Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili

Hilo limtume lao sidhani kama lilikua zima kichwani.
 
Mudy alishindikana kwenye ngono za kila aina unazojua wewe
 
Lakini kuwabaka na kuwanajisi vitoto vya miaka 5 ple vatican ni sawa?
 
Lakini kuwabaka na kuwanajisi vitoto vya miaka 5 ple vatican ni sawa?
Siyo sawa ndo maana ni kosa. Kubaka ni kosa hivyo anayebaka anashtakiwa, kwahiyo hata kunajisi na kubaka vitoto vya miaka 9 ni kosa pia. Muhammad alistahili kushtakiwa kama hao wa Vatican,
 
Siyo sawa ndo maana ni kosa. Kubaka ni kosa hivyo anayebaka anashtakiwa, kwahiyo hata kunajisi na kubaka vitoto vya miaka 9 ni kosa pia. Muhammad alistahili kushtakiwa kama hao wa Vatican,
"Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu"
 
Ukiona mtu yoyote anatamani mtoto mdogo ujue ana matatizo ya akili, mtu mzima huwezi tamani mtoto wa miaka 9
 

Kwanza waIraq si waarabu. Halafu pili si kila mila na desturi za wengine ni mbaya. Zingine sawa, mfano kuzuia ukeketaji, kuzuia uchomaji misitu na uoto nk. Lakini hili la kywaozesha watoto wa miaka 9, ni kichaa tu ndiye anayeweza kulikubalia. Hayo mawazo ya kusema mtoto wa miaka 9 Iraq ni sawa na wa miaka 15 Tanzania ni ubovu wa akili. Hata kama wanavunja ungo mapema, haimaanishi ndiyo atakuwa na uwezo wa kuzaa. Pia hata ufahamu na elimu atakuwa bado hajamaliza
 
vipi kupitishà ndoa zà jinsia mojà siyo upungufu wa akili?
 
halafu ukiwakuta kwenye ibada unaweza sema ni malaika wa kule mbinguni waketio na sir god kwenye kiti cha enzi , kumbe?

Wanawaza ngono tu na anasa. Mudi mtu m'badi kweli. Eti anawadanganya kwamba peponi kila mmoja atamiliki dangulo lake lililo sheheni mabikira 72. Bila kusahau mito ya pombe.
Siku zote najiuliza, wanawake watakabidhiwa nini?
 
Wafuga midevu wanaofuata Mila za mwarabu wakikusikia tutakoma. Maana husema bwana yule aliyeleta kitabu "kilichoshushwa"😉😉 naye alifanya vivyo hivyo. Ila wanataka kuoa vitoto vya wenzao vya kwao wanasema bado mdogo anasoma. Onhopa Sana midume inayoviita vitoto vyako uncle
 
Sijaona comment yoyote ya Bibi mlezi FaizaFoxy aki kemea suala hili hii ni ****anisha kua ana unga mkono suala hili
 
Kama Allah tu mwenyewe hana akili, unaategemea wafuasi wake watakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…