Kura ya Veto UN, waafrika tunavyojidangaya

Kura ya Veto UN, waafrika tunavyojidangaya

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Palikuwa na mjadala sauti ya ujerumani jana. Mjadala huo utakuwa hewani tena leo.

Msingi wa mada vita vya Ukraine ambako machungu ya Afrika yalielekezwa zaidi kwenye kura ya Veto dhidi ya mabeberu.

Katika wachangiaji mmoja alikuwa balozi wa Tanzania. Mzalendo na mkali kweli kweli, anataka nchi moja kura moja!

Ajabu ni kuwa balozi wetu anataka usawa wa kura UN ambao haupo nyumbani.

Balozi anagomba na kura ya Veto wakati Japan, Italy, Spain, Saudi Arabia, Brazil nk hawana taabu nayo?!

Sisi hawa hawa wapiga nyungu, tusioheshimu haki za binadamu, wezi wezi wa kura, nk? Ila tunataka kura moja kwa nchi UN, sawa na awaye yote?

Tuna agenda gani sisi? Labda ya kuiambukiza dunia umasikini?

Ukweli mchungu aliyeuona umuhimu wa kura ya Veto alikuwa genius kweri kweri.

Utaratibu huu na udumu milele kwa mustakabala mwema wa dunia hii.
 
Pole mleta mada kwa kukwazwa na msimamo wa balozi wetu, ambaye mimi nampongeza.

Nadhani unahitaji elimu ya kutosha kuuelewa msimamo na faida za msimamo huo wa Balozi huyo.
 
Huu ndo upuuzi wa viongozi wa Africa, yaani anataka awe na maamuzi wakati hana substance yoyote ya kufanya hivo.

1. Eti Veto wakati hata michango ya fedha UN hutoi, unategemea wao ndo wakupe misaada kila ukiwapelekea bakuli.

2. Unataka Veto wakati wewe unakandamiza wananchi wako nyumbani.

3. Unataka Veto wakati viongozi wako hawana akili, aibu, busara wala uwajibikaji wowote kwa waliowachagua.

4. Unataka utambuliwe na kupewa haki sawa wakati nyumbani kwako unawabana na kuwanyanyasa wapinzani wako.

6. Unataka usibaguliwe kwa ufukara wako na ujinga wako na mtazamo wako wakati kwenu mtu asie kada wa chama tawala ni adui na hastahili kupata nafasi yoyote ya uongozi. Mnabaguana kwa itikadi za vyama lakin mnataka kwenye siasa za kimataifa mtambuliwe na kuheshimiwa na watu wenye siasa safi.

5. Yaani unataka uheshimike mbele ya wanaokupa misaada na kukusaidia kwenda chooni na bado kila mwaka wanafund bajeti yako ili usife njaa. unataka sauti sawa na mataifa makubwa yenye akili kuliko wewe mpuuzi. Who are you Fool?

Shame on African Fools claiming to seek equal grounds in the UN!
 
Wakiwa nje ya nchi ndio akili huwarudia lakini wakirudi ndani huendeleza ubinafsi wao wa kulazimisha kubaki madarakani.
 
Hui ndo upuuzi wa viongozi wa Africa, yaani anataka awe na maamuzi wakati hana substance yoyote ya kufanya hivo.

1. Eti Veto akati hata michango wa fedha UN hutoi unategemea wao ndo wakupe misaada kila ukiwapa bakuli....

Ninakazia:

"Shame on African Fools claiming to seek equal grounds in the UN!"
 
Pole mleta mada kwa kukwazwa na msimamo wa balozi wetu, ambaye mimi nampongeza.

Nadhani unahitaji elimu ya kutosha kuuelewa msimamo na faida za msimamo huo wa Balozi huyo.

Hakuna msimamo hapo mjomba. Omba omba tusiokuwa na mbele wala nyuma.

IMG_20220303_102530_977.jpg


Huku ni kukosa aibu tu.

Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
 
Shame on you fool for thinking white are supreme
Prove that they're not. Of course huwezi!

Denying the White's Supremacy doesn't take away a bit of their Godly bestowed gift of supremacy over you weak race. Nyinyi ni weak na wicked race.

Utake usitake ngozi nyeupe kakuzidi. Just like their skin colour is white so is their mind. And just like your skin color is black so is your mind too.
 
Majitu ambayo Makatili yanazuia Vyama vya upinzani kufanya siasa, kuwabambikia kesi za michongo, kuuwa watu nchini kwao ndio yanataka demokrasia huko Ulaya?

Watu wanadai KATIBA mpya nchini kwao wanasema wanaleta chokochoko ila wao ndio wanayo haki kudai Mabadiliko huko UN.
 
Hao wenye kura za VETO hawavunji haki za binadamu, wameua raia wangapi compare na viongozi wa TZ.
Wenyewe chaguzi za juzi wameanza kulalamika wameibiana kura.

Haki za binadamu ni kimoja tu mjomba labda kama unataka kujitoa ufahamu tu. Hukuyaona haya:

"Sisi hawa hawa wapiga nyungu, tusioheshimu haki za binadamu, wezi wezi wa kura, nk? Ila tunataka kura moja kwa nchi UN sawa na awaye yote?"


Dunia ina nini cha kujifunza kwetu? Labda kupiga nyungu.

Huo ndiyo ulio ukweri mchungu!
 
Prove that they're not. Of course huwezi!

Denying the White's Supremacy doesn't take away a bit of their Godly bestowed gift of supremacy over you weak race. Nyinyi ni weak na wicked race.

Utake usitake ngozi nyeupe kakuzidi. Just like their skin colour is white so is their mind. And just like your skin color is black so is your mind too.

Mkuu, in America there are whites as well as blacks. Or else you are saying the blacks in America have white minds too.

Tuweke mambo sawa hapa. Wenzetu wametutangulia. Tungali gizani.

"Wanaotuchelewesha gizani ni hawa viongozi wetu ambao badala ya kuwa wakweli na wawazi wamejificha kwenye huu uongo uongo kama yule balozi kwa jina la uzalendo."

Tulipo tuna nini kwa ajili ya ustawi dunia hii?
 
Palikuwa na mjadala sauti ya ujerumani jana. Mjadala huo utakuwa hewani tena leo.

Msingi wa mada vita vya Ukraine ambako machungu ya Afrika yalielekezwa zaidi kwenye kura ya Veto dhidi ya mabeberu...
Kuna mataifa bado hayajitambui. Hayawezi kufanya maamuzi ration zaidi ya mihemuko. Kura ya VETO idumu milele
 
Palikuwa na mjadala sauti ya ujerumani jana. Mjadala huo utakuwa hewani tena leo.

Msingi wa mada vita vya Ukraine ambako machungu ya Afrika yalielekezwa zaidi kwenye kura ya Veto dhidi ya mabeberu...
Yaani ningekuwa na uwezo ule wa Dr. Kinjekitile Ngwale najibadili sionenekani siku moja ningeenda ktk vikao vyao hawa viongozi wa Afrika wakiwa wamejazana kupeana Ujinga ninge wazabua vibao vya uso wote halafu natoka kimya kimya bila kuonekana.
 
Yaani ningekuwa na uwezo ule wa Dr. Kinjekitile Ngwale najibadili sionenekani siku moja ningeenda ktk vikao vyao hawa viongozi wa Afrika wakiwa wamejazana kupeana Ujinga ninge wazabua vibao vya uso wote halafu natoka kimya kimya bila kuonekana.

Hawauoni ujinga ujinga wao ambao ndiyo haswa unaohalalisha kuonekana ni wa kupuuzwa kabisa!
 
Back
Top Bottom