Kusema ukweli Dar es Salaam ni pazuri

Kusema ukweli Dar es Salaam ni pazuri

Aaashiii Dar hiii hiii ndio inapewa maujiko namna hii 😁 Big no binafsi huwa sielewi watu kwann huwa wanapakubal Dar ,naishi Mwanza sehemu nzuri san kwangu Dar nmewah kukaa miez 7 tu safar zingne naendaga na kurud baada ya 3 au 4 ila sivutiw kbs au mm nnashida
 
Aaashiii Dar hiii hiii ndio inapewa maujiko namna hii 😁 Big no binafsi huwa sielewi watu kwann huwa wanapakubal Dar ,naishi Mwanza sehemu nzuri san kwangu Dar nmewah kukaa miez 7 tu safar zingne naendaga na kurud baada ya 3 au 4 ila sivutiw kbs au mm nnashida
actually kila eneo dar lina life style yake,
so,
unaweza ishi eneo ambalo ni tofauti na expectations au principal zako za maisha ukapachukia. But kuna maeneo ukiishi hauwezi jutia but utajilaumu why umechelewa kugundua kuishi apo 🐒

all in all maisha ni popote na kila moja ana mahitaji, vipaumbele, malengo, maoni na mtazamo juu ya maisha ya mahali mahalia ..

Ila to me,
Thank you dar es salaam 🐒
 
Nenda tu kaka , nyie wakuja ndiyo mlikuja na chuma ulete kiasi kuwa wazawa hela haishikiki .
Yaani tukipata hela zinaishia klabu , kuwapa wadada na mwisho mlituroga akili hatuondoki mwaketu hata tuowe sisi tunabanana kwa baba na mama
 
Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.

Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko 🐒

Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.

Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. 🐒

Thank you Dar es Salaam..
Haahaa 😅😅😅😅
 
Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.

Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko [emoji205]

Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.

Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. [emoji205]

Thank you Dar es Salaam..
Mnaposema "Dar huwezi izunguka kwa siku moja kama mikoa mingine" huwa mna maanisha nini?

Kwamba mkoa wa morogoro unaweza kuutembea wote kwa siku moja ila Dar huwezi?

NB: Dar ndio dream City ya kila mtanzania
 
Km una hela isiyokuwa na mawazo, hakuna sehemu isiyokuwa nzuri Tanzania.
Nawashauri vijana muelekeze bidii kwenye kutafuta hela na sio kupoteza muda mitandaoni...

Hapo Daresalam ukikosa pesa panageuka kuwa Jehanam, tofauti na Njombe.
 
Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.

Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko 🐒

Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.

Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. 🐒

Thank you Dar es Salaam..
Where are you heading to?
 
Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.

Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko [emoji205]

Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.

Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. [emoji205]

Thank you Dar es Salaam..
Kama mgeni na umefikia ushuani,ukaenda posta kidogo then ukaondoka utapaona pazuri sana
 
Back
Top Bottom