Ngusekela Omwami
Senior Member
- May 6, 2022
- 103
- 113
Hebu mwache mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mambo yanaudhi mno katika hii nchi..
Leo asubuhi Kuna boda boda ameniuliza eti hivi tutachagua Rais mwingine lini.
Unaongea tu kwa 7bu una uhuru wa kuongeaCCM , 2025 ndo mwisho, may be uchaguzi usifanyike, ukifanyika tutafia vituon , ya zambia yanakuja 2025, Iyo sijui piga kura nenda nyumbani hakuna, 2023 lazima pamoja na Mambo mengine kuanza utoaji elim hasa KWa vijana KILA mahali Tz nzima na kua na mkakati wa pamoja namna ya kulinda kura.
Hii ni sehem ambayo tumekua hatujiandai nayo, inakuja kutolewa wakati wa campeni tu.
So 2023, lazima kuwa na mtandao wa ulindaji wa kura anzia kitongoji mpaka mkoa, mpaka taifa, na lazima kuunda kikosi kazi KWa ajili ya kuratibu elim hii na mtandao mzima kabla ya uchaguzi
Inawezekana kura yangu moja inayoibiwa ndo inafanya maisha yangu ,na mwingine kuwa magumu Sasa KWa nini nisilinde kura yangu?
Imetosha sasa
Si mmezoea kuiba kura dawa yenu inachemka elekea 2025,Unaongea tu kwa 7bu una uhuru wa kuongea
Ila sahau hiyo stori
Si hata 2015 mlisema?
Hata 2020 mkasema tena!
huu uzi ubaki hivi hivi
Acha alambe asali ila asitupore haki yetu ya kuishi kama yule mwingine na vibaraka wake aisee!! Itabidi kiandikwe kitabu kikubwa cha historia ya udhalimu Tanzania sehemu ya piliHayo ni mawazo yako. Huyu mama hakuna anachokifanya yuko pale kulamba asali.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
HahahaNa wala sizo zirakazoamua nani awe rais
Wewe akili za kukaa kwa Shemeji hizi.
aendee na mitozo tozo yake...anashangiliwa kinafiki kwa sababu yupo madarakaniKwa hali ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.