Kusema ukweli, wanawake wengi hawana content

Kusema ukweli, wanawake wengi hawana content

Wanaume tukianza kuwaambia anko kameza shoka na gesi imeisha mnalalamika, tukinyamaza mnalalamika.!!
Haya mseme nyie mnataka tujadili kitu gani??
Mbaya zaidiiiii mtu mmepiga stry kadhaa anashindwaj kuchangia mada anakua anasema

ahaaaa sawa
Oooh kumbe
Mhhhh
Enheee
Sijui
Aaaah mtu kama huyo ngum sana kudeal nae inafikia hatua mnabaki mnatazamana tu mkuu
 
Tunafanana sana 😅😅mtu naongea mara 2 kila siku ila sikosi story, tukianza kujadili pipo sasa 😅😅 aroo mpk simu izime, niligundua wanaume wanpenda umbea haijalishi umri au ana hadhi gani, kuna siku nimetoka kwa msuguri kwa mguu mpaka mbezi mwisho naongea tu😅😅😅

Kumbe ndiyo wewe nilikukuta pale Kibanda Cha Mkaa upo busy na simu?
 
Mzee, mambo hayako hivyo, wanaume ndo tunajibu maswali sio wewe tena ndo unauliza maswali, wanawake hawapendi maswali, kwa sababu sio nature yao kuwa na maarifa mengi.

Mwanaume ndo inabidi uwe na majibu, not the other way around.

Yeye ndo inabidi aniulize maswali mm, mm sina shida inapokuja swala la kumwelezea mambo ninayojua, tena ndo nafurahi, sas unakuta mwanamke hata maswali hakuulizi, haya ukimuuliza wewe maswali hana majibu hana content yeyote zaidi ya umbea tuu na story za mjini na tamthilia.

Kama wewe ndo huwa unauliza maswali badala ya wewe kuwa na majibu, bac hio ni ajabu.

Lamomy nasema uongo??
Vijana bado hamjawajua wanawake nyinyi

Wanawake wanapenda sana kueleza kuhusu feelings na emotions zao, daily routines zao hiyo ndio asili yao

Mnachofeli mnataka nyie ndio mtawale mazungumzo muonekane mnajua kuongea sana

Tupia vimaswali vya topic ambazo vinagusa maisha yake ya kila siku hakuna mwanamke ambaye hutaona anaanza kutabasamu na kuongea wewe kuwa na maneno machache lakini usiwe cool sana
 
Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.

Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.

"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Mkuu mwanamke hata kama amesoma tofauti ni ndogo sana. Wanatofaitiana tu kwenye uchangamfu ila kwenye content wanafanana sana.
 
Vijana bado hamjawajua wanawake nyinyi

Wanawake wanapenda sana kueleza kuhusu feelings na emotionsz daily routines zao hiyo ndio asili yao

Mnachofeli mnataka nyie ndio mtawale mazungumzo muonekane mnajua kuongea sana

Tupia vimaswali vya topic ambazo vinagusa maisha yake ya kila siku hakuna mwanamke ambaye hutaona anaanza kutabasamu na kuongea wewe kuwa na maneno machache lakini usiwe cool sana
Kumbeeeeeee eti Lamomy ni kweli hiki
 
Wanaume wengi wanapenda umbea ila wanaona soo kujionyesha, na zile story za bed to bed midfielder’s ngono Kanté aah hapo utamkosha 😹😹😹

Mwanamke akiwa anampenda mwanaume Huwa anaongea kama redio.

Mimi Huwa ninazima TV na simu ili nimpe Uhuru ya kuongea.

Siyo kwamba napenda umbea isipokuwa ninamfurahisha Kwa kumpa Uhuru wa habari.

Sasa hivi hapa nimemuomba break maana tumeongea nusu saa kwenye simu na bado hajamaliza.

Wapendanao hupigiana umbea. Kama umbea hamna basi upendo haupo!
 
Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.

Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.

"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Sasa anza stori za Mpina anapambania Sukari utashangaa ana Master Degree na hamjui Mpina ni nani wala Bashe
 
Back
Top Bottom