Kuruhusu machinga kufanya biashara barabarani sio kuwapenda

Kuruhusu machinga kufanya biashara barabarani sio kuwapenda

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Machinga wapo kila pahala
Dar hapo wanapanga bidhaa barabarani na Mwanza Wapo hapo round about Nyerere road
Hizi ni sehemu hatarishi

Unakuta kariakoo mtu kapanga nyanya na bamia, makele yasiyo na msingi

Watu wa mpango mji mnafanya Nini ofsini

Tunajua hawa ndo wapiga kura ila serikali ni kama inawatoa sadaka
Ipo siku gari litafeli break liwasage

Kwenye ukweli tuseme ukweli hawa machinga watolewe barabarani waende kwenye sehemu maalumu

Barabarani yanapita magari na watu n. K, Kuna msongamano usiokuwa na msingi

Serikali watoeni machinga sehemu hatarishi, hatutaki tena maafa yatokee muanze kutoa Salam za pole
 
Machinga wapo kila pahala
Dar hapo wanapanga bidhaa barabarani na Mwanza Wapo hapo round about Nyerere road
Hizi ni sehemu hatarishi

Unakuta kariakoo mtu kapanga nyanya na bamia, makele yasiyo na msingi

Watu wa mpango mji mnafanya Nini ofsini

Tunajua hawa ndo wapiga kura ila serikali ni kama inawatoa sadaka
Ipo siku gari litafeli break liwasage

Kwenye ukweli tuseme ukweli hawa machinga watolewe barabarani waende kwenye sehemu maalumu

Barabarani yanapita magari na watu n. K, Kuna msongamano usiokuwa na msingi

Serikali watoeni machinga sehemu hatarishi, hatutaki tena maafa yatokee muanze kutoa Salam za pole
Hilo jambo mpaka dunia ya kwanza wamelishindwa. Matching guy wapo ila wawekewe utaratibu maalumu tu. It's either serikali iandae model nyingine ya kutengeneza barabara na kuwawekea safe space ili kuwaondolea risk au waweke standard flani either wote wawe katika vibaskeli vinavyomove kutoka sehem kwenda sehem
 
Kweli kabisa. Mtaa wa Msimbazi kariakoo watu wanapita katikati ya barabara za Mwendokasi kwa sababu machinga wamepanga biashara kwenye maeneo ya watu kutembea. Huu ujinga sijui utaisha lini.

Watu wengi wanagongwa na Pikipiki kwa kupita barabarani, yote kisa wakitolewa wataonekena wabaya, na ubovu wa yote ni kituo cha polisi Msimbazi kipo hapohapo na kinaona hili kila siku.

Kuendelea kuvumilia huu ujinga tunajenga taifa la wasio na akili.
 
Machinga wapo kila pahala
Dar hapo wanapanga bidhaa barabarani na Mwanza Wapo hapo round about Nyerere road
Hizi ni sehemu hatarishi

Unakuta kariakoo mtu kapanga nyanya na bamia, makele yasiyo na msingi

Watu wa mpango mji mnafanya Nini ofsini

Tunajua hawa ndo wapiga kura ila serikali ni kama inawatoa sadaka
Ipo siku gari litafeli break liwasage

Kwenye ukweli tuseme ukweli hawa machinga watolewe barabarani waende kwenye sehemu maalumu

Barabarani yanapita magari na watu n. K, Kuna msongamano usiokuwa na msingi

Serikali watoeni machinga sehemu hatarishi, hatutaki tena maafa yatokee muanze kutoa Salam za pole
Cc. Mbagala all star ⭐
 
Hilo jambo mpaka dunia ya kwanza wamelishindwa. Matching guy wapo ila wawekewe utaratibu maalumu tu. It's either serikali iandae model nyingine ya kutengeneza barabara na kuwawekea safe space ili kuwaondolea risk au waweke standard flani either wote wawe katika vibaskeli vinavyomove kutoka sehem kwenda sehem
Inatakiwa mazingira mazuri
Hivyo wanavopanga bidhaa barabarani ni kuwaweka rehani
 
Kwakweli waliangalie sana hili,kwa sasa iwe kkoo,mbezi,temeke,buguruni,mbagala n.k
Pote ni vurugu yani mji unakua wa hovyo sana
 
politics is the main variable in your model whether you like it or not.
Hii model ya kupanga majiji ni apolitics haizingatii uchumi wa watu, tamaduni z watu na historia za watu zikoje. So hii model imewekwa kama one size fits all kitu ambacho si kweli. Dunia ya tatu yote inahangaisha kutumika hii na ina negative effect nyingi sana kana kwamba watu hawaitaki
 
Back
Top Bottom