Kusaga kuwepo kwenye sherehe ya Diamond inamaanisha hakuna ugomvi kati ya WCB na Clouds

Kusaga kuwepo kwenye sherehe ya Diamond inamaanisha hakuna ugomvi kati ya WCB na Clouds

We jamaa una ushabiki kiba hujaleta mada kwa minajiri ya kupata maoni ya watu, unajua maana halisi ya hizo party wewe? Huwezi kwenda beach na suti wala magaguro alafu usilete maneno ya kuwa esma kavaa chupi anakata mauno sio maadili ya kitanzania hiyo instagram, simu, nguo zako, Tv n.k navyo sio vya maadili ya kitanzania maadili ya mtanzania ni kuwasiliana na mtu ana kwa ana mengine malizia
 
Kaangalie kina Jay Z,Diddy,Iglisias,Bruno Mars,Beyonce,Taylor swift na wengine wengi!Wametoboa na wana heshima kubwa bila kufanya ufuska huo
Unaongea nini wewe brother unawajua uliowataja vizuri kweli nakupa task ndogo sana tafuta behind the scene ya nyimbo ya beyonce drunk in love pia na mambo yake ya nyuma kukaa uchi kwenye viwanja vya basket.
Tailor swift mpiga picha za utupu kwenye magazine enzi zake kipindi hajawa maarufu.
Didy bonge la muhuni.
Jay z ashafanya party hizi mpaka kero yeye na kanye
 
Eti anampa ruhusa ya kutokuoa ili aendelee kuwala hao akina dada maana wote wanamtaka!Maneno kutoka kwa mteule wa Rais!
Kabisa wajinga ndio waliwao mtizame ndugu kiba jahazi lake lilivyosasa linazorota
 
Halafu sijui ni nini,dada yake naye chupi linaonekana halafu anatingisha mbele ya kaka yake!Maadili ya wapi hayo
Maadili ya wapi na wewe kutumia instagram na JF??
 
Aliyehudhuria na kuaibika ni mwingine, aliyeandaa shughuli na unasema ni fuska mwingine.

Hapa duniani utapata tabu sana kuhangaika na mambo ya watu wengine.

Wenzako hayo ndio maisha waliyochagua na kuamua kuishi kwa huo mtindo.

Ishi maisha yako!
 
Na wasiwasi na nani mmiliki wa Clouds Media group.Wanasema ni ya familia ya Kusaga.Mi nakataa hapo.It seems Ruge ni mkubwa kuliko Kusaga.

Ruge ni zaidi ya mkurugenzi wa vipindi pale.Angekuwa muajiriwa.Angelishatimuliwa.

Kusaga anamuogopa Ruge.I don't know why?
 
Kusaga naye ni kwishney kabisa walahi
 
We jamaa una ushabiki kiba hujaleta mada kwa minajiri ya kupata maoni ya watu, unajua maana halisi ya hizo party wewe? Huwezi kwenda beach na suti wala magaguro alafu usilete maneno ya kuwa esma kavaa chupi anakata mauno sio maadili ya kitanzania hiyo instagram, simu, nguo zako, Tv n.k navyo sio vya maadili ya kitanzania maadili ya mtanzania ni kuwasiliana na mtu ana kwa ana mengine malizia
Ila Queen Darleen ana uke mrefu sana aisee.
 
Nimeangalia clips za yatch oarty hiyo,ni balaa!Mtu na dada yake wanafanya ufuska huku mtu mzima ukishuhudia!
Sihitaji namba kujua umri wako ila yatosha kujua u mtu mzima sana kuwepo kwenye tukio lisilo na heshima kama hilo!
Dakika mbili mbele,Rayvany anasikika karibu na mike akitukana "kumamake"!

Nimewaza sana mpaka nikasema "shetani alitukosea sana,hako kaboat kangefaa kuwa mbadala wa mv Nyerere"!
Unamjua Joseph Kusaga au unamuona kwenye Tv tu?
 
Inahitaji uelewa wa hali ya juu kuujua ukweli wa uwekezaji mkubwa pale wasafi media&recording label,je ni D'mond pekee na wenzie team WCB? kama sio yeye pekee dimond na WCB wenzie ,je ni nani yuko behind ya uwekezaji huo in pertinership?je ni tajiri gani ambaye yuko close na WCB Wasafi ambaye tunaweza kuona anahusika directly na uwekezaji pale usafini?kwa upande wangu na kwa kutumia darubini kali kabisa huyu wa kujiita #joe CMG C.E.O ametia mkono wake pale Wasafi empire,by any Means ni Kama kajishikiza wasafi bcoz inaonekana hana nguvu tena pale mawinguni [emoji739] #mr. RM,na hii ni kutokana na mgawanyo wa hisa pale CMG Kati ya hizo beberu mbili,kuna Anae endesha kampuni na yuko close na worker's na ni mtu wa mipango na Joe yeye ni kusikiliza tu kilichofanyika na kuvuta chake anapotaka,sasa amekuja kujishitukia hana sauti tena pale,so anatafuta pa Kutokea,na bcoz wasafi ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji1241][emoji3495][emoji290] aka take opportunity ili together na team WCB under D'mond wa create Biggest&strong empire,ili Wakachukue ufalme wa music bongo,media(in intertainment only) ,shows na adivertsment.kwa hali ilivyo pale CMG hawezi hata kuwatetea WCB au kupatanisha ili song's za WCB ziruke pale pale CMG,mwenye sauti ni yule @Mhaya,kwaio Joe ni Kama anamkomoa (refer D'mond yatch party yesterday,alikuwa kwenye attendance) au anamuonyesha RM Kuwa anaweza ku rise empire kubwa zaidi ya CMG,na naona anaelekea kufaulu na kuua kiburi cha mhaya na CMG Kiujumla,na naona Kama taratibu CMG wanakubali kuwa WCB empire ni [emoji91][emoji91][emoji91]. Note. Ni maoni yangu tuko tofauti kimtizamo,Welcome,am a new comer to the forum,be calm please.
CMG ni mali ya familia ya akina Kusaga bro.
 
Back
Top Bottom