Kusema tu kuna watu waliiba pesa za plea bargaining na kuzificha China haitoshi. Serikali ina mkono mrefu. Iwakamate wahusika na kuzirejesha nchini

Kusema tu kuna watu waliiba pesa za plea bargaining na kuzificha China haitoshi. Serikali ina mkono mrefu. Iwakamate wahusika na kuzirejesha nchini

Miaka ya nyuma baada ya hayati Benjamini Mkapa kuingia madarakani tulianza kusikia juu ya ukwapuaji wa pesa za umma uliofanyika. Moja ya watuhumiwa alikuwa ni Prof. Kighoma Malima ambaye alishafariki. Tukaanza kusoma kwenye magazeti kuwa alificha pesa nyiki huko Uingereza. Na baadae tuliskia serikali ilifreeze akaunti yake na kurejesha hizo pesa.

Sasa mkuu wa nchi kusimama hadharani na kutamka kuwa kuna mabil ya pesa yamefichwa China, maana yake anafahamu benki, akaunti na hata walioficha.

Serikali iyarudishe hayo mabil na wahusika walio hai wachukuliwe hatua. Zaidi ya hapo kuna lingine nyuma ya pazia.
Mjue samia ni mswahili wa pwani. Kupiga vijembe ni desturi ya watu pwani. Inawezekana nia yake watu waone jpm alikua na makandokando licha ya umma wa wananchi kumpenda na kumwamini sana... sina hakika ya hili.
Kwanza tukubaliane kitu kimoja. Mwenyewe samia hajatamka hela zote ya plea bargain zimepotea. Ila kaonesha akiuliza hapewi jibu la kueleweka na kwamba kaambiwa hela zingine ziko china. Hajasema kama kuna wizi.
Hicho ni kijembe kwa sababu wabaya wa magufuli kwao magufuli ni mwizi na kaficha hela china. Licha ya kwamba sheria ya plea bargain imeendelea kutumika hadi sasa miaka miwili tangu magufuli amekufa. Wala mama hakusema hela zimepelekwa lini china.
 
Miaka ya nyuma baada ya hayati Benjamini Mkapa kuingia madarakani tulianza kusikia juu ya ukwapuaji wa pesa za umma uliofanyika. Moja ya watuhumiwa alikuwa ni Prof. Kighoma Malima ambaye alishafariki. Tukaanza kusoma kwenye magazeti kuwa alificha pesa nyiki huko Uingereza. Na baadae tuliskia serikali ilifreeze akaunti yake na kurejesha hizo pesa.

Sasa mkuu wa nchi kusimama hadharani na kutamka kuwa kuna mabil ya pesa yamefichwa China, maana yake anafahamu benki, akaunti na hata walioficha.

Serikali iyarudishe hayo mabil na wahusika walio hai wachukuliwe hatua. Zaidi ya hapo kuna lingine nyuma ya pazia.
The late maxima hakuwahi kukwapua hata sailing ya tanzania huon ulikua ni uongo wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom