KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

  • FREEMAN AIKAEL MBOWE

    Votes: 124 18.2%
  • TUNDU ANTIPAS LISSU

    Votes: 559 81.8%

  • Total voters
    683
  • Poll closed .
kura za CCM, chadema hakuna anyeweza kuja hapa kupiga kura
CCM inampenda Lissu kuliko Mbowe?

1. Lissu kapigwa risasi na nani?

2. Lissu kapokonywa ubunge na nani?


3. Lissu kanyimwa pesa za matibabu na nani?

Je, ni kweli kura zote hizi ni za CCM na kwa faida gani?
 
CCM inampenda Lissu kuliko Mbowe?

1. Lissu kapigwa risasi na nani?

2. Lissu kapokonywa ubunge na nani?


3. Lissu kanyimwa pesa za matibabu na nani?

Je, ni kweli kura zote hizi ni za CCM na kwa faida gani?
 
CCM inampenda Lissu kuliko Mbowe?

1. Lissu kapigwa risasi na nani?

2. Lissu kapokonywa ubunge na nani?


3. Lissu kanyimwa pesa za matibabu na nani?

Je, ni kweli kura zote hizi ni za CCM na kwa faida gani?
Mamluki ya ccm yanatufauta wapi palipooza.
 
Mbowe ndio kiongoz anaefaaa kuwa mwenyekiti hana choyo ndo maan hanganganii kugombea urais
 
Kazi ipo aise
 
Pigakura moja tu,

Kwanza, Gusa jina la Unayedhani anafaa kuiongoza CHADEMA kwa Sasa,

Pili, Bonyeza sehemu imeandikwa "Cast Vote"

Mwisho unaweza kuacha ujumbe wa kikampeni kwa wachangiaji wanafuata.
Mimi ni non partisan...ila kuweka wazi Mbowe amevumilia sana na maCCM kutekwa kumia kifedha , au na vishawishi vingi ila asante Sana ...ila kwa SASA tujalibu damu mpya.
 
Hao wandani hawana smartphone?

Vijana wa Mbowe mko wapi?
 
Ni muda muafaka kukiondoa chama Mikononi mwa Wachaga na kanisa na kuwa na sura ya kitaifa Kwa kumtosa Mbowe
 
Kipigo chA Mbwa Koko
 
Kwani mbowe kasema atagombea uenyekiti ?

Ova
 
Wasalaam Wakuu !
Na Uongozi wa JamiiForums , kuelekea Uchaguzi wa Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, mjadala wa nani anayefaa kukalia kiti cha Uenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo ( CHADEMA)

Mjadala huu umechukua sura mpya na kumekuwa na kambi mbili zinazopendekeza FREEMAN AIKAEL MBOWE aendelee na nafasi yake ya Uenyekiti na kambi nyingine inapendekeza TUNDU ANTIPHAS LISSU achukue nafasi hiyo ya Uenyekiti kwa lengo la kuleta mawazo mapya na muelekeo mpya wa kiutendaji ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Hivyo basi ningeuomba uongozi wa JamiiForums uweke Poll hapa ili Wanachama wake waweze kumchagua Mwenyekiti wanaemtaka.

Itapendeza kama Uongozi wa JamiiForums ungetengeneza hiyo Poll ili watu wapige kura zao japo kupata picha halisi kuelekea huu uchaguzi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Nawasilisha
 
Mbona ilikuwepo tayari...sema sikumbuki title ya ule uzi ...ila nimevote kabisa 🤣
 
Hii ni kura ya maoni nzuri sana na ya uhakika...

Lakini ukiwapa TWAWEZA au REDET watakuja na matokeo yaliyotengenezwa magogoni...!!

Let's vote...

Nimejaribu ku - vote, nimeambiwa Kuna changamoto kwenye mfumo. Ina maana TISS wameingilia mfumo wa upigaji kura zetu...?

All in all, namheshimu Freeman Mbowe. Naheshimu mchango wake ndani ya CHADEMA na ktk siasa za mageuzi za miaka yake 30+ Tanganyika...

Lakini muda huu si wake. Imetosha, apumzike jukumu la uongozi...

I VOTE FOR TUNDU LISSU...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…