kanisa lilitakiwa liwe straight, kila mabadiliko yaendayo kinyume na uumbaji wa MUNGU wayapinge, kanisa kukumbatia uasi mbele za Mungu maana yake ni kuleta kizazi kijacho kitachofanya kufuru mpaka ,madhabahuni, ni kweli kanisa halipaswi kuwatenga wenye dhambi, nata Yesu alikaa na wenye dhambi, lakini hakukaa nao na kuzurura nao tu kama washkaji bali aliwahubiria habari njema, aliwabadilisha mienendo na wote wakaijua njia ya Mungu, ila kanisa halihubiri wala kukemea ndo kwanza lina bariki, unaona papa anawatambua wapenzi wawili wa jinsia moja kama mume na mke na kama wazazi badala ya kukemea uasi huo na kuwahubiria kumrudia Mungu.
na wasiwasi mpinga kristo anaweza anzia vatican, maana papa haongozwi tena na roho mtakatifu bali utashi binfsi tu unaoathiriwa na mabadiliko ya dunia, utandawazi na maadili ya kisasa, huyu papa atatupoteza.