- Thread starter
- #141
Kwahiyo watuhumiwa kuwaua raia ni fresh tu au sio[emoji23][emoji23][emoji23]
Unayasoma wapi hayo mkuu? Tafafhali tofautisha jukwaa hili na yale mengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo watuhumiwa kuwaua raia ni fresh tu au sio[emoji23][emoji23][emoji23]
Polisi ni genge la kihalifu lilliloundwa na Serikali na kubarikiwa na wananchi👇
View attachment 2368470
View attachment 2368471
Pumbavu wahed kabisa wewe...Ficha UPUMBAVU wako,
Hatuna polisi vichaa nchi Hii wa kurusha rusha hovyo Kama unavotaka kutuaminisha.
Watanzania wengi hawajielewi ndio maana wakisikia kelele za mwizi hawaulizi hata kaiba nini wao ni kuua tu baadae ndio utasikia kwani kaiba nini? Hata mbaya wako akitaka kukutenda aseme tu mwizi umeisha. Itachukua miaka mingi kwa watanzania kujielewa acha washabikie Polisi wauaji
Mimi binafsi kama Mtoto wa Shule siungi mkono kabisa Polisi kuua watu, lakini kwa majambazi hasa yanayotumia silaha kuiba na kuua yauwawe tu!
Pumbavu wahed kabisa wewe...
Jinga kabisa... Mara ngapi Polisi wameua wafanyabiashara na kuchukua mali zao na huku wakidai ni majambazi?
Ndio maana nyie hamtaki tume ziundwe kuchunguza baadhi ya matukio kama haya...
Jumlisha kukosa ustaarabu,roho mbaya, malezi mabovu elimu isiyo na viwango na kukosa kumjua Mungu wa kweliWatu wengi wa tanzania bado sana kujali haki za watu wengine. Nadhani ugumu wa maisha unawafanya wasiwe na utu
Una uhakika hawa waliouwawa wamechanja watu kama kuni?
Kwanini kama ni halali kuuwa watuhumiwa huu wigo usipanuliwe Ili kuwashughulikia wahalifu wote au hata kuidhinishwa tu kuwa halali kwa mujibu wa sheria?
Well saidJumlisha kukosa ustaarabu,roho mbaya, malezi mabovu elimu isiyo na viwango na kukosa kumjua Mungu wa kweli
Na hapo kwenye kukosa kumjua Mungu wa kweli ndipo penye tatizo kubwa.
Mtu na akili zake timamu anaamini anaweza kumfanyia ukatili wa aina yoyote binaadamu mwenzake na isiwe kitu sababu tu ameenda kuungama kwa kiongozi wake wa dini na kiongozi anaweza kumfutia makosa yake, au mwengine akeshaenda kuhiji,au kumaliza mfungo au khamsa swalawati basi anajiona Mr. Clean bila kujali kuwa Mungu anasamehe dhambi za mja na Mola wake, Ila dhambi zinazotokana na dhulma kwa mja wake, msamaha hautoki mpaka kwanza akusamehe yule mja uliemkosea/uliemdhulumu.
Ungeenda kupost kwenye group la familia basiUnayasoma wapi hayo mkuu? Tafafhali tofautisha jukwaa hili na yale mengine.
Yaani panya road ni wengi sana. Wanaodhani wanapambana na panya road nao wana tabia hizo hizoPumbavu wahed kabisa wewe...
Jinga kabisa... Mara ngapi Polisi wameua wafanyabiashara na kuchukua mali zao na huku wakidai ni majambazi?
Ndio maana nyie hamtaki tume ziundwe kuchunguza baadhi ya matukio kama haya...
Ndugu yako angechinjwa ndio ungekuwa n uchungu n panya road au ulitaka waulizwe kwann wameua!?Unayasoma wapi hayo mkuu? Tafafhali tofautisha jukwaa hili na yale mengine.
Nimeandika mara kadhaa kuwa nami ni mhanga wa panya road. Labda nawachukia kuliko wewe. Hata hivyo sikubaliani na kinachoendelea.Ndugu yako angechinjwa ndio ungekuwa n uchungu n panya road au ulitaka waulizwe kwann wameua!?
Akili mtu wanguNimeandika mara kadhaa kuwa nanmi ni mhanga wa panya road. Labda nawachukia kuliko wewe. Hata hivyo sikubaliani na kinachoendelea.
Zingatia tofauti ya panya road vis a viz washukiwa wa u panya road.
Tumeambiwa panya road wanatambulika kwa macho yao. Usikute unafanana nao mkuu?
Ni hayo tu ndugu mjumbe.
Hapana mkuu wameonekana wahariri wa magazeti pendwa ya ijumaa, wakitiririka nje ya mada. Kiasi ni muhimu kujridhisha.Ungeenda kupost kwenye group la familia basi