Kushabikia Polisi kuua watuhumiwa, ni ujinga uliopitiliza

Kushabikia Polisi kuua watuhumiwa, ni ujinga uliopitiliza

Polisi wamefanya kazi nzuri sana, nawapongeza mno
Yasemekana walipo wakisikia watu wanaandamana kudai haki zao, Ili kuhalalisha ufwedhuli wao watawaita panya road.
 
Extrajudicial killings ni kinyume na Katiba yetu ya Tanzania.

Kamata Vibaka wapeleke Mahakamani.
Mahakama sio solution ya uhalifu ndugu.
Muhalifu anaogopa bunduki na sio mahakama.
 
Yeyote aliyehusika na kumuua binadamu kwa upanga, neno linamtabiria kufa kwa upanga.... Hii haibagui Polisi wala Raia wa kawaida.

Waonaje tukiliingiza neno hili likawa rasmi kwenye katiba, Ili nasi tukifanya vitu vyetu tusilaumiane mahali? Nani hakuwasikia? Si ni kina Goodluck, Mahita, Jumanne, na yule mwenzao mwingine?
 
Tusishabikie huu upumbavu wa Police kupiga risasi watuhumiwa....

Iko hivi mtu unatoka jioni kwenda dukani kununua mahitaji... Wakati unarudi nyumbani ghafla unakutana na marafiki kadhaa kijiweni... Mnasalimiana kimtaani... Oyaa mwanangu..... Ghafla defender ya Polisi hii hapa...
Mnachukuliwa kijiwe chote.. Pamoja na wapita njia wa karibu... Pamoja na wengine...

Kesho ndugu wanapigiwa simu... Flani flani njoo hospitali flani.... Ukienda unaulizwa unamjua huyu... Hapo ni morchuary.....

Jamani tusishabikie huu mchezo...

Hawa polisi wakiendelea kupata kichwa cha hongera.... Bajeti ya kununua risasi itaongezeka... Maana hawa jamaa zetu huwa hawajui kupima kwa kiasi....
Watarusha risasi vijiwe vyote.... Itakuwa ni kila mtaa rambirambi
 
Hiri rireta mada ringekua karibu yangu tungekua tunaongea mengine
 
Hivi ndivyo polisi Tanzania wanavyouwa watu wakiwamo watuhumiwa wa u panya road.

View attachment 2367623
Ama kwa hakika wao na mashabiki wao, Mwalimu ana maneno sahihi zaidi kwao:

View attachment 2367622
Upumbavu mbaya zaidi ni wewe kuwajua panya rodi wako wapi, halafu kulaumu vyombo vinavyo washughulikia kisheria , wakati wewe ukiwa nyuma ya keyboard.
 
Waonaje tukiliingiza neno hili likawa rasmi kwenye katiba, Ili nasi tukifanya vitu vyetu tusilaumiane mahali? Nani hakuwasikia? Si ni kina Goodluck, Mahita, Jumanne, na yule mwenzao mwingine?
Kama waliua kwa upanga nao watadedi kwa upanga. Ni swala la muda tu. Kuna mtu inasemekana aliamuru mtu auwawe kwa risasi. Bahati mbaya mtu huyo hakufa, upanga ukamrudia yeye na hivi sasa anakumbukwa kwa "legasi" na Waumini wake....
 

img_20220916_233133_436-jpg.2367622




Baba wa Taifa alikuwa kinara wa matusi kwenye siasa.

Ukithubutu kuwa na wazo tofauti la lake anakuita pumbavu.

Alisaidia kupanda mbegu ya siasa za chuki zilizotamalaki leo.
 
Hawa panya road wakipelkwa mahakamani wanatoka wakiuwa watu wanakuja juu kuwa hawapazwi kuuwa wakt wao wameua mtu ila wanaua

Bil kuwa na kauli dhabiti ndani ya nyumba yako utayumbishwa mno

Kauli inazaidia kulea watoto

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kule kwetu wamewai kutokea vijana wa eneo FLn kuwa waalifu waliuwa na kujerui watu mchna kweupe kbsa watu walichoka mno

Walikuja kuuwa mchna kweupe na kuuzikwa ktk kaburi moja

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
img_20220916_233133_436-jpg.2367622




Baba wa Taifa alikuwa kinara wa matusi kwenye siasa.

Ukithubutu kuwa na wazo tofauti la lake anakuita pumbavu.

Alisaidia kupanda mbegu ya siasa za chuki zilizotamalaki leo.

Nyerere hakuwa na neno mbadala kwa wapumbavu labda utuambie wewe.
 
Na kazi ya Panyaroad?
Mkuu sijui unafanya kwa bahati mbaya au unafanya makusudi tu ,

Kiukweli siungi unyang'anyi ,kuua na kupola (uhalifu) kunaofanywa na panya road hata nukta lakini piah siungi mkono polisi kuvunja sheria na katiba (Kwa kuua mhalifu )

Tunapaswa wote tuwe watiifu Kwa sheria na katiba maana ndo muongozo wetu Kwa pamoja

Ikiwa tunaona sheria inawabeba wahalifu si wapeleke mswaada bungeni Ili ije sheria itakayokuwa mwarobaini wao.

Mkuu jiulize kwa nini mwizi wa kuku anahukumiwa miaka 30 na anafanya ubadhirifu wa mali ya umma anahamishwa kituo cha kufanya tu kazi au wakiona aibu saana ni kulipa faini ambayo haiendani na ubadhirifu alioufanya.
 
Wanapokosea na kuua Raia kama kule Mtwara tuna haki ya kuwalaumu,wanapofanya operations za kutokomeza upumbavu inabidi wapongezwe.
Kwa muktadha huo hakuna umuhimu wa kuwepo sheria na katiba maana haina tija

Polisi wakamate ,wapeleleze na mahakama ifanye kazi ake
 
Back
Top Bottom