Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Kama walikataliwa waliobeba falsafa ya Nyerere atakubaliwa wa huyo mchawi?Mgombea yeyote atakayebeba falsafa za JPM kwa dhati, ataungwa mkono na Watanzania wengi, siyo Kanda ya Ziwa pekee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama walikataliwa waliobeba falsafa ya Nyerere atakubaliwa wa huyo mchawi?Mgombea yeyote atakayebeba falsafa za JPM kwa dhati, ataungwa mkono na Watanzania wengi, siyo Kanda ya Ziwa pekee.
Uonevu unategemea wewe ni nani. Kwa mtanzania maskini hakuna uonevu mkubwa kama tozo inayomnyang'anya mtu mwenye matatizo pesa aliyotumiwa na ndugu yake kutatulia matatizo yake. Serkali ya SSH imeamua kuwanyang'anya maskini wanaotumiwa pesa na watoto au ndugu zao kwa kuongeza tozo kwa kiasi kikubwa. Tena katika hizo tozo "the less money is sent the more you pay comparatively". Unajuwa kwenye uongozi, unatakiwa uwe na namna yako ya kuongoza bila kulinganisha au kujipendekeza. Hiyo haitakusaidia, maana unakuwa unajenga tabaka na kujionyesha kuwa wewe hufanyi kama yule, lakini hapo hapo unadai hu7kuja kitengua torati.
Tatizo nini ngosha?Wewe nini kidampa usiekuwa na mbele wala nyuma
Acha ukabila we bwegeTatizo nini ngosha?
Hadi sasa huyu mama tushamkataa kanda ya ziwa, hata akitumia policcm na TICCM lazma ieleweke kura zetu tutampa mtu ambaye atapambana nae 2025.
Sio kwa matusi haya kwa Hayati JPM anaongea kana kwamba hakuwa msaidizi wake wa karibu, shame on Her.
Huyu ni zaidi ya YUDA
Mimi ndiyo nimefungua uzi wa swala la kanda ?Acha ukabila we bwege
Huu uzi unahusika na ukabila?Mimi ndiyo nimefungua uzi wa swala la kanda ?
Ktk utawala wa jpm kuna siku amewahi kuzomewa?,wewe unayemwita jpm ni sheteni,hebu njoo hapa kariakoo usimame utamke hayo maneno kama utabaki salama,Dhalimu angekuwa anakubalika angeheshimu box la kura. Shetani yoyote namchukia vibaya.
Kabisa, eti hawa maboya wa sukuma gang wanatishia na kanda ya ziwa, inakuwa as if watu hatukuona ile idadi ndogo mno ya wapiga kura,na sababu hasa ni tabia za dhalimu kwenye demokrasia.
Atapigwa mawe kabisaKtk utawala wa jpm kuna siku amewahi kuzomewa?,wewe unayemwita jpm ni sheteni,hebu njoo hapa kariakoo usimame utamke hayo maneno kama utabaki salama,
Dhibitisha hata kwa maelezo mafupi tu,Ulikuwa umesafiri?
Nikuulize wewe ndiyo umeleta hiyo mada kama kichaka cha kujifichia.Huu uzi unahusika na ukabila?
"Sidhibitishi" hadi baadaye ndipo nitathibitisha.Dhibitisha hata kwa maelezo mafupi tu,
Uonevu unategemea wewe ni nani. Kwa mtanzania maskini hakuna uonevu mkubwa kama tozo inayomnyang'anya mtu mwenye matatizo pesa aliyotumiwa na ndugu yake kutatulia matatizo. Serkali ya SSH imeamua kuwanyang'anya maskini wanaotumiwa pesa na watoto au ndugui zao kwa kuongeza tozo kwa kiasi kikubwa. Tena katika hizo tozo "the less money is sent the more you pay comparatively". Unajuwa kwenye uongozi, unatakiwa uwe na namna yako ya kuongoza bila kulinganisha au kujipendekeza. Hiyo haitakusaidia, maana unakuwa unajenga tabaka na kujionyesha kuwa wewe hufanyi kama yule, lakini hapo hapo unadai hu7kuja kitengua torati.
Kumbuka Wasukuma ni hazina ya kura. Wasukuma na ndugu zao Wanyamwezi wana wapiga kura millioni sita. Ukiongeza ndugu zao wa kanda ya ziwa kuna zaidi ya wapiga kura milliomi 10. Kwa hasira CHADEMA ikivuna hawa, hata kama haitapata uraisi, inaweza kutikisa bunge! Tatizo hapa lipo kwenye matusi ya rejareja ya watu wa CHADEMA ambayo watawakimbiza wapiga kura kuliko kuwavutia.Dhalimu angekuwa anakubalika angeheshimu box la kura. Shetani yoyote namchukia vibaya.
Kabisa, eti hawa maboya wa sukuma gang wanatishia na kanda ya ziwa, inakuwa as if watu hatukuona ile idadi ndogo mno ya wapiga kura,na sababu hasa ni tabia za dhalimu kwenye demokrasia.
Makalio ya mbwa kaa kimyaNikuulize wewe ndiyo umeleta hiyo mada kama kichaka cha kujifichia.
Sina uhakika na ukisemachoNani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?
Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.
Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.
Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
Rejea uchaguzi wa 2005 watu wa kaskazini walimkataa Jakaya Kikwete lakini kura za kanda ya ziwa zikampaisha.Sina uhakika na ukisemacho
Upo patrol?Siku hazifanani...
Mkuu kweli unampenda magu ila mbona liko wazi Magu nikiongozi bora tena sana licha ya madhaifu yake kupotea kwa watu, kuzuka kwa watu wasiojikana, unyanganyi kwa matajiri na kuwachukia wapinzani ila km angekuwa hana hayo ni kiongozi bora mno.Ktk utawala wa jpm kuna siku amewahi kuzomewa?,wewe unayemwita jpm ni sheteni,hebu njoo hapa kariakoo usimame utamke hayo maneno kama utabaki salama,