Kura zikipigwa leo, hakika anarudi zake kisiwani

NEC
MSAJIRI Wa Vyama
COURT
POLICE
PCCB
JW
DPP

Hao Ndiyo Defence Ya Serikali
 
Leo asubuhi Kuna boda boda ameniuliza eti hivi tutachagua Rais mwingine lini.

Nyinyi waTanganyika hamna shukrani , ni mpaka mtapotuachia nchi yetu , mama akarudi Zenj , Mtamkumbuka sana mama Na itakuwa ni majuto ya mjukuu
 
Msukuma wewe SAMIA hana mpinzani Tanzania hata Nyerere Afu file Leo hamuwezi SAMIA. Endeleza povu
 
Unaongea tu kwa 7bu una uhuru wa kuongea

Ila sahau hiyo stori

Si hata 2015 mlisema?

Hata 2020 mkasema tena!

huu uzi ubaki hivi hivi
 
Wa kutoa SAMIA bado hajazaliwa nasema hajawahi kuzaliwa na hajazaliwa bado
 
aendee na mitozo tozo yake...anashangiliwa kinafiki kwa sababu yupo madarakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…