SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
actually kila eneo dar lina life style yake,Aaashiii Dar hiii hiii ndio inapewa maujiko namna hii π Big no binafsi huwa sielewi watu kwann huwa wanapakubal Dar ,naishi Mwanza sehemu nzuri san kwangu Dar nmewah kukaa miez 7 tu safar zingne naendaga na kurud baada ya 3 au 4 ila sivutiw kbs au mm nnashida
Vipi mtu akiwa iringa ataenda kutembea mafinga au kilolo.Akili yako mtu akiwa dar anaweza kwenda kutembea Mabwepande au Kibwegere ?
Haahaa π π π πKwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.
Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko π
Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.
Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. π
Thank you Dar es Salaam..
Mnaposema "Dar huwezi izunguka kwa siku moja kama mikoa mingine" huwa mna maanisha nini?Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.
Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko [emoji205]
Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.
Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. [emoji205]
Thank you Dar es Salaam..
Where are you heading to?Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.
Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko π
Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.
Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. π
Thank you Dar es Salaam..
Kuna nini mkuu hapo riverside usiku?Ulipokuwa Dar ulitembelea Riverside mida ya night?
You have already mentioned HOME in your story, where exactly are you going?im going back home
C'mon nigga, you gotta tell us lest you leave us in agony of the city.that one is not important currently, let it be the story for other dayπ
Kimboka unapajua?no,
relax and enjoy the very safe and beautiful city, hope to meet once again π
Kama mgeni na umefikia ushuani,ukaenda posta kidogo then ukaondoka utapaona pazuri sanaKwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.
Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko [emoji205]
Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.
Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. [emoji205]
Thank you Dar es Salaam..