Kusainiwa Mkataba ujenzi wa Barabara za DSM - MUNGU TUSAIDIE ISIWE NI SIASA ZA UCHAGUZI

Kusainiwa Mkataba ujenzi wa Barabara za DSM - MUNGU TUSAIDIE ISIWE NI SIASA ZA UCHAGUZI

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Serikali kupitia waziri wake wa Tamisemi Mh Mchengerwa imetutangazia kusainiwa kwa mikataba ya ujenzi wa Barabara za halmashauri za jiji la DSM.

Maoni ya wananchi wengi wanaonyesha kutokuamini uhalisia wa jambo hili kwani inaonyesha ni kila mwaka kumekuwa kukitolewa ahadi nyingi ambazo zimekuwa hazitekelezwi. Wengi wanahusisha taarifa hii na suala la uchaguzi unaosubiriwa wa serikali za mitaa.

Binafisi huwa ninamuamini sana Mama yetu hasa kutokana na imani yake thabiti mbele ya mwenyezi Mungu. Ningekuwa na nafasi ya kumshauri ningemshauri yeye binafsi kutokukubali watendaji wake kutoa ahadi kwa ajili ya mafanikio ya kisiasa. Ni vema kuwaeleza ukweli wananchi.

IWAPO TAARIFA HII YA UJENZI WA BARABARA ITAKUWA NI YA KWELI NA UTEKELEZAJI WAKE UKAFANYIKA KWA WAKATI LITAKUWA NI JAMBO JEMA SANA.

ISIWE NI DANADANA, MARA SIJUI MICHAKATO, MARA UPEMBUZI YAKINIFU, MARA MKANDARASI AMESHINDWA VIGEZO HIVYO ANATAFUTWA MWINGINE. AU UKUTE WANALETA MAGARI MAWILI MATATU YA UJENZI NA KUWEKA BANGO KUUUUBWA LA UKANDARASI HALAFU INAPITA MIAKA MITATU HALI IKIWA HIVYOHIVYO.

AU INAFANYIKA KAMA BARABARA YA MBEZI MAKABE, MSAKUZI KWENDA MPIJI INAYOJENGWA KM 1 KWA KILA BAADA YA MIAKA MIWILI. YAANI MWENDO WA KOBE.
 
Serikali kupitia waziri wake wa Tamisemi Mh Mchengerwa imetutangazia kusainiwa kwa mikataba ya ujenzi wa Barabara za halmashauri za jiji la DSM.

Maoni ya wananchi wengi wanaonyesha kutokuamini uhalisia wa jambo hili kwani inaonyesha ni kila mwaka kumekuwa kukitolewa ahadi nyingi ambazo zimekuwa hazitekelezwi. Wengi wanahusisha taarifa hii na suala la uchaguzi unaosubiriwa wa serikali za mitaa.

Binafisi huwa ninamuamini sana Mama yetu hasa kutokana na imani yake thabiti mbele ya mwenyezi Mungu. Ningekuwa na nafasi ya kumshauri ningemshauri yeye binafsi kutokukubali watendaji wake kutoa ahadi kwa ajili ya mafanikio ya kisiasa. Ni vema kuwaeleza ukweli wananchi.

IWAPO TAARIFA HII YA UJENZI WA BARABARA ITAKUWA NI YA KWELI NA UTEKELEZAJI WAKE UKAFANYIKA KWA WAKATI LITAKUWA NI JAMBO JEMA SANA.

ISIWE NI DANADANA, MARA SIJUI MICHAKATO, MARA UPEMBUZI YAKINIFU, MARA MKANDARASI AMESHINDWA VIGEZO HIVYO ANATAFUTWA MWINGINE. AU UKUTE WANALETA MAGARI MAWILI MATATU YA UJENZI NA KUWEKA BANGO KUUUUBWA LA UKANDARASI HALAFU INAPITA MIAKA MITATU HALI IKIWA HIVYOHIVYO.

AU INAFANYIKA KAMA BARABARA YA MBEZI MAKABE, MSAKUZI KWENDA MPIJI INAYOJENGWA KM 1 KWA KILA BAADA YA MIAKA MIWILI. YAANI MWENDO WA KOBE.
Bussness as usual
 
Serikali kupitia waziri wake wa Tamisemi Mh Mchengerwa imetutangazia kusainiwa kwa mikataba ya ujenzi wa Barabara za halmashauri za jiji la DSM.

Maoni ya wananchi wengi wanaonyesha kutokuamini uhalisia wa jambo hili kwani inaonyesha ni kila mwaka kumekuwa kukitolewa ahadi nyingi ambazo zimekuwa hazitekelezwi. Wengi wanahusisha taarifa hii na suala la uchaguzi unaosubiriwa wa serikali za mitaa.

Binafisi huwa ninamuamini sana Mama yetu hasa kutokana na imani yake thabiti mbele ya mwenyezi Mungu. Ningekuwa na nafasi ya kumshauri ningemshauri yeye binafsi kutokukubali watendaji wake kutoa ahadi kwa ajili ya mafanikio ya kisiasa. Ni vema kuwaeleza ukweli wananchi.

IWAPO TAARIFA HII YA UJENZI WA BARABARA ITAKUWA NI YA KWELI NA UTEKELEZAJI WAKE UKAFANYIKA KWA WAKATI LITAKUWA NI JAMBO JEMA SANA.

ISIWE NI DANADANA, MARA SIJUI MICHAKATO, MARA UPEMBUZI YAKINIFU, MARA MKANDARASI AMESHINDWA VIGEZO HIVYO ANATAFUTWA MWINGINE. AU UKUTE WANALETA MAGARI MAWILI MATATU YA UJENZI NA KUWEKA BANGO KUUUUBWA LA UKANDARASI HALAFU INAPITA MIAKA MITATU HALI IKIWA HIVYOHIVYO.

AU INAFANYIKA KAMA BARABARA YA MBEZI MAKABE, MSAKUZI KWENDA MPIJI INAYOJENGWA KM 1 KWA KILA BAADA YA MIAKA MIWILI. YAANI MWENDO WA KOBE.
Isije ikawa umeamini ule utapeli wa juzi?!
 
Siasa hizo kwa nini iwe sasa kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa?

Wajanja sana CCM maana wanajua huko mtaani kilio kikibwa cha wananchi ni barabara
 
Serikali kupitia waziri wake wa Tamisemi Mh Mchengerwa imetutangazia kusainiwa kwa mikataba ya ujenzi wa Barabara za halmashauri za jiji la DSM.

Maoni ya wananchi wengi wanaonyesha kutokuamini uhalisia wa jambo hili kwani inaonyesha ni kila mwaka kumekuwa kukitolewa ahadi nyingi ambazo zimekuwa hazitekelezwi. Wengi wanahusisha taarifa hii na suala la uchaguzi unaosubiriwa wa serikali za mitaa.

Binafisi huwa ninamuamini sana Mama yetu hasa kutokana na imani yake thabiti mbele ya mwenyezi Mungu. Ningekuwa na nafasi ya kumshauri ningemshauri yeye binafsi kutokukubali watendaji wake kutoa ahadi kwa ajili ya mafanikio ya kisiasa. Ni vema kuwaeleza ukweli wananchi.

IWAPO TAARIFA HII YA UJENZI WA BARABARA ITAKUWA NI YA KWELI NA UTEKELEZAJI WAKE UKAFANYIKA KWA WAKATI LITAKUWA NI JAMBO JEMA SANA.

ISIWE NI DANADANA, MARA SIJUI MICHAKATO, MARA UPEMBUZI YAKINIFU, MARA MKANDARASI AMESHINDWA VIGEZO HIVYO ANATAFUTWA MWINGINE. AU UKUTE WANALETA MAGARI MAWILI MATATU YA UJENZI NA KUWEKA BANGO KUUUUBWA LA UKANDARASI HALAFU INAPITA MIAKA MITATU HALI IKIWA HIVYOHIVYO.

AU INAFANYIKA KAMA BARABARA YA MBEZI MAKABE, MSAKUZI KWENDA MPIJI INAYOJENGWA KM 1 KWA KILA BAADA YA MIAKA MIWILI. YAANI MWENDO WA KOBE.
Huko mwisho kwa nini umeandika kwa maerufi makubwa?
 
Serikali kupitia waziri wake wa Tamisemi Mh Mchengerwa imetutangazia kusainiwa kwa mikataba ya ujenzi wa Barabara za halmashauri za jiji la DSM.

Maoni ya wananchi wengi wanaonyesha kutokuamini uhalisia wa jambo hili kwani inaonyesha ni kila mwaka kumekuwa kukitolewa ahadi nyingi ambazo zimekuwa hazitekelezwi. Wengi wanahusisha taarifa hii na suala la uchaguzi unaosubiriwa wa serikali za mitaa.

Binafisi huwa ninamuamini sana Mama yetu hasa kutokana na imani yake thabiti mbele ya mwenyezi Mungu. Ningekuwa na nafasi ya kumshauri ningemshauri yeye binafsi kutokukubali watendaji wake kutoa ahadi kwa ajili ya mafanikio ya kisiasa. Ni vema kuwaeleza ukweli wananchi.

IWAPO TAARIFA HII YA UJENZI WA BARABARA ITAKUWA NI YA KWELI NA UTEKELEZAJI WAKE UKAFANYIKA KWA WAKATI LITAKUWA NI JAMBO JEMA SANA.

ISIWE NI DANADANA, MARA SIJUI MICHAKATO, MARA UPEMBUZI YAKINIFU, MARA MKANDARASI AMESHINDWA VIGEZO HIVYO ANATAFUTWA MWINGINE. AU UKUTE WANALETA MAGARI MAWILI MATATU YA UJENZI NA KUWEKA BANGO KUUUUBWA LA UKANDARASI HALAFU INAPITA MIAKA MITATU HALI IKIWA HIVYOHIVYO.

AU INAFANYIKA KAMA BARABARA YA MBEZI MAKABE, MSAKUZI KWENDA MPIJI INAYOJENGWA KM 1 KWA KILA BAADA YA MIAKA MIWILI. YAANI MWENDO WA KOBE.
Daraja la Jangwani ilisemekana itajengwa kwa bilioni 300 juzi kati wakasema itajengwa kwa bilioni 97, haijulikani ipi ni kweli. Sasa hii nyingine ya kuboresha Jiji la Dar na mvua zipo karibu ni muda ndio utatoa jibu sahihi.
 
Isije ikawa.ni.haya.ma.mwendokasi yaliyochimbuwa mji.mzima. mwendokasi waifanyie monitoring and evaluation imefeli.vibaya.sana haina.tija yoyote.
 
Serikali kupitia waziri wake wa Tamisemi Mh Mchengerwa imetutangazia kusainiwa kwa mikataba ya ujenzi wa Barabara za halmashauri za jiji la DSM.

Maoni ya wananchi wengi wanaonyesha kutokuamini uhalisia wa jambo hili kwani inaonyesha ni kila mwaka kumekuwa kukitolewa ahadi nyingi ambazo zimekuwa hazitekelezwi. Wengi wanahusisha taarifa hii na suala la uchaguzi unaosubiriwa wa serikali za mitaa.

Binafisi huwa ninamuamini sana Mama yetu hasa kutokana na imani yake thabiti mbele ya mwenyezi Mungu. Ningekuwa na nafasi ya kumshauri ningemshauri yeye binafsi kutokukubali watendaji wake kutoa ahadi kwa ajili ya mafanikio ya kisiasa. Ni vema kuwaeleza ukweli wananchi.

IWAPO TAARIFA HII YA UJENZI WA BARABARA ITAKUWA NI YA KWELI NA UTEKELEZAJI WAKE UKAFANYIKA KWA WAKATI LITAKUWA NI JAMBO JEMA SANA.

ISIWE NI DANADANA, MARA SIJUI MICHAKATO, MARA UPEMBUZI YAKINIFU, MARA MKANDARASI AMESHINDWA VIGEZO HIVYO ANATAFUTWA MWINGINE. AU UKUTE WANALETA MAGARI MAWILI MATATU YA UJENZI NA KUWEKA BANGO KUUUUBWA LA UKANDARASI HALAFU INAPITA MIAKA MITATU HALI IKIWA HIVYOHIVYO.

AU INAFANYIKA KAMA BARABARA YA MBEZI MAKABE, MSAKUZI KWENDA MPIJI INAYOJENGWA KM 1 KWA KILA BAADA YA MIAKA MIWILI. YAANI MWENDO WA KOBE.
Waziri amesema Mpiji itakuwa kama ulaya, hii ni baada ya Kikwete kufanikiwa kuifanya Kigoma kama Dubai.
 
Serikali kupitia waziri wake wa Tamisemi Mh Mchengerwa imetutangazia kusainiwa kwa mikataba ya ujenzi wa Barabara za halmashauri za jiji la DSM.

Maoni ya wananchi wengi wanaonyesha kutokuamini uhalisia wa jambo hili kwani inaonyesha ni kila mwaka kumekuwa kukitolewa ahadi nyingi ambazo zimekuwa hazitekelezwi. Wengi wanahusisha taarifa hii na suala la uchaguzi unaosubiriwa wa serikali za mitaa.

Binafisi huwa ninamuamini sana Mama yetu hasa kutokana na imani yake thabiti mbele ya mwenyezi Mungu. Ningekuwa na nafasi ya kumshauri ningemshauri yeye binafsi kutokukubali watendaji wake kutoa ahadi kwa ajili ya mafanikio ya kisiasa. Ni vema kuwaeleza ukweli wananchi.

IWAPO TAARIFA HII YA UJENZI WA BARABARA ITAKUWA NI YA KWELI NA UTEKELEZAJI WAKE UKAFANYIKA KWA WAKATI LITAKUWA NI JAMBO JEMA SANA.

ISIWE NI DANADANA, MARA SIJUI MICHAKATO, MARA UPEMBUZI YAKINIFU, MARA MKANDARASI AMESHINDWA VIGEZO HIVYO ANATAFUTWA MWINGINE. AU UKUTE WANALETA MAGARI MAWILI MATATU YA UJENZI NA KUWEKA BANGO KUUUUBWA LA UKANDARASI HALAFU INAPITA MIAKA MITATU HALI IKIWA HIVYOHIVYO.

AU INAFANYIKA KAMA BARABARA YA MBEZI MAKABE, MSAKUZI KWENDA MPIJI INAYOJENGWA KM 1 KWA KILA BAADA YA MIAKA MIWILI. YAANI MWENDO WA KOBE.
Tatizo la kuendekeza negativity
 
Shida sijui hawana ela au hela wanazitumia kwa matumizi mengine na ukizingatia hataki kuonekana na changamoto wanafichaficha. Hata vibao vinavyowekws kuonyesha description ya mradi, kwingine kote wanaandika fresh ila ikifika kwenye duration ya mradi wanaandika tu 15 months tofauti na kawaida huandika kutoka tarehe hii mpaka tarehe hii.

Kwahiyo hata waki-delay hamjui wame-delay kwa muda gani maana inaonekana wanakubaliana na mkandarasi kuvumiliana. Kuna barabara Mwanza zimesainiwa November 2023 na zinatakiwa kuisha February 2025, na nikiziangalia February itakuwa bado na mvua hizi zinazoanza. Hapo ndo nimekuta kibao kimewekwa 15 months
 
Ni siasa za campaign tu hizo.

Baadhi ya barabara ziliwekwa mabango ya ujenzi miaka 3 nyuma na ujenzi ulionekana utachukua miezi 3.

Kutamwagwa vifusi na mabango halafu maisha yataendelea.
 
Serikali kupitia waziri wake wa Tamisemi Mh Mchengerwa imetutangazia kusainiwa kwa mikataba ya ujenzi wa Barabara za halmashauri za jiji la DSM.

Maoni ya wananchi wengi wanaonyesha kutokuamini uhalisia wa jambo hili kwani inaonyesha ni kila mwaka kumekuwa kukitolewa ahadi nyingi ambazo zimekuwa hazitekelezwi. Wengi wanahusisha taarifa hii na suala la uchaguzi unaosubiriwa wa serikali za mitaa.

Binafisi huwa ninamuamini sana Mama yetu hasa kutokana na imani yake thabiti mbele ya mwenyezi Mungu. Ningekuwa na nafasi ya kumshauri ningemshauri yeye binafsi kutokukubali watendaji wake kutoa ahadi kwa ajili ya mafanikio ya kisiasa. Ni vema kuwaeleza ukweli wananchi.

IWAPO TAARIFA HII YA UJENZI WA BARABARA ITAKUWA NI YA KWELI NA UTEKELEZAJI WAKE UKAFANYIKA KWA WAKATI LITAKUWA NI JAMBO JEMA SANA.

ISIWE NI DANADANA, MARA SIJUI MICHAKATO, MARA UPEMBUZI YAKINIFU, MARA MKANDARASI AMESHINDWA VIGEZO HIVYO ANATAFUTWA MWINGINE. AU UKUTE WANALETA MAGARI MAWILI MATATU YA UJENZI NA KUWEKA BANGO KUUUUBWA LA UKANDARASI HALAFU INAPITA MIAKA MITATU HALI IKIWA HIVYOHIVYO.

AU INAFANYIKA KAMA BARABARA YA MBEZI MAKABE, MSAKUZI KWENDA MPIJI INAYOJENGWA KM 1 KWA KILA BAADA YA MIAKA MIWILI. YAANI MWENDO WA KOBE.
Wala usiwe na wasiwasi kwani hizo barabara zinajengwa na watu au makampuni binafsi kwa kibali cha serikali kinachoitwa PPP.
Kupita kwenye barabara hizo hata kama ni kwa mguu utalipa dau la kutosha. Wale wa chama rafiki wakitaka kuandamana kwenye hizo barabara mamilioni ya pesa zitawatoka. Ni kama lile daraja la Kigamboni. Tena hilo la Kigamboni ni nafuu kwani PPP yake ni kwa shirika letu la umma la NSSF. Hizo barabara zitakazojengwa PPP yake ni makampuni binafsi tena ya nchi za nje, hivyo dau lake ni kubwa zaidi. Watakaomudu kuzitumia barabara hizo ni wale ambao pesa kwao si tatizo. Mimi na wewe tujiandae maumivu. Ni magari ya polisi tu ndiyo yataruhusiwa kupita bure.
 
hii barabara ya dege cheka kwamoris hadi puna kazima iwekewe lami inawakubwa wengi huko na hii ya kisarawe two hadi kimbiji ndio utakayo mpa kura makonda nayo muhimu sana
 
Mbona
Tatizo la kuendekeza negativity
Mbona mifano ipo mingi sana Mheshimiwa. Sasahivi imefika mahali kuamini kinachoahidiwa ni mpaka tuone kwa macho kikifanyika, hasa suala la barabara na maji.

Nenda kule ukaangalie ujenzi wa Barabara ya Mbezi kupita makabe kuelekea Mpiji ndipo utaelewa tunachoeleza. Barabara iliyoahidiwa tangu Magufuli yupo lakini hadi sasa imejengwa lami KM 1 tu kwa miaka mitatu. NINAAMINI HII HATA MAMA YETU HANA TAARIFA KAMA KUNA MDORORO WA KIASI HIKI.

NYIE WATENDAJI HUKO SERIKALINI NDIO MNAOWAANGUSHA WANAOWATEUA. YAANI MNATAKA RAIS AWE MKALI KWENU KAMA ILIVYOKUWA JPM
 
Mbona
Mbona mifano ipo mingi sana Mheshimiwa. Sasahivi imefika mahali kuamini kinachoahidiwa ni mpaka tuone kwa macho kikifanyika, hasa suala la barabara na maji.

Nenda kule ukaangalie ujenzi wa Barabara ya Mbezi kupita makabe kuelekea Mpiji ndipo utaelewa tunachoeleza. Barabara iliyoahidiwa tangu Magufuli yupo lakini hadi sasa imejengwa lami KM 1 tu kwa miaka mitatu. NINAAMINI HII HATA MAMA YETU HANA TAARIFA KAMA KUNA MDORORO WA KIASI HIKI.

NYIE WATENDAJI HUKO SERIKALINI NDIO MNAOWAANGUSHA WANAOWATEUA. YAANI MNATAKA RAIS AWE MKALI KWENU KAMA ILIVYOKUWA JPM
Hebu share hapa hiyo announcement ya barabara unayoitaja

Btw rais samia ni mkali kuliko unavyodhani na hana ujinga kwenye results
 
Tuliambiwa jimbo la kawe DMDP inaanza mwezi wa 4 ila hadi now tupo wa 11 still hamna kitu
 
Nashukuru mitaa yangu tuliambulia kupigiwa lami lkn enzi za magu
Ila hawa wa sasa sijui 😄

Ova
 
Back
Top Bottom