Kupunguza tatizo la ajira serikali iruhusu huduma ya kupokea pesa kupitia PayPal

Kupunguza tatizo la ajira serikali iruhusu huduma ya kupokea pesa kupitia PayPal

Kwani WORLDREMIT ina torfauti gani na PAYPAL?
hiyo ni kana western union .Paypal mtu akinunua hela inaingia hapo hapo hiyo ingine ni ya ku transfer pesa.Hebu fikiria mteja wako anunue kitu mtandaoni halafu afunge safari kwenda ofisi ya western union aambatinishe ushahidi wa anayetumia nk nani yuko tayari kupoteza huo muda na gharama ? na wewe ufunge safari kwenda ofisi ya western union kuchukua pesa yako si ujinga huo na kupotezeana muda na gharama na ukiritimba

psypal ni papo kwa papo anachukua bidhaa pesa hii hapa
 
hiyo ni kana western union .Paypal mtu akinunua hela inaingia hapo hapo hiyo ingine ni ya ku transfer pesa.Hebu fikiria mteja wako anunue kitu mtandaoni halafu afunge safari kwenda ofisi ya western union aambatinishe ushahidi wa anayetumia nk nani yuko tayari kupoteza huo muda na gharama ? na wewe ufunge safari kwenda ofisi ya western union kuchukua pesa yako si ujinga huo na kupotezeana muda na gharama na ukiritimba

psypal ni papo kwa papo anachukua bidhaa pesa hii hapa
Mkuu hebu angalia vizuri . Mimi hata leo hii nimepokea pesa toka ulaya kwenye simu yangu ya tiGO.
Kuna option ya ku send to a mobile phone. TZ itakupa option ya tigo. Kenya inakupa Safaricom na kakijimtandao fulani ka kilugha nimekasahau jina
 
Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia ya PayPal hata kwenye simu yako ya mkononi, hata mwajiri au mnunuzi awe Ulaya au Marekani

Pia, mtu waweza chora hata katuni, ramani za nyumba n.k ukauza online. Au, ukajitungia wimbo wako wa kienyeji binafsi nyumbani kwako bila hata kwenda studio, ukauweka kwa mfumo wa video au audio ukauuza online kwenye maduka kibao ya online.

Tatizo kwa Tanzania haijaruhusu matumizi ya kupokea pesa kwa njia ya PayPal ambapo mtu aki-click tu kununua bidhaa yako, pesa yako inaingia chapchap kwenye PayPal account yako.

Kenya walisharuhusu; vijana wengi hushinda mitandaoni wakitengeneza pesa wakiuza bidhaa zao, viwe vichekesho
Haswaaa
 
Mkuu hebu angalia vizuri . Mimi hata leo hii nimepokea pesa toka ulaya kwenye simu yangu ya tiGO.
Kuna option ya ku send to a mobile phone. TZ itakupa option ya tigo. Kenya inakupa Safaricom na kakijimtandao fulani ka kilugha nimekasahau jina
issue ni.kuwa maduka yote mitandaoni hayaitambui wala kutumia world remmit .Naongelea njia ya kupata pesa ukiiuza vitu kwenye maduka mitandaoni.siongelei kutumiana pesa kati ya mtu na mtu
 
issue ni.kuwa maduka yote mitandaoni hayaitambui wala kutumia world remmit .Naongelea njia ya kupata pesa ukiiuza vitu kwenye maduka mitandaoni.siongelei kutumiana pesa kati ya mtu na mtu
Nimekuelewa mkuu.
Cheers
 
Yaan vijana wanahaha kupata nafasi kwa kutetea hoja ambazo hazina mashiko kwa vijana wenzao badala ya kujenga hoja kuwasaidia wenzao. Ubinafsi unawasumbua vijana wengi wa kitanzania wanaotaka uongozi
 
Kwan ile Petition ilifikia wapi, ile ya kuhusu serikali ikubali PayPal kutumika Tanzania.!!??
 
Back
Top Bottom