Kurujuan ya mzee MAGOMA inaendelea kufanya kazi ndani ya mtaa wa Jangwani. Lini hii slow pacha itazibwa?

Kurujuan ya mzee MAGOMA inaendelea kufanya kazi ndani ya mtaa wa Jangwani. Lini hii slow pacha itazibwa?

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Eng Hersi na boss wake GSM wakae chini wayamalize na mwanachama kindakindaki wa Yanga,maarufu kama mzee Magoma. Mzee huyu alisikika katika vyombo vya habari akitoa kauli ya kuwa yanga ina slow pacha na haya ni matokeo ya Kurujuan yake aliyoisoma kwa kila ambaye ana mpango wa kuidhulumu Yanga kutoka katika mikono ya wanayanga asilia.

Msomali Hersi badala ya kukaa chini na kuona wanampoza vipi huyu mzee wao wakaamua kumfungulia kesi ya madai mzee Magoma. Mzee magoma alijitokeza hadharani tena na kusema kuwa Yanga ina slow pacha .
 
Je Kwa matokeo haya ya kupoteza mechi baada ya mechi, tusadiki maneno na vitisho vya mzee magoma dhidi ya maharamia waliyoipora Yanga kutoka kwa Wazawa na kujinufaisha wao na familia zao?
 
Hakuna kitu Kama hicho.
Matokeo mabaya yanatokana na makosa ya uongozi kwenye sajiri, usimamizi mbovu wa nidhamu ya kocha na wachezaji. Pia kosa la kubadili kocha katikati ya mashindano makubwa.

Sisi wenye Yanga yetu tupo pamoja na uongozi. Binadamu kukosea ni lazima wakati fulani.
 
Eng Hersi na boss wake GSM wakae chini wayamalize na mwanachama kindakindaki wa Yanga,maarufu kama mzee Magoma. Mzee huyu alisikika katika vyombo vya habari akitoa kauli ya kuwa yanga ina slow pacha na haya ni matokeo ya Kurujuan yake aliyoisoma kwa kila ambaye ana mpango wa kuidhulumu Yanga kutoka katika mikono ya wanayanga asilia.

Msomali Hersi badala ya kukaa chini na kuona wanampoza vipi huyu mzee wao wakaamua kumfungulia kesi ya madai mzee Magoma. Mzee magoma alijitokeza hadharani tena na kusema kuwa Yanga ina slow pacha .
😂Inatibika yani
 
Eng Hersi na boss wake GSM wakae chini wayamalize na mwanachama kindakindaki wa Yanga,maarufu kama mzee Magoma. Mzee huyu alisikika katika vyombo vya habari akitoa kauli ya kuwa yanga ina slow pacha na haya ni matokeo ya Kurujuan yake aliyoisoma kwa kila ambaye ana mpango wa kuidhulumu Yanga kutoka katika mikono ya wanayanga asilia.

Msomali Hersi badala ya kukaa chini na kuona wanampoza vipi huyu mzee wao wakaamua kumfungulia kesi ya madai mzee Magoma. Mzee magoma alijitokeza hadharani tena na kusema kuwa Yanga ina slow pacha .
Mzee huyu alisikika katika vyombo vya habari akitoa kauli ya kuwa yanga ina slow pacha na haya ni matokeo ya Kurujuan yake aliyoisoma kwa kila ambaye ana mpango wa kuidhulumu Yanga kutoka katika mikono ya wanayanga asilia.😀
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Eng Hersi na boss wake GSM wakae chini wayamalize na mwanachama kindakindaki wa Yanga,maarufu kama mzee Magoma. Mzee huyu alisikika katika vyombo vya habari akitoa kauli ya kuwa yanga ina slow pacha na haya ni matokeo ya Kurujuan yake aliyoisoma kwa kila ambaye ana mpango wa kuidhulumu Yanga kutoka katika mikono ya wanayanga asilia.

Msomali Hersi badala ya kukaa chini na kuona wanampoza vipi huyu mzee wao wakaamua kumfungulia kesi ya madai mzee Magoma. Mzee magoma alijitokeza hadharani tena na kusema kuwa Yanga ina slow pacha .
 

Attachments

  • VID-20241208-WA0003.mp4
    5 MB
Hakuna kitu Kama hicho.
Matokeo mabaya yanatokana na makosa ya uongozi kwenye sajiri, usimamizi mbovu wa nidhamu ya kocha na wachezaji. Pia kosa la kubadili kocha katikati ya mashindano makubwa.

Sisi wenye Yanga yetu tupo pamoja na uongozi. Binadamu kukosea ni lazima wakati fulani.
NO SHOTS ON GOAL
 
Back
Top Bottom