Kushabikia Polisi kuua watuhumiwa, ni ujinga uliopitiliza

Kushabikia Polisi kuua watuhumiwa, ni ujinga uliopitiliza

Una uhakika hawa waliouwawa wamechanja watu kama kuni?

Pande za Tarime Kuna ushahidi kuwa tuhuma zako si za kweli.

Ushahidi wa maovu ya polisi kuanzia lini mmekuwa wageni nao?

Kwanini kama ni halali kuuwa watuhumiwa huu wigo usipanuliwe Ili kuwashughulikia wahalifu wote au hata kuidhinishwa tu kuwa halali kwa mujibu wa sheria?

Tangu lini makosa mawili yakahalalisha jingine?
Acheni kutetea ujinga


Wenyewe wakiua sawa c ndio
 
Bahati mbaya wengi wako kundi hili, itachukua muda mrefu sana hii nchi kukombolewa kifikra ili iweze kujitoa mikononi mwa wakoloni weusi, kwa sasa wacha tuendelee kuburuzwa tu.
Watanzania wengi hawajielewi ndio maana wakisikia kelele za mwizi hawaulizi hata kaiba nini wao ni kuua tu baadae ndio utasikia kwani kaiba nini? Hata mbaya wako akitaka kukutenda aseme tu mwizi umeisha. Itachukua miaka mingi kwa watanzania kujielewa acha washabikie Polisi wauaji
 
Hivi ndivyo polisi Tanzania wanavyouwa watu wakiwamo watuhumiwa wa u panya road.

View attachment 2367623
Ama kwa hakika wao na mashabiki wao, Mwalimu ana maneno sahihi zaidi kwao:

View attachment 2367622
Mimi binafsi kama Mtoto wa Shule siungi mkono kabisa Polisi kuua watu, lakini kwa majambazi hasa yanayotumia silaha kuiba na kuua yauwawe tu!
 
Polisi ni genge la kihalifu lilliloundwa na Serikali na kubarikiwa na wananchi👇

 
Waonaje tukiliingiza neno hili likawa rasmi kwenye katiba, Ili nasi tukifanya vitu vyetu tusilaumiane mahali? Nani hakuwasikia? Si ni kina Goodluck, Mahita, Jumanne, na yule mwenzao mwingine?
Punguza mihemuko ya kisiasa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Tusishabikie huu upumbavu wa Police kupiga risasi watuhumiwa....

Iko hivi mtu unatoka jioni kwenda dukani kununua mahitaji... Wakati unarudi nyumbani ghafla unakutana na marafiki kadhaa kijiweni... Mnasalimiana kimtaani... Oyaa mwanangu..... Ghafla defender ya Polisi hii hapa...
Mnachukuliwa kijiwe chote.. Pamoja na wapita njia wa karibu... Pamoja na wengine...

Kesho ndugu wanapigiwa simu... Flani flani njoo hospitali flani.... Ukienda unaulizwa unamjua huyu... Hapo ni morchuary.....

Jamani tusishabikie huu mchezo...

Hawa polisi wakiendelea kupata kichwa cha hongera.... Bajeti ya kununua risasi itaongezeka... Maana hawa jamaa zetu huwa hawajui kupima kwa kiasi....
Watarusha risasi vijiwe vyote.... Itakuwa ni kila mtaa rambirambi
Polisi si wajinga kiasi hicho....


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Police uogopa jambazi kuliko kibaka, jambazi ni SAwa na komandoo. Jambazi utumia mbinu zote za kimwili na za giza kwa msaada wa waganga Ili afanikishe wizi.
 
Tusishabikie huu upumbavu wa Police kupiga risasi watuhumiwa....

Iko hivi mtu unatoka jioni kwenda dukani kununua mahitaji... Wakati unarudi nyumbani ghafla unakutana na marafiki kadhaa kijiweni... Mnasalimiana kimtaani... Oyaa mwanangu..... Ghafla defender ya Polisi hii hapa...
Mnachukuliwa kijiwe chote.. Pamoja na wapita njia wa karibu... Pamoja na wengine...

Kesho ndugu wanapigiwa simu... Flani flani njoo hospitali flani.... Ukienda unaulizwa unamjua huyu... Hapo ni morchuary.....

Jamani tusishabikie huu mchezo...

Hawa polisi wakiendelea kupata kichwa cha hongera.... Bajeti ya kununua risasi itaongezeka... Maana hawa jamaa zetu huwa hawajui kupima kwa kiasi....
Watarusha risasi vijiwe vyote.... Itakuwa ni kila mtaa rambirambi
Ficha UPUMBAVU wako,
Hatuna polisi vichaa nchi Hii wa kurusha rusha hovyo Kama unavotaka kutuaminisha.
 
Mwenyezi Mungu angeweza kukukutanisha wewe na Panya Road siku moja wakutie adabu ila wasikuuue ili upate funzo. DeepPond unamuona Mpuuzi huyu.
Mtoa mada Ni mpumbavu Sana,
Usipoteze muda kubishana nae,
Yuko desperate sana kipindi hiki,
 
Wapi umeona anatetewa panya road? Nini tofauti ya panya road na wewe "Goodluck' na wenzako mnayeuwa washukiwa au mliotokomea na kina Ben Lijenje Azory na wengi mnakojua ninyi?

Ama kwa hakika hamna tofauti yoyote na panya road wenyewe.

Zingatia tofauti ya panya road na Washukiwa.
Twambie wewe Basi,
Panyaroad ndo kina nani
 
Mtoa mada Ni mpumbavu Sana,
Usipoteze muda kubishana nae,
Yuko desperate sana kipindi hiki,

Wapumbavu hushadadia nyuzi za watu kama wameitwa vile. Zaidi sana huwa hatushughuliki nao, kwa miaka lukuki sasa:

IMG_20220926_210510_807.jpg
 
Back
Top Bottom