Kupoteza Hamu ya Ngono kwa Mume Wangu: Je, Mimi Nipo Peke Yangu?

Kupoteza Hamu ya Ngono kwa Mume Wangu: Je, Mimi Nipo Peke Yangu?

Mwanamke pamoja na vizingizio vya kusema amechoka hajisikii, mara ukimkwaza ukunyinye papuchi anajua mkuyenge upo tu hata siku inayofuata ataupata sasa mziki ajue mashine haipigi kazi shughuli yake ni noma utaambiwa umeenda kwa malaya zako wamekuroga na maneno kibao, mtoa mada tulia tu acha kumpa stress jamaa ni suala la muda tu usiende kuwapo mchezo huko nje utakuza tatizo zaidi.
 
1683890462989.png
 
Pole mdogo wangu. Kwanza hongera kwa kutochepuka mpaka leo. Wewe ni mshindi na umefanya vizuri kuomba ushauri, hiyo hali ipo au huwa inatokea kwa wanandoa wengi iwe ni me hata ke hali hiyo hutokea. Asilimia kubwa hali hiyo imechagizwa na maisha tunayoishi siku hizi. Kuna mashambulizi yanafanywa maksudi ili kuleta mabadiriko fulani mabaya katika miili yetu. Nayo hufanywa ktk vyakula, vinywaji, matibabu na ktk mambo ya kiroho. Ukweli hata ukichepuka huyo mchepuko baada ya muda utakuwa huna hisia naye. Kwa hiyo kitakachofanyika utakuwa mtu wa kubadili michepuko mwisho wa siku utahamia ktk tamaa za mapenzi ya jinsia moja au mapenzi kinyume na asili. Ushauri wangu hilo ni tatizo na mrekebishaji wa tatizo hilo ni aliyekuumba na aliyeiumba ndoa yenu. Tafuta usaidizi wa kiroho. Endelea kuwa na msimamo usichepuke, kinyume chake utakuja kujuta.
 
Wala si wewe peke yako ni wanawake wengi wapo hivyo tena wafanyakazi maofisin wanaongoza, wakisha kuwa na watoto wawili au watatu mapenzi kwa mume huwa yanapotea na hiyo Khali inatokana ujinga flani tu mnaoshauriana na mnayosoma na kuona kwenye mitandao!
Point mitandao huwabadili sana wanawake
 
Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.

Twende kwenye Hoja

Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.

Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.

Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.

Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.

Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.​

Wewe utakuwa Bonge, Jeusi, Maziwa Makubwa kama watermelon na tumbo limesogea Sana ha ha ha wanawake wa Aina hii ndio wenye hayo mambo haswa
 
Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.

Twende kwenye Hoja

Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.

Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.

Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.

Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.

Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.​
Nenda kwenye maombi. Ushapigwa scud tayari, hapo kuchepuka ndio kituo kinachofuata.
 
Wala si wewe peke yako ni wanawake wengi wapo hivyo tena wafanyakazi maofisin wanaongoza, wakisha kuwa na watoto wawili au watatu mapenzi kwa mume huwa yanapotea na hiyo Khali inatokana ujinga flani tu mnaoshauriana na mnayosoma na kuona kwenye mitandao!
Kumbe
 
Uzuri unamuheshimu. Next chepuka ila endelea kumuheshimu. Na usijisahau maana ubaya wa kuchepuka ni kusahau.

Kitambi kidogo nilikua nafuta msg za wanawake ninaodate nao kuachana na mama watoto wangu.
Kuna siku nikasahau. That means kuchepuka kulifikia hatua mbaya. Mama mtu akaona.
Sema ndio hivo niligoma.
BLACK MAN DONT CHEAT.
Nikamwambia hao washkaji tu.
Ww chepuka, renew utamu huo.
 
Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.

Twende kwenye Hoja

Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.

Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.

Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.

Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.

Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.​
Hebu nipe namba yako nikwambie kitu....

Like,seriously....
 
Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.

Twende kwenye Hoja

Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.

Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.

Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.

Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.

Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.​
Wote hamna soft skills, hayo sio maisha,
 
Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.

Twende kwenye Hoja

Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.

Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.

Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.

Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.

Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.​
Nilivyogundua mimi umesema kuwa wewe unacheo kikubwa.
Unaonekana mume wako hukumpenda mwanzoni.
Hii ni kawaida ya wanawake wakipanda vyeo.
Mimi ninauhakika kuwa umemdharau mume wako,

Kwa umri wako sijajua una umri gani ila naamini ni mtu mzima kabisa.
Kuchepuka sio dili kuna madhara ya kuchepuka madama tabua hilo.
Hasa kwa wanawake ukianza kuchepuka madhara ni makubwa sana.
 
Ukianza kuchepuka tupe mrejesho.
madama.

Mimi nakuakikishia ukianza kuchepuka Lazima utaanza kumdharau mume wako am sure 100%.
Lazima tuu utamdharau na kumpa fedhea sana.

Na inaonekana kabla ujaolewa ulikuwa unalala na wanaume tofauti tofauti.

KUMBUKA 🏥
UKIMWI UPO MADAM.
 
Kama wapo fresh wajaribu kubadilisha mazingira ya tendo au hata chumba kubadilisha muonekano wake wa chumba cha kulala.

Hata kutoka out kwenda sehemu nyingine wafanyie huko.
 
Back
Top Bottom