Kusema upo upinzani kati ya Mbowe na Lissu siyo sahihi

Kusema upo upinzani kati ya Mbowe na Lissu siyo sahihi

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Mbowe anaweza kusema Rais Samia anafanya kazi nzuri sana: amejenga baarabara hapa na pale na pale. Lissu anaweza kusema Rais Samia ana matatizo makubwa sana; pale na pale na pale bado hajajenga barabara. Sasa, that is just two sides of the same coin. Hawajabishana kitu chochote.

Kwa mfano jana Lissu alikuwa anasema amepata habari kwamba Sheria ya Usalama wa Taifa wanataka waibadilishe waipe nguvu zaidi TISS, waiondoe mikononi kwa Mkuchika, waipeleke kwa Rais. Mkuchika yupo Ofisi ya Rais, sasa sijui Lissu ana malalamiko gani.

Lakini nasema hakuna ugomvi kati ya Lissu na Mbowe, ni kwamba hawa Mwananchi (gazeti), they are good at amassing the facts but not good at interpreting the facts.
 
Mbowe anaweza kusema Rais Samia anafanya kazi nzuri sana: amejenga baarabara hapa na pale na pale. Lissu anaweza kusema Rais Samia ana matatizo makubwa sana; pale na pale na pale bado hajajenga barabara. Sasa, that is just two sides of the same coin. Hawajabishana kitu chochote.

Kwa mfano jana Lissu alikuwa anasema amepata habari kwamba Sheria ya Usalama wa Taifa wanataka waibadilishe waipe nguvu zaidi TISS, waiondoe mikononi kwa Mkuchika, waipeleke kwa Rais. Mkuchika yupo Ofisi ya Rais, sasa sijui Lissu ana malalamiko gani.

Lakini nasema hakuna ugomvi kati ya Lissu na Mbowe, ni kwamba hawa Mwananchi (gazeti), they are good at amassing the facts but not good at interpreting the facts.
Wanahangaika sana kuleta mgogoro CHADEMA kwa kutaka kuwagombanisha mwenyekiti na makamu wake lakini hawataweza kamwe. CHADEMA ni mpango wa Mungu na kama si Mbowe Leo hii Lissu angekuwa kaburini
 
Mbowe anaweza kusema Rais Samia anafanya kazi nzuri sana: amejenga baarbara hapa na pale na pale. Lissu anaweza kusema Rais Samia ana matatizo makubwa sana;pale na pale na pale bado hajajenga barabara. Sasa,that is just two sides of the same coin. Hawajabishana kitu chochote.
Kwa mfano jana Lissu alikuwa anaema amepata habari kwamba Sheria ya Usalama wa Taifa wanataka waibadilishe waipe nguvu zaidi TISS,waiondoe mikononi kwa Mkuchika,waipeleke kwa Rais. Mkuchika yupo Ofisi ya Rais,sasa sijui Lissu ana complain nini.
Lakini nasema hakuna ugomvi kati ya Lissu na Mbowe,ni kwamba hawa Mwananchi(gazeti),they are good at amassing the facts but not good at interpreting the facts.
Ipo siku itajulikana tu aliyempiga risasi Lisu ili asigombee uenyekiti
 
amiiforums.com/threads/chadema-msipoyakabiri-kuyakemea-haya-magazeti-yatawayumbisha-wafuasi-wenu-na-kuleta-mgawanyiko-yakemeeni.2100322/#post-46560723
Naomba link brother
 
amiiforums.com/threads/chadema-msipoyakabiri-kuyakemea-haya-magazeti-yatawayumbisha-wafuasi-wenu-na-kuleta-mgawanyiko-yakemeeni.2100322/#post-46560723
Naomba link brother
 
Mbowe ni Dikteta wa muda mrefu CHADEMA, wote waliojaribu kuutwaa Ufalme CHADEMA....wamepigwa pwaaa!. Lissu, labda, ndiye mwenye weledi wapekee Kumng'oa Dikteta....

....pamoja na porojo za WanaChadema kuhusu migogoro ndani au miongoni mwa wakulu hawa kuwa ni -Democratic in nature- ni hadaa tu, Its Power mongering. Ndio mmoja anasema hili na mwingine anasema lile ila kwa manufaa yepi hayo ya Kisiasa?

Bwana Mzee Tundu anataka kuwa na usemi katika maridhiano. Fullstop.

Mbowe hampi nafasi hiyo, au kwa yale aliyoridhiana mwanzoni(yaliyomtoa jela) hawezi kumwingiza Lissu. Fullstop

Lissu ana manga manga na kuonyesha au kutuaminisha anayo nguvu CHADEMA na wakati huo huo anamdindishia Mbowe?.

Muda utaeleza, lakini moshi, kama wanavyosema, Unafuka. Twaja kuona moto karibuni.

Chagueni kwa Makini 2025
 
Mbowe anaweza kusema Rais Samia anafanya kazi nzuri sana: amejenga baarbara hapa na pale na pale. Lissu anaweza kusema Rais Samia ana matatizo makubwa sana;pale na pale na pale bado hajajenga barabara. Sasa,that is just two sides of the same coin. Hawajabishana kitu chochote.
Kwa mfano jana Lissu alikuwa anaema amepata habari kwamba Sheria ya Usalama wa Taifa wanataka waibadilishe waipe nguvu zaidi TISS,waiondoe mikononi kwa Mkuchika,waipeleke kwa Rais. Mkuchika yupo Ofisi ya Rais,sasa sijui Lissu ana complain nini.
Lakini nasema hakuna ugomvi kati ya Lissu na Mbowe,ni kwamba hawa Mwananchi(gazeti),they are good at amassing the facts but not good at interpreting the facts.

Mnajitahidi kuzuia ukweli usijitokeze bayana lakini hamtoweza. Maana ukweli siku zote ni nguvu za asili. Hazizuiliwi. Mtazuia kwa kipindi fulani, lakini muda ukifika kila kitu kitakuwa wazi. Kama unakumbuka, ujio wa Lowassa CDM. Watu kutia ndani viongozi, walikataa sana kuwa hakuna kitu kama hicho cha mtu kama huyo kuja chamani. Baada ya muda sawia kufika, yote yakawa wazi.
Mkubali/mpinge nyie akina Mshana Jr, ukweli ni kuwa kuna kutosikilizana na kutoaminiana kwa kiwango kikubwa sana kwa viongozi wenu wakuu, hususan hao wawili. Jambo ambalo wengi linawahakikishia kuhusu kuwepo kwa mgogoro huo, ni ile hali ya mmoja kati ya hao kutokuwa na sifa ya kudhibiti hisia. Akizongwa na hisia, yeye hutamka kile kilichoko moyoni mwake vilevile kilivyo. Na kuwapa watu wanaofuatilia mambo picha halisi ya kinachoendelea. Kwa upande wa huyu mwingine, yeye ana sifa ya kujidhibiti kihisia. Anaweza akasongwa na jambo, lakini aklitoa kwa namna ambayo imechujwa. Tofauti na alivyowaza moyoni. Hiyo nayo ni saikolojia ya hali ya juu. Pamoja na tofauti hizo za maumbile yao ya ndani, wote wanafaa katika chama katika mambo tofauti tofauti. Namalizia kwa kusema, mgongano upo, lakini pia wanayo nafasi ya kuja tena pamoja na kurekebisha hali.
 
Wanahangaika sana kuleta mgogoro CHADEMA kwa kutaka kuwagombanisha mwenyekiti na makamu wake lakini hawataweza kamwe. CHADEMA ni mpango wa Mungu na kama si Mbowe Leo hii Lissu angekuwa kaburini
Mbowe kumsaidia Lissu hakiwezi kuwa kigezo kwao wasitofautiane misimamo mbele ya safari, haya majibu yenu ni mepesi sana na badala ya kuhangaika kuyabuni, nendeni mkatatue tatizo.
 
Mbowe kumsaidia Lissu hakiwezi kuwa kigezo kwao wasitofautiane misimamo mbele ya safari, haya majibu yenu ni mepesi sana na badala ya kuhangaika kuyabuni, nendeni mkatatue tatizo.
Lisu hawezi kumpinga Mbowe hata kama anapenda kufanya hivyo! Lisu hawezi kuyasema hadharani.... denooJ Wenye migogoro wanaweza kupeana chopper kuzunguka nchi, NEVER!
 
Wanahangaika sana kuleta mgogoro CHADEMA kwa kutaka kuwagombanisha mwenyekiti na makamu wake lakini hawataweza kamwe. CHADEMA ni mpango wa Mungu na kama si Mbowe Leo hii Lissu angekuwa kaburini
Mbowe anampiga Lisu kimyakimya,na Lisu sasa kasanuka, Lisu hakubaliani na Maridhiano, kwa sababu anaamini Maridhiano ni unyonge,yani mkate wako alafu ukatiwe kipande ili ukae kimya,anaona hiyo siyo sawa!!! Alafu na hicho kipande chenyewe Mwenyekiti ndiyo wa kwanza kumega tonge lake kwanza! Na Makato ya Mangi unayajua, wwe mwambie bwashee ebu jiisabie miguu mingapi tuuziane! Ona Sasa atakavyo hesabu kwa kuchanua miguu ili mradi apitilize vipimo kwa lengo la kukupiga!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe anampiga Lisu kimyakimya,na Lisu sasa kasanuka, Lisu hakubaliani na Maridhiano, kwa sababu anaamini Maridhiano ni unyonge,yani mkate wako alafu ukatiwe kipande ili ukae kimya,anaona hiyo siyo sawa!!! Alafu na hicho kipande chenyewe Mwenyekiti ndiyo wa kwanza kumega tonge lake kwanza! Na Makato ya Mangi unayajua, wwe mwambie bwashee ebu jiisabie miguu mingapi tuuziane! Ona Sasa atakavyo hesabu kwa kuchanua miguu ili mradi apitilize vipimo kwa lengo la kukupiga!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Amekuja mjini kutafuta ela.
Halafu kama wengine hawajui kirefu cha neno MOSHI
M - Mungu
O - Onesha
S - Sehemu
H - Hela
I - Ilipo

Ndiyo maana wenyewe kwa kujua umuhimu na maana ya neno MOSHI, wachaga wote kwao wanaita MOSHI tu. Hata awe anatoka wilaya ya Mwanga, Siha, Hai, Rombo wote utakuta mimi natoka MOSHI. Hawataki kutaja Kilimanjaro wala wilaya zingine. Wote ni Moshi. Kwa maoni yao wenyewe, mkoa wao unaitwa Moshi. 😛 😛 😂
 
Back
Top Bottom