakufanya uonekane una upungufu wa akili.
Dini inapumbaza, inakupa matumaini hewa, inafanya uamini mambo ya kitoto kwa kukujaza hofu.
 
Hawa waislamu wa uarabuni kwa kweli wanawaza ngono tu. Enzi za Muddy na enzi hizi zi sawasawa.
Imagine Muddy:
  • Alioa mshangazi (tuassume alikuwa ameona nafasi ya kujikuza kiuchumi, maana mshangazi ule ulikuwa na mali)
  • Akaoa katoto ka miaka sita, akaanza kukaingilia kakiwa na miaka 9.
  • Akaoa wanawake wengine zaidi ya kumi.
  • Akaoa mtalaka wa mwanae wa kumlea!
  • Akanyonya mpaka ndimi za mjukuu wake Hassan. (Siku hizi wanazuga eti alikuwa anashow love kwa wajukuu)
  • Akawadanganya wale wapigana vita wake eti mungu atawapa mabikira 72 (Jamaa ni PIMP kabisa huyu, anaahidi ngono tu)
  • Akawaingilia kingono mateka wa vita, akigawana yeye na genge lake la wapiganaji..

Uchafu ni mwingi alifanya, kiasi kwamba mi hujiuliza wtf was wrong with that man?

Leo hii tunapoona waislamu wa Karne ya 21 wanafanya mambo ya kipunguani, tunapaswa pia kukumbuka idol wao wa upunguani alikuwa mtu wa namna gani..
Mbantu unapomtetea Muddy kisa tu 'imani', unadhihirisha upo kwenye utumwa wa kitamaduni na u punguani kama hii miarabu.
 
Hatimaye bunge la Iraq limepitisha rasmi sheria ya ndoa kuwa miaka 9.. Kwamba mtoto wa kike akifikisha miaka tisa basi ni ruhusa kuolewa
Ndoa ninini!? Wengine watakwambia ni ndoano.. Lakini ndoa ni mapatano/makubaliano ya kuishi pamoja watu wa jinsia mbili tofauti kama mke na mume kwa muktadha wa kujenga familia na kuzaa watoto .. Na ni lazima ziwepo hisia na natamanio ya upendo na kupendana.. Na kikubwa kuliko yote.. Wote wawe na uwezo wa kufanya ngono
Baada ya hapo ndio yanafuata majukumu mengine ya kifamilia

Ndoa inahitaji upevu na ukomavu wa akili lakini pia upevu na ukomavu wa mwili..
Je mtoto wa miaka tisa kakomaa kimwili?
Je mtoto wa miaka tisa keshapevuka kiakili
Je mtoto wa miaka tisa keshavunja ungo kiasi cha via vyake vya uzazi kuruhusu kuingiliwa kingono?
Je mtoto wa miaka tisa anajua maana ya ndoa na majukumu yake yote?

Ndoa ni tendo la hiari katika ulazima wake.. Ndio ma a na siku ya kufunga harusi wahusika huulizwa kama wamekubali.. Mtoto wa miaka tisa ambaye hajajua vema hata kufua chupi na kujiswafi unawezaje kumbembesha jukumu zito kama hilo?
Huo ni ubakwaji
Huko ni kubemendwa
Huo ni utumwa wa kingono
Huko ni kuvunja haki za msingi za binadamu na za mtoto wa kike
Huko ni kufisha na kuua kabisa ndoto zao maishani maana ndoa ni gereza kwa wasiojua maana ya ndoa
Iraq kwenye hili imekengeuka haki na ustawi wa uumbaji na furaha na afya ya akili na mwili kwa mtoto wa kike! IKEMEWE..!

Akili za mudi people.
 
Hatimaye bunge la Iraq limepitisha rasmi sheria ya ndoa kuwa miaka 9.. Kwamba mtoto wa kike akifikisha miaka tisa basi ni ruhusa kuolewa
Ndoa ninini!? Wengine watakwambia ni ndoano.. Lakini ndoa ni mapatano/makubaliano ya kuishi pamoja watu wa jinsia mbili tofauti kama mke na mume kwa muktadha wa kujenga familia na kuzaa watoto .. Na ni lazima ziwepo hisia na natamanio ya upendo na kupendana.. Na kikubwa kuliko yote.. Wote wawe na uwezo wa kufanya ngono
Baada ya hapo ndio yanafuata majukumu mengine ya kifamilia

Ndoa inahitaji upevu na ukomavu wa akili lakini pia upevu na ukomavu wa mwili..
Je mtoto wa miaka tisa kakomaa kimwili?
Je mtoto wa miaka tisa keshapevuka kiakili
Je mtoto wa miaka tisa keshavunja ungo kiasi cha via vyake vya uzazi kuruhusu kuingiliwa kingono?
Je mtoto wa miaka tisa anajua maana ya ndoa na majukumu yake yote?

Ndoa ni tendo la hiari katika ulazima wake.. Ndio ma a na siku ya kufunga harusi wahusika huulizwa kama wamekubali.. Mtoto wa miaka tisa ambaye hajajua vema hata kufua chupi na kujiswafi unawezaje kumbembesha jukumu zito kama hilo?
Huo ni ubakwaji
Huko ni kubemendwa
Huo ni utumwa wa kingono
Huko ni kuvunja haki za msingi za binadamu na za mtoto wa kike
Huko ni kufisha na kuua kabisa ndoto zao maishani maana ndoa ni gereza kwa wasiojua maana ya ndoa
Iraq kwenye hili imekengeuka haki na ustawi wa uumbaji na furaha na afya ya akili na mwili kwa mtoto wa kike! IKEMEWE..!
Wavaa kibazi apo wamepuyanga...watakwambia ni maagizo ya Maswahaba
 
Back
Top Bottom