Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Intention yangu sio kubishana. OK! WELCOMEWewe kweli ni mtaalamu ila sio kwenye makazi holela,biashara holela na holela kiujumla. Ahsante!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Intention yangu sio kubishana. OK! WELCOMEWewe kweli ni mtaalamu ila sio kwenye makazi holela,biashara holela na holela kiujumla. Ahsante!!
Na mimi pia sina intention hio bali natak kuelekezana.unataka nikuletee published articles ngapi kuonyesha siasa ni chanzo cha hayo yote? Unajua vzr issue ya watu wa msimbaz ilianzajeanzaje?Intention yangu sio kubishana. OK! WELCOME
History, can you trace it from Bandung contract 1902 and its implications toward the city plan in Tanganyika?Na mimi pia sina intention hio bali natak kuelekezana.unataka nikuletee published articles ngapi kuonyesha siasa ni chanzo cha hayo yote? Unajua vzr issue ya watu wa msimbaz ilianzajeanzaje?
yes I can but it was on 1955History, can you trace it from Bandung contract 1902 and its implications toward the city plan in Tanganyika?
Mkataba wa kwanza kabisa wa kulipamga jiji ulikuwa 1902 chini ya mjerumani. Maelezo ya historia yako ukiitrace hapo utafanya kitu cha maana sana. We unadhan historia watu hatuzijui sioyes I can but it was on 1955
Ni serikali ya kizembe na kipumbavu ndiyo hukubali kuwashindwa machinga na wafungao barabara bila sababu za msingi.Hilo jambo mpaka dunia ya kwanza wamelishindwa. Matching guy wapo ila wawekewe utaratibu maalumu tu. It's either serikali iandae model nyingine ya kutengeneza barabara na kuwawekea safe space ili kuwaondolea risk au waweke standard flani either wote wawe katika vibaskeli vinavyomove kutoka sehem kwenda sehem
Utakachowez kukielezea sana hapa ni ugawaji wa maeneo ya low density to higher density area. Uwepo wa buffer mnazi mmoja linaloweka mpaka kati ya watu weusi na weupe. Makazi holela na miundo mbinu kuwa biased kwa kuzingatia maeneo na vipaumbele kwa low density area na nn tena?yes I can but it was on 1955
Wewe unadhan wameshindwa bongo tu? Model ya urban and city plan nchi katibu zote ambazo suo western inasumbua kukubalika. Hata Ecuador, Brazil na nchi za Asia mziki wa street vendors upo tena mkubwa tuNi serikali ya kizembe na kipumbavu ndiyo hukubali kuwashindwa machinga na wafungao barabara bila sababu za msingi.
Kushindwa kwa mmoja hakuidhinishi kushindwa wote.Serikali isiyokuwa na maamuzi wala mipango bora ni ya malofa tu.Hakuna utetezi.Wewe unadhan wameshindwa bongo tu? Model ya urban and city plan nchi katibu zote ambazo suo western inasumbua kukubalika. Hata Ecuador, Brazil na nchi za Asia mziki wa street vendors upo tena mkubwa tu
Sio kushindwa Tanzania tu, dunian kote muitiko wa urban plan miongoni mwa street vendors sio mzuri. Watu wamepigwa virungu sana tu Ecuador na mpaka leo hii wapo barabaranKushindwa kwa mmoja hakuidhinishi kushindwa wote.Serikali isiyokuwa na maamuzi wala mipango bora ni ya malofa tu.Hakuna utetezi.
Kwa hiyo wewe umeona huko ni kushindwa?Wewe umeshindwa kabla haujaanza.Sio kushindwa Tanzania tu, dunian kote muitiko wa urban plan miongoni mwa street vendors sio mzuri. Watu wamepigwa virungu sana tu Ecuador na mpaka leo hii wapo barabaran
Hii model ilitakiwq iwe na uwezo wa kufanya mabadiliko yenyewe. Na udhibiti wa makazi holela na biashara zisizopangwa inabidi uangaliwe tena. Mijini hizi kesi ni nyingi sana kuliko vijijin unajua kwa nn?Kwa hiyo wewe umeona huko ni kushindwa?Wewe umeshindwa kabla haujaanza.
Kuizuia njaa ni kazi sana, ila huwa najisemea moyoni kila siku. Hizi barabara za town zingekuwa zinajengewa Uzio(Fence) kama tu njinsi daraja la mabatini lilivyo. Machinga na watembea kwa miguu wakaachiwa space huku nyuma pasipo kugusa barabara au stand ya daladala.Machinga wapo kila pahala
Dar hapo wanapanga bidhaa barabarani na Mwanza Wapo hapo round about Nyerere road
Hizi ni sehemu hatarishi
Unakuta kariakoo mtu kapanga nyanya na bamia, makele yasiyo na msingi
Watu wa mpango mji mnafanya Nini ofsini
Tunajua hawa ndo wapiga kura ila serikali ni kama inawatoa sadaka
Ipo siku gari litafeli break liwasage
Kwenye ukweli tuseme ukweli hawa machinga watolewe barabarani waende kwenye sehemu maalumu
Barabarani yanapita magari na watu n. K, Kuna msongamano usiokuwa na msingi
Serikali watoeni machinga sehemu hatarishi, hatutaki tena maafa yatokee muanze kutoa Salam za pole
Hili lako nimeliongea katika comment namba 3. TatizO lililopo hawataki kuwa na model mpya ya utengenezaji wa barabara. Ikiwezekan waweke fensi ya waya na upana wa reserve iwawekee kabisa na vieneo vidogovidogo waweke bidhaa zao kufata barabara ili utaratibu ufahamike na kueleweka. Suala la kuwakimbiza na migambo kila siku halijaanza juzi wala janaKuizuia njaa ni kazi sana, ila huwa najisemea moyoni kila siku. Hizi barabara za town zingekuwa zinajengewa Uzio(Fence) kama tu njinsi daraja la mabatini lilivyo. Machinga na watembea kwa miguu wakaachiwa space huku nyuma pasipo kugusa barabara au stand ya daladala.
Huwa naangalia hata pale Buhongwa, stand ya daladala za kuja town. Machinga wamejaa hadi daladala zinakosa eneo la kupita.
Maeneo kama haya, wangeweka uzio. Kwanza hata jiji lingependeza.
Sahihi kabisa mkuu!Hili lako nimeliongea katika comment namba 3. TatizO lililopo hawataki kuwa na model mpya ya utengenezaji wa barabara. Ikiwezekan waweke fensi ya waya na upana wa reserve iwawekee kabisa na vieneo vidogovidogo waweke bidhaa zao kufata barabara ili utaratibu ufahamike na kueleweka. Suala la kuwakimbiza na migambo kila siku halijaanza juzi wala jana
Emu twende kwa kitu kimojakimoja unataka nielezee kuhusu makazi holela,ardhi holela au biashara holela?Utakachowez kukielezea sana hapa ni ugawaji wa maeneo ya low density to higher density area. Uwepo wa buffer mnazi mmoja linaloweka mpaka kati ya watu weusi na weupe. Makazi holela na miundo mbinu kuwa biased kwa kuzingatia maeneo na vipaumbele kwa low density area na nn tena?
Jaribu kuelezea kwanza nione
Biashara holela kwanzaEmu twende kwa kitu kimojakimoja unataka nielezee kuhusu makazi holela,ardhi holela au biashara holela?
Naomba nianzishe thread juu ya hili. Vipi uko tayar?Biashara holela kwanza
Hii inatosha mzee acha kujaza server za watu. Weka na reference mana mm nimemsoma sana yule professor wenu J Kironde pale ARUNaomba nianzishe thread juu ya hili. Vipi uko tayar?