Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Kachanganyikiwa Huyo Mtu.Kalpana Jana hukutimiza nilichoomba ufanye. Umeamkaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachanganyikiwa Huyo Mtu.Kalpana Jana hukutimiza nilichoomba ufanye. Umeamkaje?
Kuleni chuma hiko. Achaneni na KALPANA wangu.Kachanganyikiwa Huyo Mtu.
Huku kwetu tunakenua tu.Kuleni chuma hiko. Achaneni na KALPANA wangu. View attachment 2959367
Hata CCM ni mbovu na ndio inayizalisha mabwege kama wewe, hama Simba endelea kuwa bwege wa CCM 🐸🐸wahed weye.Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki
nakushauri uwe mvumilivu,kuna shida ndio lakini sisi yanga tulipitia hizo shida lakini,hatukuzira timu,tukiendelea kuwa nayo mpaka leo tupo kidogo pazuri,sasa mkiizira timu nani ataijenga?Maoni ya wadau
Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando
mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki. Hatuwez kutatua matatizo yetu kwa kuamini kuwa Sisi tunateam nzuri bali tutakuw wasindikizaji t, ukweli nikwamba yanga anatim nzuri ya kishindani kila mchezaj akipew namba unaona namna anavyopambana sio simba
Ni mawazo yangu lakini..
Je hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?View attachment 2959319
Timu ni kama kabila ndugu yangu hatuwezi kubadili!!!!!Maoni ya wadau
Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando
mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki. Hatuwez kutatua matatizo yetu kwa kuamini kuwa Sisi tunateam nzuri bali tutakuw wasindikizaji t, ukweli nikwamba yanga anatim nzuri ya kishindani kila mchezaj akipew namba unaona namna anavyopambana sio simba
Ni mawazo yangu lakini..
Je hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?View attachment 2959319
Huyo ni Topolo lo mwenzako.nakushauri uwe mvumilivu,kuna shida ndio lakini sisi yanga tulipitia hizo shida lakini,hatukuzira timu,tukiendelea kuwa nayo mpaka leo tupo kidogo pazuri,sasa mkiizira timu nani ataijenga?
Labda wanampiga cha mwisho kuondoa hangover ya utopolo kufanya vibaya.Muda wote alikuwa anatukana na kufyonya huku akitaja jina la Fred. Sasa nikamuomba 30 to 45 minutes after mpira kuisha, anicheki ili kucomfirm kama Yuko salama.
Ila naona kimya mpaka muda huu. [emoji28]
Utopolo×Labda wanampiga cha mwisho kuondoa hangover ya utopolo kufanya vibaya.
Nimesoma heading ya uzi na kufananisha na content ya uzi wenyewe, naona havihusiani..!! Heading unaiaga 5imba lakini content unataka wachezaji wa 5imba watafutiwe kazi nyingine..!!Maoni ya wadau
Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando
mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki. Hatuwez kutatua matatizo yetu kwa kuamini kuwa Sisi tunateam nzuri bali tutakuw wasindikizaji t, ukweli nikwamba yanga anatim nzuri ya kishindani kila mchezaj akipew namba unaona namna anavyopambana sio simba
Ni mawazo yangu lakini..
Je hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?View attachment 2959319
AaaahaaaAcha hasira waamini mastraika wetu hatari kama Papaaa Omary wa Njombe na Fredy Kulwa watatuvusha salama ligi kuu ni yetu na mwakani tutashiriki shirikisho au ikishindakana kabisa tutashiriki mashindano ya ramadhani cup.
AahaaaKuleni chuma hiko. Achaneni na KALPANA wangu. View attachment 2959367
Hapna hakai dodoma Yuko hapa dodoma ,ilazo Ni jirani yangu kbsa tunasali nae jumuia mojaUlimuomba Nini mkuu [emoji23][emoji23]
. unfortunately Kalpana Alifaint Jana Baada mpira kuisha .....Kwa taarifa za awali naskia bado hajaamka ....yupo hospital ya kibondo kule kigoma
Maoni ya wadau
Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando
mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki. Hatuwez kutatua matatizo yetu kwa kuamini kuwa Sisi tunateam nzuri bali tutakuw wasindikizaji t, ukweli nikwamba yanga anatim nzuri ya kishindani kila mchezaj akipew namba unaona namna anavyopambana sio simba
Ni mawazo yangu lakini..
Je hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?View attachment 2959319utakuwa fisi wewe
Zebedayo kavaa kanzu ya Oman leoMaoni ya wadau
Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando
mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki. Hatuwez kutatua matatizo yetu kwa kuamini kuwa Sisi tunateam nzuri bali tutakuw wasindikizaji t, ukweli nikwamba yanga anatim nzuri ya kishindani kila mchezaj akipew namba unaona namna anavyopambana sio simba
Ni mawazo yangu lakini..
Je hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?View attachment 2959319