Hilo jambo mpaka dunia ya kwanza wamelishindwa. Matching guy wapo ila wawekewe utaratibu maalumu tu. It's either serikali iandae model nyingine ya kutengeneza barabara na kuwawekea safe space ili kuwaondolea risk au waweke standard flani either wote wawe katika vibaskeli vinavyomove kutoka sehem kwenda sehemMachinga wapo kila pahala
Dar hapo wanapanga bidhaa barabarani na Mwanza Wapo hapo round about Nyerere road
Hizi ni sehemu hatarishi
Unakuta kariakoo mtu kapanga nyanya na bamia, makele yasiyo na msingi
Watu wa mpango mji mnafanya Nini ofsini
Tunajua hawa ndo wapiga kura ila serikali ni kama inawatoa sadaka
Ipo siku gari litafeli break liwasage
Kwenye ukweli tuseme ukweli hawa machinga watolewe barabarani waende kwenye sehemu maalumu
Barabarani yanapita magari na watu n. K, Kuna msongamano usiokuwa na msingi
Serikali watoeni machinga sehemu hatarishi, hatutaki tena maafa yatokee muanze kutoa Salam za pole
Cc. Mbagala all star ⭐Machinga wapo kila pahala
Dar hapo wanapanga bidhaa barabarani na Mwanza Wapo hapo round about Nyerere road
Hizi ni sehemu hatarishi
Unakuta kariakoo mtu kapanga nyanya na bamia, makele yasiyo na msingi
Watu wa mpango mji mnafanya Nini ofsini
Tunajua hawa ndo wapiga kura ila serikali ni kama inawatoa sadaka
Ipo siku gari litafeli break liwasage
Kwenye ukweli tuseme ukweli hawa machinga watolewe barabarani waende kwenye sehemu maalumu
Barabarani yanapita magari na watu n. K, Kuna msongamano usiokuwa na msingi
Serikali watoeni machinga sehemu hatarishi, hatutaki tena maafa yatokee muanze kutoa Salam za pole
Usisahau kama huku ni exotic, dunia ya third world mziki wake unaeleweka kwenye kila nyanja duniani kotesiasa imezalisha makazi holela,nyumba holela na mbovu,biashara zisizorasmi, maafa,mauaji,na mengineyo. Tatizo ni siasa sio hata wasomi per say
Inatakiwa mazingira mazuriHilo jambo mpaka dunia ya kwanza wamelishindwa. Matching guy wapo ila wawekewe utaratibu maalumu tu. It's either serikali iandae model nyingine ya kutengeneza barabara na kuwawekea safe space ili kuwaondolea risk au waweke standard flani either wote wawe katika vibaskeli vinavyomove kutoka sehem kwenda sehem
Sawa mama ameupiga mwingi,CCM mbele kwa mbele,Maendeleo ya miaka 60 ni makubwa sana hakika hii nchi bila CCM tungekua tumeshataliwa tena.Usisahau kama huku ni exotic, dunia ya third world mziki wake unaeleweka kwenye kila nyanja duniani kote
Model ya plan na clean city huku third world haitekelezekiInatakiwa mazingira mazuri
Hivyo wanavopanga bidhaa barabarani ni kuwaweka rehani
Mm nazungunza kama mtaalamu sio mwanasiasaSawa mama ameupiga mwingi,CCM mbele kwa mbele,Maendeleo ya miaka 60 ni makubwa sana hakika hii nchi bila CCM tungekua tumeshataliwa tena.
Kwaio kweny utaalamu wenu political factors huaga hazipo? Kwanza ww ni mtaalamu wa nini?Mm nazungunza kama mtaalamu sio mwanasiasa
Kwaio kweny utaalamu wenu political factors huaga hazipo? Kwanza ww ni mtaalamu wa nini?
twende mdogo mdogo we ni mtaalamu wa nini?Sisi tunaangalia model iliyopo na inademand nn. Hii model instead of subjecting politics into trauma. Hii model ya kupanga majiji ni apolitics
politics is the main variable in your model whether you like it or not.twende mdogo mdogo we ni mtaalamu wa nini?
Mm ni anthropologist. Nimepiga social anthropologytwende mdogo mdogo we ni mtaalamu wa nini?
Hii model ya kupanga majiji ni apolitics haizingatii uchumi wa watu, tamaduni z watu na historia za watu zikoje. So hii model imewekwa kama one size fits all kitu ambacho si kweli. Dunia ya tatu yote inahangaisha kutumika hii na ina negative effect nyingi sana kana kwamba watu hawaitakipolitics is the main variable in your model whether you like it or not.
Wewe kweli ni mtaalamu ila sio kwenye makazi holela,biashara holela na holela kiujumla. Ahsante!!Mm ni anthropologist. Nimepiga social anthropology