Kusaga kuwepo kwenye sherehe ya Diamond inamaanisha hakuna ugomvi kati ya WCB na Clouds

Kusaga kuwepo kwenye sherehe ya Diamond inamaanisha hakuna ugomvi kati ya WCB na Clouds

Nachoona kupingwa sana kwa Diamond ni wivu wa mafanikio yake na kwa kuwa wengi walimuona alivyoanza kutoka kwenye matumizi mnataka kumpangia muache aishi maisha yake na wewe ishi yako unatolea mifano ya Beyonce kweli kwenye mambo ya hizi party wakati wao ndio wachafu zaidi...
 
Inahitaji uelewa wa hali ya juu kuujua ukweli wa uwekezaji mkubwa pale wasafi media&recording label,je ni D'mond pekee na wenzie team WCB? kama sio yeye pekee dimond na WCB wenzie ,je ni nani yuko behind ya uwekezaji huo in pertinership?je ni tajiri gani ambaye yuko close na WCB Wasafi ambaye tunaweza kuona anahusika directly na uwekezaji pale usafini?kwa upande wangu na kwa kutumia darubini kali kabisa huyu wa kujiita #joe CMG C.E.O ametia mkono wake pale Wasafi empire,by any Means ni Kama kajishikiza wasafi bcoz inaonekana hana nguvu tena pale mawinguni [emoji739] #mr. RM,na hii ni kutokana na mgawanyo wa hisa pale CMG Kati ya hizo beberu mbili,kuna Anae endesha kampuni na yuko close na worker's na ni mtu wa mipango na Joe yeye ni kusikiliza tu kilichofanyika na kuvuta chake anapotaka,sasa amekuja kujishitukia hana sauti tena pale,so anatafuta pa Kutokea,na bcoz wasafi ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji1241][emoji3495][emoji290] aka take opportunity ili together na team WCB under D'mond wa create Biggest&strong empire,ili Wakachukue ufalme wa music bongo,media(in intertainment only) ,shows na adivertsment.kwa hali ilivyo pale CMG hawezi hata kuwatetea WCB au kupatanisha ili song's za WCB ziruke pale pale CMG,mwenye sauti ni yule @Mhaya,kwaio Joe ni Kama anamkomoa (refer D'mond yatch party yesterday,alikuwa kwenye attendance) au anamuonyesha RM Kuwa anaweza ku rise empire kubwa zaidi ya CMG,na naona anaelekea kufaulu na kuua kiburi cha mhaya na CMG Kiujumla,na naona Kama taratibu CMG wanakubali kuwa WCB empire ni [emoji91][emoji91][emoji91]. Note. Ni maoni yangu tuko tofauti kimtizamo,Welcome,am a new comer to the forum,be calm please.
umejitahidi kueleza vizuri,lakini ukae ukijua Clouds ni ya wasambaa familia ya Kusaga,mhaya yeye ni kijakazi kama vijakazi wengine tu,atulize mtaro tu.
 
Ruge mutahaba ana akili sana ya biashara kuliko Joe ile CMG unayoiona ni akili za Ruge yy Joe pale anapewa tu taarifa nini kinaendelea
Comment yako imekaa kishabiki sana, pia hauna taarifa sahihi za unachosema, na hata wengine wetu tunajua Clouds ni Radio na TV tu. Kwa taarifa tu ambazo ziko mtandaoni na unaweza zipata pia, Clouds Media Group ina entities nyingine nyingi tu, list hapa chini ni media tu.
Clouds Radio
Choice FM
Classic FM
Coconut FM(Zanzibar)
Coconut TV(Zanzibar)
Clouds TV(Tanzania)
Clouds TV(Rwanda)
Clouds TV Plus
Clouds TV International(Abu dhabi)
Clouds TV(Botswana)

Source:Home - Clouds Media Group
 
CMG wanakubali kuwa WCB empire ni
emoji91.png
emoji91.png
emoji91.png
. Note. Ni maoni yangu tuko tofauti kimtizamo,Welcome,am a new comer to the forum,be calm please.
Humjui Joe,unapiga Ramli tu
Joe ni mtu hatari sana kwenye mipango ya pesa kwenye Tasnia ya habari na burudani
Joe ana clouds Rwanda
Joe ana clouds International,ipo Abu Dhabi na makazi yake rasmi yapo Dubai Rugemalira anatumwa tu pale,usijaribu kabisa ku underestimate uwezo wa Joe ,nikikuambia miradi yake moyo wako unaweza kuchomoka kuputia kifuani kwako
 
Comment yako imekaa kishabiki sana, pia hauna taarifa sahihi za unachosema, na hata wengine wetu tunajua Clouds ni Radio na TV tu. Kwa taarifa tu ambazo ziko mtandaoni na unaweza zipata pia, Clouds Media Group ina entities nyingine nyingi tu, list hapa chini ni media tu.
Clouds Radio
Choice FM
Classic FM
Coconut FM(Zanzibar)
Coconut TV(Zanzibar)
Clouds TV(Tanzania)
Clouds TV(Rwanda)
Clouds TV Plus
Clouds TV International(Abu dhabi)
Clouds TV(Botswana)

Source:Home - Clouds Media Group
Kama unaona mbali wasafi wanaleta mapinduzi ya media, miaka mitano ijayo wcb itakuwa media yenye nguvu kuliko zote bongo
 
Kiukweli nashangaa@ Joe ndia CEO clouds media ambao kwa sasa hawapigi nyimbo 100% from WCB hata zile za ft..
Hii inaonyesha namna gani picha haziendi kabisa..
Joe kuonekana pale hii inaonyesha hakuna tatizo kati yao..unaweza ukasema Joe kaenda km rafiki au fans bt huwezi kumtenganisha Joe na clouds popote alipo.
Swali la msingi ye kama bosi anashindwaje kutoa maelekezo kwa walio chini yake wapige ngoma za WCB?
Wote wafanyabiashara wanakunana Migongo
Diamond ana ubia na kusaga kwenye Diamond karanga
 
Baba wa Joe aliwekeza ktk CMG.Alipofariki mirathi imeifanya CMG kuwa mali ya family hivyo Joe ana sauti tena kama zamani na anasubiri gawio la hisa ,so Joe akaamua kujiongeza kwa kuinvest kivyake vyake! Ruge ni Mwajiriwa wa CMG na sio shareholder.
 
Kama unaona mbali wasafi wanaleta mapinduzi ya media, miaka mitano ijayo wcb itakuwa media yenye nguvu kuliko zote bongo
Kuna media houses nyingi sana Bongo, ushindani unaouzungumzia ni upi? Mfano: kwa maoni yangu ulinganifu unaofanywa kati ya Clouds na Wasafi umekaa kishabiki sana, na si mpya, ulifanyika pia ilipoanza Magic FM, Times FM na EFM, na sasa haziongelewi tena, na zote ni kwenye eneo moja sana la burudani, jiulize kwanini ulinganifu hauhusishi media nyingine kama IPP media, StarTV, Channel na Azam Media.
 
Comment yako imekaa kishabiki sana, pia hauna taarifa sahihi za unachosema, na hata wengine wetu tunajua Clouds ni Radio na TV tu. Kwa taarifa tu ambazo ziko mtandaoni na unaweza zipata pia, Clouds Media Group ina entities nyingine nyingi tu, list hapa chini ni media tu.
Clouds Radio
Choice FM
Classic FM
Coconut FM(Zanzibar)
Coconut TV(Zanzibar)
Clouds TV(Tanzania)
Clouds TV(Rwanda)
Clouds TV Plus
Clouds TV International(Abu dhabi)
Clouds TV(Botswana)

Source:Home - Clouds Media Group
Wana kiredio pia kipo Dom nimekisahau jina.
 
Back
Top Bottom