Kusema hakuna mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya Dkt. Magufuli ni kukosa akili

Kusema hakuna mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya Dkt. Magufuli ni kukosa akili

Kila zama na kitabu chake, huyu magufuli wa sasa hatakua wa 2026 kuna mambo mengi yatabadilika hata kama atamzidi Idi Amin Dada kwa udikteta hatakua alivyo sasa.

kipindi hicho vijana wasomi ambao hana ndoto ya kuwasaidia kwa kuuwa sector binafsi ambayo ndiyo uti wa mgongo katika Ajira watakua wengi kiasi cha kutosha kumuangusha kwa aibu.

Viongozi wengi atakua amewafukuza kazi na watakua na hasira nae hivyo watatengeneza uasi wa chini chini na kumdhoofisha katika uongozi jeshi ambalo analipa ulaji ili kujijengea mkono wa chuma watachoka kumlinda mtu moja huku wakiona watoto wa ndugu zao wakiangaika kwa kuwaomba misaada.

Kama magufuli anataka aibu ya karne akubali huo ujinga.
Vijana wa sikuizi si ndiyo hawa hawa wanaomsifia kama mazezeta bora wazee wa 1964 kuliko vila wa 1990
 
huyo magufuli tutampima kwenye nyongeza za mishahara na kupandisha wafanyakazi vyeo period.ndio hayo makelele tutayapima validity yake kinyume na hapo itabaki kua makelele, maana mpaka sasa kuna wafanyakazi wana miezi miwili hawajalipwa mishahara na wengine hajapewa posho zao za kisheria.Hapo sijazungumzia utawala wa sheria na haki za binadam. Na wanaotaka aongezewe muda je ni wafanyakazi? au wakulima? au Je ni wafanya biashara? Je ni wanafunzi walio maliza vyuo na walio masomoni?
 
Kuna watu wataleta nyuzi za kishamba sana eti haoni mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya miaka 5 au 10 ya Dr Magufuli. Sisemei Dr Magufuli hajafanya kazi , la hasha, Kajitahidi na kachapa kazi ila Tanzania ina watu mil 58 , naamini kuna watu Zaidi ya mil 1 wanaoweza kufanya vizuri kwenye kiti cha Urais Zaidi ya Dr Magufuli.

Wengi wanaomzunguzia Dr Magufuli kama mungu ni washamba Fulani ambao hawana exposure ya kutosha na elimu yao ni ya chini sana. Lakini tatizo lao kubwa ni IQ yao kuwa chini sana below the bottom line .

Tanzania kukosa viongozi wazuri ni matokeo ya Katiba mbovu na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kuua Demokrasia ambayo ndio njia sahihi ya kuwaona viongozi wazuri. Wengi wanahofu hata wamekata tamaa ya siasa kwa sababu ya vitisho vya wenye mamlaka wasio jali haki za binadamu hata ndani ya chama cha CCM.

Hata Nyerere aliimbiwa nyimbo kama hizi na maadhi ya wapumbavu na wasio na akili lakini mwishoni mwenyewe Nyerere akaona hatoshi. Laiti angekubali vichwa kama kina Kambona leo Tanzania ingekua moja ya nchi zenye uchumi bora na Imara Africa Zaidi ya Nigeria na South Africa.

Ethiopia imetawaliwa na Mawaziri wakuu wawili wakatili wasio jail haki za binadamu ,wao waliamini katika maendeleo ya mkono wa chuma nao si wengine ni Hailemariam Desalegn na Meles Zenawi.

Katika vipindi vyao haki za buinadamu zilizorota sana, waandishi wa Habari wengi walifungwa na kuteswa , wananchi wengi walikimbia nchi yao , wapinzania wangi wakaishia gerezani . Pamoja na maendeleo waliyo yaleta kama barabara, Ethiopia airlines, etc mwisho chama chao kikakiri hawahitaji viongozi wakatili wanao angalia maenmdeleo bila haki za binadamu , wanahitaji demokrasia, uhuru wa kuchagua, uhuru wa kuongea na kusikilizwa etc.

Hawa wote waliimbiwa manyimbo ya kipumbavu kama wanayo imba kima kessy, msukuma, lijuakali,Sanga na wapumbavu wengine bungeni wasio jitambua kutokana na IQ zao kuwa chini sana.

Baada yah hapo chama kikamleta kijana msomi na mwelevu Abiy Ahmed ambaye ameleta neema kwa watu wa Ethiopia, maendeleo anasimamia, uchumi unaenda kwa kasi, hata kisasi na mtu, vyama vya siasa vinafanya siasa, wandishi wanaandika mambo yao kwa uhuru, walio kimbia nchi yao wamerudi,mahakama zinafanya kazi zao kwa uhuru, vyombo vya dola vinasimamia haki sawasawa bila kumwonea mtu etc.

Ni lazima watanzania tuendelee kuzipuuza sauti za hawa wachumia tumbo, wasio na akili. Tanzania inauwezo wa kutoa viongozi ambao wanaweza kubadilisha nchi hii ndani ya miaka michache, ikawa nchi nzuri, yenye uhuru, yenye uchumi imara, yenye kujali haki za binadamu, yenye demokrasia etc.

Kumbuka: Wale waliokua nondo Olevel wakiamini wao ndio wenye akili Tanzania, Siku wameenda shule kama Ilboru , Mzumbe Kibaha, wakashangaa wanashika mkia.

Pongezi sana kwa Dr Magufuli na Marais wote waliopita,
Dr Magufuli fanya kazi yako ,sepaaaaa.
Wapo wengi wenye maono na Taifa hili.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania wote Mil 58.
Yupo lakini kumpata ni majariwa!
 
Kuna watu wataleta nyuzi za kishamba sana eti haoni mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya miaka 5 au 10 ya Dr Magufuli. Sisemei Dr Magufuli hajafanya kazi , la hasha, Kajitahidi na kachapa kazi ila Tanzania ina watu mil 58 , naamini kuna watu Zaidi ya mil 1 wanaoweza kufanya vizuri kwenye kiti cha Urais Zaidi ya Dr Magufuli.

Wengi wanaomzunguzia Dr Magufuli kama mungu ni washamba Fulani ambao hawana exposure ya kutosha na elimu yao ni ya chini sana. Lakini tatizo lao kubwa ni IQ yao kuwa chini sana below the bottom line .

Tanzania kukosa viongozi wazuri ni matokeo ya Katiba mbovu na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kuua Demokrasia ambayo ndio njia sahihi ya kuwaona viongozi wazuri. Wengi wanahofu hata wamekata tamaa ya siasa kwa sababu ya vitisho vya wenye mamlaka wasio jali haki za binadamu hata ndani ya chama cha CCM.

Hata Nyerere aliimbiwa nyimbo kama hizi na maadhi ya wapumbavu na wasio na akili lakini mwishoni mwenyewe Nyerere akaona hatoshi. Laiti angekubali vichwa kama kina Kambona leo Tanzania ingekua moja ya nchi zenye uchumi bora na Imara Africa Zaidi ya Nigeria na South Africa.

Ethiopia imetawaliwa na Mawaziri wakuu wawili wakatili wasio jail haki za binadamu ,wao waliamini katika maendeleo ya mkono wa chuma nao si wengine ni Hailemariam Desalegn na Meles Zenawi.

Katika vipindi vyao haki za buinadamu zilizorota sana, waandishi wa Habari wengi walifungwa na kuteswa , wananchi wengi walikimbia nchi yao , wapinzania wangi wakaishia gerezani . Pamoja na maendeleo waliyo yaleta kama barabara, Ethiopia airlines, etc mwisho chama chao kikakiri hawahitaji viongozi wakatili wanao angalia maenmdeleo bila haki za binadamu , wanahitaji demokrasia, uhuru wa kuchagua, uhuru wa kuongea na kusikilizwa etc.

Hawa wote waliimbiwa manyimbo ya kipumbavu kama wanayo imba kima kessy, msukuma, lijuakali,Sanga na wapumbavu wengine bungeni wasio jitambua kutokana na IQ zao kuwa chini sana.

Baada yah hapo chama kikamleta kijana msomi na mwelevu Abiy Ahmed ambaye ameleta neema kwa watu wa Ethiopia, maendeleo anasimamia, uchumi unaenda kwa kasi, hata kisasi na mtu, vyama vya siasa vinafanya siasa, wandishi wanaandika mambo yao kwa uhuru, walio kimbia nchi yao wamerudi,mahakama zinafanya kazi zao kwa uhuru, vyombo vya dola vinasimamia haki sawasawa bila kumwonea mtu etc.

Ni lazima watanzania tuendelee kuzipuuza sauti za hawa wachumia tumbo, wasio na akili. Tanzania inauwezo wa kutoa viongozi ambao wanaweza kubadilisha nchi hii ndani ya miaka michache, ikawa nchi nzuri, yenye uhuru, yenye uchumi imara, yenye kujali haki za binadamu, yenye demokrasia etc.

Kumbuka: Wale waliokua nondo Olevel wakiamini wao ndio wenye akili Tanzania, Siku wameenda shule kama Ilboru , Mzumbe Kibaha, wakashangaa wanashika mkia.

Pongezi sana kwa Dr Magufuli na Marais wote waliopita,
Dr Magufuli fanya kazi yako ,sepaaaaa.
Wapo wengi wenye maono na Taifa hili.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania wote Mil 58.

Kikubwa hoja tu why and why not? Tupanue akili tu wanaosema hivo sawa waje na hoja zao na wanaopinga nao sawa waje na hoja zao, kuainisha hoja iwe kipaumbele, naanza kwa kuchukua hoja ya katiba, democracy na micro spectrum ama local scale of imaginations. Thanks I have digested a lot
 
huyo magufuli tutampima kwenye nyongeza za mishahara na kupandisha wafanyakazi vyeo period.ndio hayo makelele tutayapima validity yake kinyume na hapo itabaki kua makelele, maana mpaka sasa kuna wafanyakazi wana miezi miwili hawajalipwa mishahara na wengine hajapewa posho zao za kisheria.Hapo sijazungumzia utawala wa sheria na haki za binadam. Na wanaotaka aongezewe muda je ni wafanyakazi? au wakulima? au Je ni wafanya biashara? Je ni wanafunzi walio maliza vyuo na walio masomoni?


Kwenye mapishi tunaweka chumvi na sio sumu. NB: pilipili sio lazima na si kwa wote, na chumvi kwa baadhi hawatumii, ila sumu haziwahusu wote
 
Mwandishi ndiyo mashamba na limbukeni wa kutupwa!!

Ijapokuwa kuna vitu vingi vya maana katika andiko lako, Jambo moja tu ambalo linalokufanya kuonekane wewe ni mshamba na mjinga,

Nikikuuliza kwamba, Unatumia vigezo gani vya kumfananisha Magufuli ambaye ni Binadamu awe kama Mungu?

Pengine utasema ni zile sifa anazopewa za utendaji na usimamizi wake!!

Lakini Je, kuwa mtu makini na kusimamia mambo yako Kwa makini na ukasifiwa kwa umaskini wako, kunakosa gani kwako binafsi na Kwa wasifiaji?

Mimi ni mfanyabiashara, Kunakosa gani kutaka Viwango vya Mo kwamba nami siku moja ningependa kufika huko?

Au Kunakosa gani kumsifia Mo jinsi alivyomtafiti mzuuri ktk masoko na pengine kusema huwezi kumfananisha na wengine?

Na ieleweke, Mungu alituumba kila mtu awe wa tofauti na Viwango vya tofauti, na lazima hata darasani awepo mtu wa kushika no moja darasani ingawa walimu ni walewale na masomo ni yaleyale, Darasa ni lilelile, masomo ni yaleyale, walimu ni walewale, Ila kuna mwanafunzi atatoka kapa!

Kinachokusumbua ni wivu wa kike, fanya vema na wewe utapata kibali machoni pa watu, na usipende kutafsri kupendwa na kusifiwa eti ni kama kufananisha na mtu na Viwango vya Uungu!
Kinachoacha maswali hapa ni

1. Wanaosifia
2. Anayesifiwa
3. Kinachosifiwa
4. Ulinganifu wa sifa

Ukiangalia vizuri consistency ya hivyo vitu, kama una akili timamu na uwezo wa kutafakari ukiwa huru kimawazo hapo ndipo utakapogundua jambo ambalo ndilo kiini cha mleta mada na hata kinachosumbua vichwa vya baadhi ya watanzania ambao wanaweza kutafakari mustakabali wa taifa hili kwa kina.
 
Kinachoacha maswali hapa ni

1. Wanaosifia
2. Anayesifiwa
3. Kinachosifiwa
4. Ulinganifu wa sifa

Ukiangalia vizuri consistency ya hivyo vitu, kama una akili timamu na uwezo wa kutafakari ukiwa huru kimawazo hapo ndipo utakapogundua jambo ambalo ndilo kiini cha mleta mada na hata kinachosumbua vichwa vya baadhi ya watanzania ambao wanaweza kutafakari mustakabali wa taifa hili kwa kina.
Good!
  1. Ni Kwa nini wasifiaji, wasifu na badala ya kuishia kusifia Tu, Kwa sifa zao zilezile ziwatume kusema yumkini huyu tunayemsifia aweza kuwa ni Mungu, Hilo litakuwaje kuwa ni kosa la msifiwa?
2. Msifiwa yuleyule, ambaye tunataka tumuone ni kama Mungu, Ndiye aliyewataka Watanzania wote Kwa Imani zao kumwomba MUNGU kuhusu Corona, huoni kwamba kosa linabaki Kwa wenye mitazamo ya kumwona msifiwa kuwa yu kama Mungu ili Hali yeye Hana hata habari hizo akirini mwake?

Wengi wa Watanzania tuna mizaha na Mungu muumbaji, si bule, tunapenda kuweka utani paspo stahili
 
Mkuu unanaamisha kufikiri hivyo ni upunguani..!! Hapana bwana yawezekana hatuna mtu kwa sasa!!

Ila mi so punguani !!
 
Good!
  1. Ni Kwa nini wasifiaji, wasifu na badala ya kuishia kusifia Tu, Kwa sifa zao zilezile ziwatume kusema yumkini huyu tunayemsifia aweza kuwa ni Mungu, Hilo litakuwaje kuwa ni kosa la msifiwa?
2. Msifiwa yuleyule, ambaye tunataka tumuone ni kama Mungu, Ndiye aliyewataka Watanzania wote Kwa Imani zao kumwomba MUNGU kuhusu Corona, huoni kwamba kosa linabaki Kwa wenye mitazamo ya kumwona msifiwa kuwa yu kama Mungu ili Hali yeye Hana hata habari hizo akirini mwake?

Wengi wa Watanzania tuna mizaha na Mungu muumbaji, si bule, tunapenda kuweka utani paspo stahili
Umefanikiwa kuwatafakari wanaosifu na sifa zao!? Je sifa wanazotoa ni za dhati ama la?

Anayesifiwa ana hulka ya kupenda kusifiwa, ndio maana hata anapata wanaomsifu wakiwa na hitaji lingine nje ya sifa wanazompa ila ni kwa sababu wanamaslahi na wanaemsifia. Hawa wako tayari hata kushuhudia watanzania wenzao wakiumizwa kutokana na wanachosifia wao ila kwa kuwa wao wananufaika basi watasifia tu, je huo ndio uzalendo wa awamu hii?
 
Kuna watu wataleta nyuzi za kishamba sana eti haoni mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya miaka 5 au 10 ya Dr Magufuli. Sisemei Dr Magufuli hajafanya kazi , la hasha, Kajitahidi na kachapa kazi ila Tanzania ina watu mil 58 , naamini kuna watu Zaidi ya mil 1 wanaoweza kufanya vizuri kwenye kiti cha Urais Zaidi ya Dr Magufuli.

Wengi wanaomzunguzia Dr Magufuli kama mungu ni washamba Fulani ambao hawana exposure ya kutosha na elimu yao ni ya chini sana. Lakini tatizo lao kubwa ni IQ yao kuwa chini sana below the bottom line .

Tanzania kukosa viongozi wazuri ni matokeo ya Katiba mbovu na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kuua Demokrasia ambayo ndio njia sahihi ya kuwaona viongozi wazuri. Wengi wanahofu hata wamekata tamaa ya siasa kwa sababu ya vitisho vya wenye mamlaka wasio jali haki za binadamu hata ndani ya chama cha CCM.

Hata Nyerere aliimbiwa nyimbo kama hizi na maadhi ya wapumbavu na wasio na akili lakini mwishoni mwenyewe Nyerere akaona hatoshi. Laiti angekubali vichwa kama kina Kambona leo Tanzania ingekua moja ya nchi zenye uchumi bora na Imara Africa Zaidi ya Nigeria na South Africa.

Ethiopia imetawaliwa na Mawaziri wakuu wawili wakatili wasio jail haki za binadamu ,wao waliamini katika maendeleo ya mkono wa chuma nao si wengine ni Hailemariam Desalegn na Meles Zenawi.

Katika vipindi vyao haki za buinadamu zilizorota sana, waandishi wa Habari wengi walifungwa na kuteswa , wananchi wengi walikimbia nchi yao , wapinzania wangi wakaishia gerezani . Pamoja na maendeleo waliyo yaleta kama barabara, Ethiopia airlines, etc mwisho chama chao kikakiri hawahitaji viongozi wakatili wanao angalia maenmdeleo bila haki za binadamu , wanahitaji demokrasia, uhuru wa kuchagua, uhuru wa kuongea na kusikilizwa etc.

Hawa wote waliimbiwa manyimbo ya kipumbavu kama wanayo imba kima kessy, msukuma, lijuakali,Sanga na wapumbavu wengine bungeni wasio jitambua kutokana na IQ zao kuwa chini sana.

Baada yah hapo chama kikamleta kijana msomi na mwelevu Abiy Ahmed ambaye ameleta neema kwa watu wa Ethiopia, maendeleo anasimamia, uchumi unaenda kwa kasi, hata kisasi na mtu, vyama vya siasa vinafanya siasa, wandishi wanaandika mambo yao kwa uhuru, walio kimbia nchi yao wamerudi,mahakama zinafanya kazi zao kwa uhuru, vyombo vya dola vinasimamia haki sawasawa bila kumwonea mtu etc.

Ni lazima watanzania tuendelee kuzipuuza sauti za hawa wachumia tumbo, wasio na akili. Tanzania inauwezo wa kutoa viongozi ambao wanaweza kubadilisha nchi hii ndani ya miaka michache, ikawa nchi nzuri, yenye uhuru, yenye uchumi imara, yenye kujali haki za binadamu, yenye demokrasia etc.

Kumbuka: Wale waliokua nondo Olevel wakiamini wao ndio wenye akili Tanzania, Siku wameenda shule kama Ilboru , Mzumbe Kibaha, wakashangaa wanashika mkia.

Pongezi sana kwa Dr Magufuli na Marais wote waliopita,
Dr Magufuli fanya kazi yako ,sepaaaaa.
Wapo wengi wenye maono na Taifa hili.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania wote Mil 58.
Mbona Mbowe huwa mnasema hakuna wa kuvaa viatu vyake?
 
Umeandika vizuri sana mkuu. Hongera sana kukemea maamuzi ya wachache yenye kila chembechembe ya ushamba na ushenzi
 
Sijui kwanini Mimi nawaona walimu na watu wote ambao ni walimu kwa maana ya teacher Kama ni vilaza na huwa sitegemei lolote la maana toka kwao? Nisaidie jamani
Walimu wa siku hizi wazinguaji tu. Huwezi kuwafananisha na wale wa zamani zile waliotufundisha
 
Ni lazima watanzania tuendelee kuzipuuza sauti za hawa wachumia tumbo, wasio na akili. Tanzania inauwezo wa kutoa viongozi ambao wanaweza kubadilisha nchi hii ndani ya miaka michache, ikawa nchi nzuri, yenye uhuru, yenye uchumi imara, yenye kujali haki za binadamu, yenye demokrasia etc.
Umeandika kwa umakini sana hiki kipande. Pongezi sana mkuu
 
Back
Top Bottom