Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili

Nimekaa hapa namuangalia bint yangu wa miaka 10 mpka machozi yamenitoka et nakuta mpumbavu kamuoa llloh 🥲🥲🥲
 
Na bado atasimama mwanaume wa miaka 50 kuitetea kwa kisingizio cha dini.
 
Mafundisho mengi ya kiisilamu yanamchukulia mwanamke kama chombo cha ngono.
 
Mkuu wewe na wa Iraq nani wana maarifa zaidi ? Unaweza kuwa mwalimu kwa watu wa Iraq, yaani wewe ujue kuhusu makuzi
kuliko wa Iraq, are you serious ?
Hizo digrii zenu zinawadanganya. Tatueni shida zenu hapa TZ ya waoraq waachieni wenyewe.
Kwani Egypt ni warabu mbona wanaitwa warabu.
Suala la nani mwarabu hio ni mada yingine iweke kipolo jadili hio sheria.
 

Bro hoja yako ni nini? Yaani kwa maarifa yako unaona Iraq wako sahihi kuozesha mtoto wa miaka 9? Yaani mtu wa miaka 9 hata hajakuwa na kupevuka kimwili na kiakili, wewe unaleta siasa kwamba wao wanajua zaidi kuhusu hili. Ni ajabu sana
 
Yaani Waliraq walikubali kumsaliti Sadam Hussein ilo tu waje wapate uhuru wa kuoa vitoto. Aibu kubwa sana
 
Wanawaza ngono tu na anasa. Mudi mtu m'badi kweli. Eti anawadanganya kwamba peponi kila mmoja atamiliki dangulo lake lililo sheheni mabikira 72. Bila kusahau mito ya pombe.
Siku zote najiuliza, wanawake watakabidhiwa nini?
Pepo ya mudi imejaa uchafu wa mishahawa na mimaji ya K na mipombe michafu yaani full kunuka🤣😂😁😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…