Kushabikia Polisi kuua watuhumiwa, ni ujinga uliopitiliza

Kushabikia Polisi kuua watuhumiwa, ni ujinga uliopitiliza

Hivi ndivyo polisi Tanzania wanavyouwa watu wakiwamo watuhumiwa wa u panya road.

View attachment 2367623
Ama kwa hakika wao na mashabiki wao, Mwalimu ana maneno sahihi zaidi kwao:

View attachment 2367622
Jeshi la Polisi nchini limefanya kazi kubwa sana iliyotukuka, tunamuomba Rais Samia awaagizie makontena zaidi ya Risasi za kwenda kuwashughulikia mapanya road na wanufaika wote wa shughuli zao.
 
Police state in the making, polisi wetu ni majambazi in uniforms, kisheria police hawaruhusiwi to shoot to kill unless, maisha ya raia au yao yakiwa hatarini, katiba mpya ni muhimu ili itupatie IPID
Hatutaki Katiba inayolinda wahuni wanaotumia mapanga kudhuru wengine.

Nakusihi sana muache mara tabia ya uporaji.
 
Jeshi la Polisi nchini limefanya kazi kubwa sana iliyotukuka, tunamuomba Rais Samia awaagizie makontena zaidi ya Risasi za kwenda kuwashughulikia mapanya road na wanufaika wote wa shughuli zao.

Kwa mawazo kama haya hata kina Ben, Lijenje Azory, Lissu hata waliokuwa kwenye viroba wote walikuwa panya road.

Eti wewe ni mkereketwa wa katiba mpya. Labda katiba ya manyani.
 
Hivi ndivyo polisi Tanzania wanavyouwa watu wakiwamo watuhumiwa wa u panya road.

View attachment 2367623
Ama kwa hakika wao na mashabiki wao, Mwalimu ana maneno sahihi zaidi kwao:

View attachment 2367622
Wao wanavyoua raia kwa mapanga wapo sawa sio? Polisi shikilia hapohapo, kill them like they are killing others. Ulegelege wa polisi ndio umeleta haya ya panya road!

WAFUNZENI WATOTO WENU KBL HAWAJAFUNZWA NA ULIMWENGU!
 
Kwa mawazo kama haya hata kina Ben, Lijenje Azory, Lissu hata waliokuwa kwenye viroba wote walikuwa panya road.

Eti wewe ni mkereketwa wa katiba mpya. Labda katiba ya manyani.
Unajaribu kufanya uzi wako uonekane una mashiko kwa kutumia mifano butu.

Mjomba umefeli, nenda kajipange upya, wahalifu wa panya road hawafai kutetewa kwa namna yoyote.

Nashauri jeshi la polisi litanue operation kwa ku deal na wote wanaojifanya watetezi wa haki za binadamu.(panya road).
 
Wao wanavyoua raia kwa mapanga wapo sawa sio? Polisi shikilia hapohapo, kill them like they are killing others. Ulegelege wa polisi ndio umeleta haya ya panya road!

WAFUNZENI WATOTO WENU KBL HAWAJAFUNZWA NA ULIMWENGU!

Kwani kina Ben Lijenje Azory Lijenje au Lissu walimwua nani?
 
Unajaribu kufanya uzi wako uonekane una mashiko kwa kutumia mifano butu.

Mjomba umefeli, nenda kajipange upya, wahalifu wa panya road hawafai kutetewa kwa namna yoyote.

Nashauri jeshi la polisi litanue operation kwa ku deal na wote wanaojifanya watetezi wa haki za binadamu.(panya road).

Wapi umeona anatetewa panya road? Nini tofauti ya panya road na wewe "Goodluck' na wenzako mnayeuwa washukiwa au mliotokomea na kina Ben Lijenje Azory na wengi mnakojua ninyi?

Ama kwa hakika hamna tofauti yoyote na panya road wenyewe.

Zingatia tofauti ya panya road na Washukiwa.
 
Kwani kina Ben Lijenje Azory Lijenje au Lissu walimwua nani?
Scenarios ni tofauti sana na issue za kina Ben, Azory na Lissu ni tofauti sana, zile huratibiwa na kikosi kazi maalum na si polisi!
 
Scenarios ni tofauti sana na issue za kina Ben, Azory na Lissu ni tofauti sana, zile huratibiwa na kikosi kazi maalum na si polisi!

Scenarios ni tofauti? Ndiyo walivyokwambia? Ujinga mzigo. Kwa hiyo wengine kuuwawa kwa kushukiwa tu, ni sawa isipokuwa nani?
 
Mkuu sijui unafanya kwa bahati mbaya au unafanya makusudi tu ,

Kiukweli siungi unyang'anyi ,kuua na kupola (uhalifu) kunaofanywa na panya road hata nukta lakini piah siungi mkono polisi kuvunja sheria na katiba (Kwa kuua mhalifu )

Tunapaswa wote tuwe watiifu Kwa sheria na katiba maana ndo muongozo wetu Kwa pamoja

Ikiwa tunaona sheria inawabeba wahalifu si wapeleke mswaada bungeni Ili ije sheria itakayokuwa mwarobaini wao.

Mkuu jiulize kwa nini mwizi wa kuku anahukumiwa miaka 30 na anafanya ubadhirifu wa mali ya umma anahamishwa kituo cha kufanya tu kazi au wakiona aibu saana ni kulipa faini ambayo haiendani na ubadhirifu alioufanya.
Kiukweli siungi mkono polisi kuua raia wala raia kuua raia wengine. Kazi ya uumbaji na utwaaji ni ya mwenyezi Mungu mwenyewe.

Tatizo hapa ni letu na mfumo wetu wa utawala (nadhani hapa ndipo wengine hukamatia hoja ya katiba mpya)

Kibaka/Jambazi anakamatwa akiwa na ushahidi. Anaenda mahakamani anashinda kesi anarudi uraiani. Anafanya uhalifu tena anapelekwa mahakamani, anaachiwa anafanya uhalifu tena. Samtaimz inakera na kuwafanya hawa manjagu kuchukua sheria mkononi. Na wao kwa kutumia mwanya huo wanaua na raia wengine wasio na hatia.

Nini kifamyoke tutoke huko.....? Ndio hapo watu wanakuja na wazo la katiba mpya.

Au wewe mkuu wangu unashauri nini kifanyike?
 
Kiukweli siungi mkono polisi kuua raia wala raia kuua raia wengine. Kazi ya uumbaji na utwaaji ni ya mwenyezi Mungu mwenyewe.

Tatizo hapa ni letu na mfumo wetu wa utawala (nadhani hapa ndipo wengine hukamatia hoja ya katiba mpya)

Kibaka/Jambazi anakamatwa akiwa na ushahidi. Anaenda mahakamani anashinda kesi anarudi uraiani. Anafanya uhalifu tena anapelekwa mahakamani, anaachiwa anafanya uhalifu tena. Samtaimz inakera na kuwafanya hawa manjagu kuchukua sheria mkononi. Na wao kwa kutumia mwanya huo wanaua na raia wengine wasio na hatia.

Nini kifamyoke tutoke huko.....? Ndio hapo watu wanakuja na wazo la katiba mpya.

Au wewe mkuu wangu unashauri nini kifanyike?

Katiba Mpya inaweza kupangiliwa vyema kuziba mianya mingi ya uwajibikaji iliyopo katika utendaji kwa sasa.

Tulipo Leo hata watu wakitokea barabarani kudai katiba mpya wanaweza kuitwa panya road, wakauliwa na wapumbavu wakashangilia.
 
Ninawapongeza polisi kwa kazi nzuri wanayofanya ya kuwaua Panya road. Ningefurahi zaidi kuona panya road wote waliofungua nyuzi kadhaa humu JF wakikamatwa na kuuwawa pia. Wewe mleta uzi ni bora ukatafuta kazi nyingine... upanya road utaishia kupigwa chuma.
 
Ninawapongeza polisi kwa kazi nzuri wanayofanya ya kuwaua Panya road. Ningefurahi zaidi kuona panya road wote waliofungua nyuzi kadhaa humu JF wakikamatwa na kuuwawa pia. Wewe mleta uzi ni bora ukatafuta kazi nyingine... upanya road utaishia kupigwa chuma.

Nyerere alitambua uwepo wako na shoga zako:

IMG_20220916_233133_436.jpg
 
Kiukweli siungi mkono polisi kuua raia wala raia kuua raia wengine. Kazi ya uumbaji na utwaaji ni ya mwenyezi Mungu mwenyewe.

Tatizo hapa ni letu na mfumo wetu wa utawala (nadhani hapa ndipo wengine hukamatia hoja ya katiba mpya)

Kibaka/Jambazi anakamatwa akiwa na ushahidi. Anaenda mahakamani anashinda kesi anarudi uraiani. Anafanya uhalifu tena anapelekwa mahakamani, anaachiwa anafanya uhalifu tena. Samtaimz inakera na kuwafanya hawa manjagu kuchukua sheria mkononi. Na wao kwa kutumia mwanya huo wanaua na raia wengine wasio na hatia.

Nini kifamyoke tutoke huko.....? Ndio hapo watu wanakuja na wazo la katiba mpya.

Au wewe mkuu wangu unashauri nini kifanyike?
Kwa sasa katiba mpya haikwepeki kweli, je wananchi kwa makundi mbalimbali wapo tayari kuidai au ndo unabaki wajibu wa wa wanasiasa(hususani CHADEMA) kuidai ?

Jiulize mkuu walioko madarakani wapo tayari kukubali kupokonywa tonge mdomoni maana katiba iliyopo Kwa sasa inawabeba wao waendelee kutawala
 
Police state in the making, polisi wetu ni majambazi in uniforms, kisheria police hawaruhusiwi to shoot to kill unless, maisha ya raia au yao yakiwa hatarini, katiba mpya ni muhimu ili itupatie IPID
Panya-road wanaua raia na kupora mali zao. Polisi wao wanawaua ti hao Panya-road lkn hawapori mali mali zao.

Polisi wa nchi hii wana huruma sana Sana. Hawa Panya-road ni wa kuua Kisha kuwabaka kabisa
 
Back
Top Bottom