Na wewe acha kupiga watu mapanga kuna kazi nyingi za kufanyaHivi ndivyo polisi Tanzania wanavyouwa watu wakiwamo watuhumiwa wa u panya road.
View attachment 2367623
Ama kwa hakika wao na mashabiki wao Mwalimu ana maneno sahihi zaidi kwao:
View attachment 2367622
Na wewe acha kupiga watu mapanga kuna kazi nyingi za kufanya
Bahati mbaya wengi wako kundi hili, itachukua muda mrefu sana nchi kukombolewa kifikra ili iweze kujitoa mikononi mwa wakoloni weusi.
Watu wengi wa tanzania bado sana kujali haki za watu wengine. Nadhani ugumu wa maisha unawafanya wasiwe na utuHivi ndivyo polisi Tanzania wanavyouwa watu wakiwamo watuhumiwa wa u panya road.
View attachment 2367623
Ama kwa hakika wao na mashabiki wao Mwalimu ana maneno sahihi zaidi kwao:
View attachment 2367622
Kwa mifumo yetu ya haki ni ngumu sana hili kutimia maana hao wenye dola ndio wanaowapa hao wanasiasa vyeoExtrajudicial killings ni kinyume na Katiba yetu ya Tanzania.
Kamata Vibaka wapeleke Mahakamani.
Na wewe huenda ni panya road nakuambia siku zako zinahesabika,hamuwezi kuua,kujeruji na kupora kisha muachwe mkitamba mitaani au mpelekwe mahakamani,mfungwe kisha mrudi kufanya yale yale.Dawa yenu ni chuma chuma kazi imeisha ndipo uharifu utakoma hatutaki kuwa mexico sisi.Hivi ndivyo polisi Tanzania wanavyouwa watu wakiwamo watuhumiwa wa u panya road.
View attachment 2367623
Ama kwa hakika wao na mashabiki wao Mwalimu ana maneno sahihi zaidi kwao:
View attachment 2367622
Naunga mkono hojaHivi ndivyo polisi Tanzania wanavyouwa watu wakiwamo watuhumiwa wa u panya road.
View attachment 2367623
Ama kwa hakika wao na mashabiki wao, Mwalimu ana maneno sahihi zaidi kwao:
View attachment 2367622
Na wewe huenda ni panya road nakuambia siku zako zinahesabika,hamuwezi kuua,kujeruji na kupora kisha muachwe mkitamba mitaani au mpelekwe mahakamani,mfungwe kisha mrudi kufanya yale yale.Dawa yenu ni chuma chuma kazi imeisha ndipo uharifu utakoma hatutaki kuwa mexico sisi.
Na wewe huenda ni panya road nakuambia siku zako zinahesabika,hamuwezi kuua,kujeruji na kupora kisha muachwe mkitamba mitaani au mpelekwe mahakamani,mfungwe kisha mrudi kufanya yale yale.Dawa yenu ni chuma chuma kazi imeisha ndipo uharifu utakoma hatutaki kuwa mexico sisi.
Wapumbavu ni wengi kuliko werevu.
Kwa hiyo na hao Panya Road wanavyowavamia wananchi, kupora mali zao na kuwau hao hao wananchi ni sawa? Maisha ya panya road yaa thamani zaidi kuliko maisha ya wananchi wengine??? Tusidanganyane jamani; wacha na wao wauawe kama walivyokuwa wanaua wananchi wasiokuwa na hatia.Miye ni mhanga wa panya road. Huenda nawachukia kuliko wewe. Ila si sahihi kuwauwa wao wala watuhumiwa:
Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote
Mkuu acha hiyo kazi utakufa.Wewe una macho juu juu kwa maelekezo yaliyopo unafuzu pasi na shaka kuwa u panya road.