Kura ya Veto UN, waafrika tunavyojidangaya

Kura ya Veto UN, waafrika tunavyojidangaya

Ndo maana nikasema Waafrika wengi ni wajinga na wapumbavu kwa kiwango kikubwa sana:

Sasa wewe hujui hata namna ya kuandika.

Yaani hujui kuwa baada ya alama ya kituo (.) au koma (,) kwenye sentensi inabidi uache nafasi ndo uanze neno lingine. Angalia uluvoandika hapo:

"Mkuu,hata ukila..." badala ya "Mkuu, hata ukila..."

"....wangu.Samahan..." badala ya "...wangu. Samahani..."

Jifunze kwanza alama za uandishi na matumizi yake kisha jifunze uandishi wa aya ndo urudi hapa kubishana.
Nashukuru mkuu.Naona umenuna utadhani umeibiwa nauli.Mungu akusaidie mkuu usiendelee kuchukia.😂😂😂😂
 
Ndo maana nikasema Waafrika wengi ni wajinga na wapumbavu kwa kiwango kikubwa sana:

Sasa wewe hujui hata namna ya kuandika.

Yaani hujui kuwa baada ya alama ya kituo (.) au koma (,) kwenye sentensi inabidi uache nafasi ndo uanze neno lingine. Angalia uluvoandika hapo:

"Mkuu,hata ukila..." badala ya "Mkuu, hata ukila..."

"....wangu.Samahan..." badala ya "...wangu. Samahani..."

Jifunze kwanza alama za uandishi na matumizi yake kisha jifunze uandishi wa aya ndo urudi hapa kubishana.

Bado tuna safari ndefu na bila kutoleana uvivu kama hivi hatuwezi kutoboa.

Kwa hakika ukweli ulio hayana usiokopesha kama uliouweka hapa ni inspirational. Si kwa wajinga wajinga lakini.
 
Nashukuru mkuu.Naona umenuna utadhani umeibiwa nauli.Mungu akusaidie mkuu usiendelee kuchukia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeamua kukuonyesha tofauti yangu na yako; kuwa mimi nikikosea ni bahati mbaya wakati wewe ni ujinga ndo unakusukuma kukosea.

Nimekuonyesha kuwa kosa kwangu ni "Error" wakati kwako ni "Blunder". Kama hujaelewa maana ya hayo maneno mawili kawaulize waliosoma Physics au Hesabu A- Level na chuo au nenda Google itakusaidia.

Again, shame on you Fool!
 
Usijichukize kwa vitu ambavyo huwezi kuvibadili mkuu.Kula ugali ushibe halafu ukashangilie mpira wowote hata kama timu hauzijui.😂😂😂😂

Nijichukize kwa lipi mkuu? Kwani hii siyo burudani tu?

IMG_20220303_102530_977.jpg
 
Nimeamua kukuonyesha tofauti yangu na yako; kuwa mimi nikikosea ni bahati mbaya wakati wewe ni ujinga ndo unakusukuma kukosea.

Niekuonyesha kuwa kosa kwangu ni "Error" wakati kwako ni "Blunder". Kama hujaelewa maana ya hayo maneno mawili kawaulize waliosoma Physics au Hesabu A- Level na chuo au nenda Google itakusaidia.

Again, shame on you Fool!

Inafahamika wabaya wetu wanafurahi mno tukifarakana nje ya mada.

Hao ni wa kukabili head-on!

Tunataka Katiba Mpya wala si haki uchwara ya veto au vita uchwara dhidi ya veto UN.
 
Nimeamua kukuonyesha tofauti yangu na yako; kuwa mimi nikikosea ni bahati mbaya wakati wewe ni ujinga ndo unakusukuma kukosea.

Niekuonyesha kuwa kosa kwangu ni "Error" wakati kwako ni "Blunder". Kama hujaelewa maana ya hayo maneno mawili kawaulize waliosoma Physics au Hesabu A- Level na chuo au nenda Google itakusaidia.

Again, shame on you Fool!
Soma tena ulichoandika.Tatizo unajua mengi hadi unakuwa pimbi.Pole mkuu.Unasikia uchungu sana?
 
Usijichukize kwa vitu ambavyo huwezi kuvibadili mkuu.Kula ugali ushibe halafu ukashangilie mpira wowote hata kama timu hauzijui.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado narudia. Hujui kuandika na jifunze kuandika vizuri. Jifunze jinsi ya kutumia Panctuation, sio kupiga tu kelele.

You're just making noise, hamna kitu unafanya kwa uandishi wa namna hii.
 
Bado narudia. Hujui kuandika na jifunze kuandika vizuri. Jifunze jinsi ya kutumia Panctuation, sio kupiga tu kelele.

You're just making noise, hamna kitu unafanya kwa uandishi wa namna hii.
Mkuu,mimi naandika.Sipigi kelele.Kwani umeisikia sauti yangu.Kijijini kwetu waliniambia niwe naandika "punctuation" na si "panctuation"!Asante mkuu.Umekula lakini?Maana mkiwa na njaa mnakuwa wakali sana.
 
Soma tena ulichoandika.Tatizo unajua mengi hadi unakuwa pimbi.Pole mkuu.Unasikia uchungu sana?
Yaani we ni mweupe kichwani. Rudi shule, akili yako inolewe upate maarifa ndo urudi hapa kubishana.

Kuandika hujui, hoja za msingi huna bado unazurura kwenye mijadala ya msingi inayohitaji uelewa wakati huna chochote kichwani.

Hebu ficha ujinga wako.
 
Yaani we ni mweupe kichwani. Rudi shule, akili yako inolewe upate maarifa ndo urudi hapa kubishana.

Kuandika hujui, hoja za msingi huna bado unazurura kwenye mijadala ya msingi inayohitaji uelewa wakati huna chochote kichwani.

Hebu ficha ujinga wako.
Mkuu,weye ujinga wako umeufunika na gagulo au kaniki?Unaonekana una akili hadi zinamwagika.Hongera muhishimiwa.
 
Mkuu,mimi naandika.Sipigi kelele.Kwani umeisikia sauti yangu.Kijijini kwetu waliniambia niwe naandika "punctuation" na si "panctuation"!Asante mkuu.Umekula lakini?Maana mkiwa na njaa mnakuwa wakali sana.
Mimi naandika kingereza paragraphs kwa paragraphs bila hata Auto-Correction na Auto-spelling settings kwenye simu yangu. So kukosea neno ambalo sijaliandika au kukutana nalo kwa mda mrefu ni kawaida, na typos ni kitu cha kawaida kwenye uandishi ambao haujahaririwa hususan majibizano ya haraka haraka kama tufanyayo hapa jukwaani.

Sasa wewe mchovu unaweza nini tofauti na ujinga unaouonyesha hapa? Sheria ndogo ndogo tu za matumizi ya alama za uandishi umeshindwa. Huoni aibu?

Mbaya zaidi, kuonyesha ulivo mpumbavu wa kiwango kikubwa; hata ukifundishwa hufundishiki. Yaani unaondolewa ujinga lakin bado unakazana kuwa mjinga. Hivyo ndivyo viongozi wako wa Africa walivyo, hawana tofauti na wewe kabisa. Ni wapumbavu wasiokua tiyari kujifunza.
 
Inasikitisha kwa flares tokea kwenye issues ndogo ndogo kama hizi Chadema, NCCR, CUF na ACT hawawezi kusikilizana tukapata katiba mpya sasa.

Tunatoka je kwenye vicious cycles hizi ndugu?

Cc: Moisemusajiografii , Emmanuel Alden
 
Mimi naandika kingereza paragraphs kwa paragraphs bila hata Auto-Correction na Auto-spelling settings kwenye simu yangu. So kukosea neno ambalo sijaliandika au kukutana nalo kwa mda mrefu ni kawaida, na typos ni kitu cha kawaida kwenye uandishi ambao haujahaririwa hususan majibizano ya haraka haraka kama tufanyayo hapa jukwaani.

Sasa wewe mchovu aweza nini tofauti na ujinga unaouonyesha hapa? Sheria ndogo ndogo tu za matumizi ya alama za uandishi umeshindwa. Huoni aibu?

Mbaya zaidi, kuonyesha ulivo mpumbavu wa kiwango kikubwa; hata ukifundishwa hufundishiki. Yaani unaondolewa ujinga lakin bado unakazana kuwa mjinga. Hivyo ndivyo viongozi wako wa Africa walivyo, hawana tofauti na wewe kabisa. Ni wapumbavu wasiokua tiyari kujifunza.
Kwako inakuwa "typo"!Mimi nakua mjinga.Mkuu,kwa heshima na taadhima weye ni lipumbavu sana.
 
Huwezi kuwa na njaa halafu ukasikilizwa, tuendelee kudeal na USAID..haya mengine tuwaachie tu wenyewe..
 
Back
Top Bottom