MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
kwanza umepiga kura yako humu jf? ucpopiga unawaangusha wenzio wa LUMUMBA. hebu angalia hapo juu kura zinavosomeka basi na nyie msiosikia ndio mnapata jibu lenu.acheni upuuzi kwani muundo wa serikali2 ndo unaoifanya ccm ibaki madarakani?........,ukawa wehu tukama wehu wa majalalani na bado mmeshindwa kuwashawishi wananchi wawape nchi mmeona mkimbilie kwenye muungano na mtakufa vibudu hatuwapi nchi vichaa kiufupi imekula kwenu
l