- Thread starter
- #21
Mkuu acha hiyo kazi utakufa.
Macho yako yasiyitakikana yanayoitwa kuwa juu juu, utayaficha wapi sasa Ili uweze hapo kuendelea kuishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha hiyo kazi utakufa.
Unamkamata kibaka unampeleka Mahamani ikibainika kuwa ameua sheria inaamuru anyongwe.Hizi IQ zetu za kula tunda kimasikhara ndio zinazotutesa.
Kwa hiyo na hao Panya Road wanavyowavamia wananchi, kupora mali zao na kuwau hao hao wananchi ni sawa? Maisha ya panya road yaa thamani zaidi kuliko maisha ya wananchi wengine??? Tusidanganyane jamani; wacha na wao wauawe kama walivyokuwa wanaua wananchi wasiokuwa na hatia.
Kazi ya polisi ni kulinda raia na mali zake na sio kuua raiaWatetezi wa haki za binadamu acheni polisi wetu wafanye kazi yao.BRAVO PT.
Nafikili kwa jicho la tatu sisi watanzania shida yetu kuu ni upumbavu na sio ujinga , jiulize mtu upo radhi kushabikia mtu kuvunja sheria na katiba anaona ni swala dogo tu.
Napatwa nawakati mgumu sana na ikitokea ukasimamia sheria na katiba kama swala linahusiana na uhalifu tegemea kuitwa wewe ni miongoni mwao ,mfadhili au mnufaika na huo uhalifu
Kama taifa tunapaswa kukemea Kwa nguvu zote kuharisha uvunjifu wa sheria/katiba Kwa mwamvuli wa kupambana/kutokomeza uhalifu. Niliwahi kushuhudia raia kujichukulia sheria mkononi alimanusula imuue mume halali kisa tu kaitwa mwizi
Mtu kusikia neno mwizi huyo kufika na kuanza kushusha kipondo pasipo kuuliza ilikuwaje , tabia hii imeshamiri miongoni mwetu 95% . Hili ni janga kwelikweli
Na kazi ya Panyaroad?Kazi ya polisi ni kulinda raia na mali zake na sio kuua raia
Naaam,Mimi sina upande kwenye jambo hili. Ila nakazia tu kwa maneno kutoka kwenye maandiko matakatifu.... "AUAE KWA UPANGA, ATAKUFA KWA UPANGA"
Wanapokosea na kuua Raia kama kule Mtwara tuna haki ya kuwalaumu,wanapofanya operations za kutokomeza upumbavu inabidi wapongezwe.Kazi ya polisi ni kulinda raia na mali zake na sio kuua raia
Extrajudicial killings ni kinyume na Katiba yetu ya Tanzania.
Kamata Vibaka wapeleke Mahakamani.
Unamkamata kibaka unampeleka Mahamani ikibainika kuwa ameua sheria inaamuru anyongwe.
Sasa tusipofuata sheria tulizojiwekea na kuamua tu kujichukulia sheria mkononi itafikia wakati watu wasiokuwa na hatia kuuwawa au mahasimu wa biashara au siasa kuuwawa.
Na kazi ya Panyaroad?
Mimi sina upande kwenye jambo hili. Ila nakazia tu kwa maneno kutoka kwenye maandiko matakatifu.... "AUAE KWA UPANGA, ATAKUFA KWA UPANGA"
Ulitaka wachekewe kwa sababu hujafyekwa mkono si ndio?Hivi ndivyo polisi Tanzania wanavyouwa watu wakiwamo watuhumiwa wa u panya road.
View attachment 2367623
Ama kwa hakika wao na mashabiki wao, Mwalimu ana maneno sahihi zaidi kwao:
View attachment 2367622
Yeyote aliyehusika na kumuua binadamu kwa upanga, neno linamtabiria kufa kwa upanga.... Hii haibagui Polisi wala Raia wa kawaida.Habari hii iwafikie wote bila kuwasahqu waliotokomea kusikojulikanq na Ben, Lijenje, Azory na waliomtamani Lissu na kusokomeza watu kwenye viroba.