KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

  • FREEMAN AIKAEL MBOWE

    Votes: 124 18.2%
  • TUNDU ANTIPAS LISSU

    Votes: 559 81.8%

  • Total voters
    683
  • Poll closed .
Namuunga mkono Lissu awe Mwenyekiti CHADEMA. Mh Mbowe awe mshauri wa chama. Makamu Mwenyekiti awe Lema na Katibu Mkuu awe Henche

Nafasi ya sera, bunge na mawasiliano apewe Godlisten Malisa John Mrema astaafu.
 
View attachment 3172848
FREEMAN MBOWE-PIGAKURA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
View attachment 3172851TUNDU AM LISSU-PIGAKURA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

Happy Uhuru Day!!

Habari kuu ndani ya CHADEMA ni mchuano Mkali wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa baina ya Mwenyekiti anayemaliza muda wake Mhe Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wake anayemaliza muda wake Mhe Tundu Lissu,

Kwa uwazi sana naomba tujipe masaa kadhaa ya kupiga kura hapa Jamii forum ili tuwezi kumpata mshindi wetu wa maoni ya awali,

Kupitia Jukwaa hili la Jamii Forum zimekuwa zikiendeshwa kura nyingi za maoni mfano ni washindi wa Story of Change na washindi wengine mbalimbali katika Poll tofauti tofauti za kisiasa na Kijamii.

Angalizo, Matokeo haya hayatakuwa ni msimamo wa Jamii Forum Wala Mimi mleta Uzi wenu ila ni maoni tu na maamuzi ya wapenzi, mashabiki na Wanachama wa CHADEMA kuelekea Uchaguzi wao wa ndani ya chama.

Lakini ifahamike pia haya yatakuwa ni maoni tu ambayo pengine yanaweza kubeba uhalisia au Laa hivyo yasipewe uzito sana na watakao ibuka vinara mwishoni mwa zoezi letu kwani yatabaki kuwa ni maoni.

MWISHO ANDIKA JINA LA ULIYEMCHAGUA NA SABABU ZAKO KAMA HUTOJALI.

•••••••••••••
Hakuna
 
Hakuna hata mmoja wote wanatamaa
Kwann wale wale hakuna wengine wa kuongoza hiko chama
 
Freeman Omar Bongo Ondimba Mbowe muda wako wa kukaa katika kiti cha Uongozi wa Chadema umetosha.

Acha wengine nao waongoze!!! Miaka 20 ya ulaji wa ruzuku inatosha sana.
 
Kura yangu nampa Tundu Lisu.

1-Ana malengo mbadala wa yaliyozoeleka kwa taifa.
2-Ana malengo madhubuti ya kubadirisha sheria za nchi na utendaji wa serikali akipata nafasi, kitu wananchi wengi wanatamani. Hivo, uenyekiti wa chama chake ni hatua nzuri kufikia malengo ya kitaifa.
3-Mbowe yupo too soft kwenye masuala fulani muhimu, hashtui, hana ile quality ya kuthibitisha mamlaka ya cheo chake.

Ni muhenga, arudi nyuma hatua moja tu, nafasi yake akae TAL, cas bado watafanya kazi pamoja na kushauriana.
 
Back
Top Bottom