Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Mbowe anaweza kusema Rais Samia anafanya kazi nzuri sana: amejenga baarabara hapa na pale na pale. Lissu anaweza kusema Rais Samia ana matatizo makubwa sana; pale na pale na pale bado hajajenga barabara. Sasa, that is just two sides of the same coin. Hawajabishana kitu chochote.
Kwa mfano jana Lissu alikuwa anasema amepata habari kwamba Sheria ya Usalama wa Taifa wanataka waibadilishe waipe nguvu zaidi TISS, waiondoe mikononi kwa Mkuchika, waipeleke kwa Rais. Mkuchika yupo Ofisi ya Rais, sasa sijui Lissu ana malalamiko gani.
Lakini nasema hakuna ugomvi kati ya Lissu na Mbowe, ni kwamba hawa Mwananchi (gazeti), they are good at amassing the facts but not good at interpreting the facts.
Kwa mfano jana Lissu alikuwa anasema amepata habari kwamba Sheria ya Usalama wa Taifa wanataka waibadilishe waipe nguvu zaidi TISS, waiondoe mikononi kwa Mkuchika, waipeleke kwa Rais. Mkuchika yupo Ofisi ya Rais, sasa sijui Lissu ana malalamiko gani.
Lakini nasema hakuna ugomvi kati ya Lissu na Mbowe, ni kwamba hawa Mwananchi (gazeti), they are good at amassing the facts but not good at interpreting the facts.