Kusema ukweli, wakoloni Tanzania yetu hawakuiibia kitu!

Kusema ukweli, wakoloni Tanzania yetu hawakuiibia kitu!

Nasikia Lowassa aliokota/aligundua mali zilizokuwa zimechimbiwa chini na wakoloni wa Kijeremani huko Monduli. Eti mali hizo ndo msingi wa utajiri wake!
 
infinix,
Kuna tofauti ya kibao ulichojichapa mwenywe na ulichochapwa na mtu mwingine. Huwezi kulinganisha njaa aliyoleta mkoloni kwa kulazimisha kunyang'anya chakuwa watu weusi, na njaa inayotokana na hali mbaya ya hewa. Hapo hapo huwezi kusema kwa uhakika serikali ndio inayouwa watu wakati baadhi ya watu wanajitengenezea visasi kwanjia mbali mbali ikiwemo siasa na hata mambo ya kijamii.
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu,Tatizo Watanzania wengi waliosoma History wamejengwa kuwachukia Wazungu, mi pia,ila Huwa nikikaa na Wazee wangu wananieleza Ukweli, vyote tunavyotumia ni kutoka Kwa Wazungu, Baada ya Uhuru,
Pasi,jiko,magari,nguo,Simu za Mezani,mazao mbalimbali hata kama ni kwa Faida yao lakini tunayaona,Sisi tulikuwa Tunavaa magome,tena tuko Peku,Tumeanza Kuvaa Viatu Miaka ya 1960s,

Lakini Kuanzia miaka ya nyuma ni Peku shuleni Tuu,

Pamoja kuwa mengi Wazungu walifanya kwa faida yao,lakini Maendeleo yalionekana na Sisi tukatumia/Tunatumia!
Mzee wangu alikuwaga ananiambia Tangu zamani, haya mambo nilikuwa nambishia sana, lakini Pole pole nikaanza kumuelewa, unajua TV, redio, simu, nyumba Nzuri ni Kwa Wazungu tu, hata Shule, madaktari, wahandisi, Wanasheria yote haya watu wanayosasahivi yametoka Kwa Wazungu!
Ni mengi mno kuyataja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna pros and cons, historia yako, elimu yako, mfumo mzima wa kisiasa,
kupingana, unavyofikiraaaA sasa hivi, ameiweka yeye ili ku- control Tanzania, dunia.

Uongo mwingi umeandikwa , sababu serikali yetu ilikuwaya kijamaa. U

Hadi leo wewe kwenda Ulaya, USA utaenyeshwa sana, documents kibao wao hapa wanateleza.

Wanasema sisi nchi maskini, tuna ngombe 30m, mbuzi kondoo, kuku, 33%% of Tanzania is national park. Madini kibao, samaki, maziwa, mito, Ardhi, watu, vijana.

Yeye Mjerumani, Mwingereza anakwambia wewe ni maskini.

Doctor Leakey, Livingstone waligundua hiki, kile, upumbavu mtupu. Our Curriculums (we inhert) is, was created to make us slaves, watu wasiojiamini, beggars tusiojua kutumia rasilimali zetu.
 
infinix,
Siku nyingine uje na ushahidi kuonyesha kama kweli Tanzania bado wanasubiri fedha za misaada. Tena utuoyeshe wapi waziri wetu wa fedha alifunga safari kuenda kuomba fedha za bajeti. Usifanishe misaada ya kijamii na misaada ya bajeti ya serikali.
 
Leo beberu wamekuwa wema kwako leo!!!
Ajabu
 
hawakuiba sawa, lakini walitutawala bila ridhaa yetu, ubaguzi wa elimu, dini, kabila, walitugawa sana ili watutawale vizuri
Leo watu wanapopitishwa 'bila kupingwa' bila ridhaa yetu kunatofautiana vipi na enzi hizo? Unapocomment jambo jiridhishe kwanza.
 
Duhhhh ngoja nicheki maana ya colonialism afu niendelee kusoma komentsi.
 
Back
Top Bottom