Kupoteza Hamu ya Ngono kwa Mume Wangu: Je, Mimi Nipo Peke Yangu?

siku akiamua kuchepuka usirudi kulialia humu
 
yawezekana huna maajabu humo ndani.

Miaka 6 kabisa? Jiandae kukutwa na bwana pepsi.
Kwenye ndoa kama hakuna kutiana hyo ndoa ni uzushi.
Bora umteme jamaa kiutu uzima ukatafute mboroh huko nje sio kua staki nataka.
Kunguni maji wahed!🤬
 
Mkuu kwa umri wako kibaiolojia ni sahihi, muhimu kula vyakula vyenye protini na fats zanye afya,

Kama sikosei unakaribia ukomo,

Pia jitahidi kujitenga kwa mda mfano msilale kitanda kimoja
 
Inawezekana mvuto wako kwake umepungua, hivyo huna maajabu tena kwake ndiyo maana hata haumsisimui tena.
 
Kemea pepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…