Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

Nilijua Siku moja haya majengo mpya yanayojengwa yatakuja kuporomoka hebu angalia distance kati ya jengo na lingine hupati hata mita 3 sasa kitalaam ghorofa lazima liwe na basement sasa basement utaitafutia wapi na wanaacha vichochoro tu
 
Kutokulaaani wanayofanyiwa Wapalestina Ghaza, ndiyo tunaonjeshwa adha yake.
Wewe ni mtu mzima, sometimes usiruhusu mihemuko ya dini ikutawale. Bora utawaliwe na Mungu wako lakini sio dini hautafika popote.

Wapalestina wanaokufa sasa na Wayahudi zaidi ya 1,200 waliokufa Oktoba 7, 2023 roho zao zina thamani ile ile moja kwa aliezitoa.

Sasa wafanye wao huko ukatili wao halafu adhabu wapewe watu wa Kariakoo? Huu si ujinga.

Au kulaani waliyofanyiwa wapalestina au wayahudi kungepunguza nini kwenye ujenzi wa hovyo wa majengo yaliyoporomoka?

Hizi dini zinawageuza vichaa
 
Mpaka sasa miili 3 imetolewa,wapumzike kwa amani
Anaweza akajitokeza tena yule Bibi na kusema kwamba "vifo ni vifo tu" huku akiacha kiini cha msingi kilichosababisha kutokea kwa ajali hii.

Sababu za kutokea kwa ajali hii hasa ni RUSHWA na UZEMBE WA MAKUSUDI kwa baadhi ya Watu fulani fulani.
Vifo vya watu Hawa kamwe havijasababishwa na kudra ya Mungu, Bali ni kutokana na Uzembe na Rushwa!
Ajali hii ilikuwa inaepukika kabisa.
 
True hicho ndicho chanzo Mimi nimewaza Kama wewe...

Wasipo angalia Kuna ghorofa lingine linafuata..
Oya yani nilivyopa taarifa nimeshtuka sana, coz mzee wangu ana maduka huko na mdogo wangu na binamu zangu wako madukani wanasimamia...

Mzee nimempigia alikuwa hapo asubuhi. Haya maisha tumche Mungu kila wakati hakuna anayejua saa wala wakati


Wote wako salama ila kuna majamaa zangu wa huko nyumbani bado tusubiro uokoaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…