Kushabikia Tena Simba bye bye

Kushabikia Tena Simba bye bye

Kachanganyikiwa Huyo Mtu.
Kuleni chuma hiko. Achaneni na KALPANA wangu.
JamiiForums406442391.jpg
 
Maoni ya wadau

Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando

mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki. Hatuwez kutatua matatizo yetu kwa kuamini kuwa Sisi tunateam nzuri bali tutakuw wasindikizaji t, ukweli nikwamba yanga anatim nzuri ya kishindani kila mchezaj akipew namba unaona namna anavyopambana sio simba

Ni mawazo yangu lakini..

Je hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?View attachment 2959319
nakushauri uwe mvumilivu,kuna shida ndio lakini sisi yanga tulipitia hizo shida lakini,hatukuzira timu,tukiendelea kuwa nayo mpaka leo tupo kidogo pazuri,sasa mkiizira timu nani ataijenga?
 
Maoni ya wadau

Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando

mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki. Hatuwez kutatua matatizo yetu kwa kuamini kuwa Sisi tunateam nzuri bali tutakuw wasindikizaji t, ukweli nikwamba yanga anatim nzuri ya kishindani kila mchezaj akipew namba unaona namna anavyopambana sio simba

Ni mawazo yangu lakini..

Je hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?View attachment 2959319
Timu ni kama kabila ndugu yangu hatuwezi kubadili!!!!!
Usimuangushe mwalimu wako wa kiswahili....'mbio za sakafuni huishia ukingoni ,hakuna marefu yasiyo na ncha'
Muda wa sanaa za Mr jaribu tena na Mangungu unaelekea mwishoni!!!
 
nakushauri uwe mvumilivu,kuna shida ndio lakini sisi yanga tulipitia hizo shida lakini,hatukuzira timu,tukiendelea kuwa nayo mpaka leo tupo kidogo pazuri,sasa mkiizira timu nani ataijenga?
Huyo ni Topolo lo mwenzako.
 
Muda wote alikuwa anatukana na kufyonya huku akitaja jina la Fred. Sasa nikamuomba 30 to 45 minutes after mpira kuisha, anicheki ili kucomfirm kama Yuko salama.

Ila naona kimya mpaka muda huu. [emoji28]
Labda wanampiga cha mwisho kuondoa hangover ya utopolo kufanya vibaya.
 
Maoni ya wadau

Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando

mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki. Hatuwez kutatua matatizo yetu kwa kuamini kuwa Sisi tunateam nzuri bali tutakuw wasindikizaji t, ukweli nikwamba yanga anatim nzuri ya kishindani kila mchezaj akipew namba unaona namna anavyopambana sio simba

Ni mawazo yangu lakini..

Je hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?View attachment 2959319
Nimesoma heading ya uzi na kufananisha na content ya uzi wenyewe, naona havihusiani..!! Heading unaiaga 5imba lakini content unataka wachezaji wa 5imba watafutiwe kazi nyingine..!!
 
Acha hasira waamini mastraika wetu hatari kama Papaaa Omary wa Njombe na Fredy Kulwa watatuvusha salama ligi kuu ni yetu na mwakani tutashiriki shirikisho au ikishindakana kabisa tutashiriki mashindano ya ramadhani cup.
Aaaahaaa

Naunga mkono hoja
 
Ulimuomba Nini mkuu [emoji23][emoji23]

. unfortunately Kalpana Alifaint Jana Baada mpira kuisha .....Kwa taarifa za awali naskia bado hajaamka ....yupo hospital ya kibondo kule kigoma
Hapna hakai dodoma Yuko hapa dodoma ,ilazo Ni jirani yangu kbsa tunasali nae jumuia moja
 
Mashabiki wa Simba bhana, yaani timu ikipata matokeo ndo watu wanajifanya kuumizwa na mwenendo wa timu.
 
Maoni ya wadau

Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando

mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki. Hatuwez kutatua matatizo yetu kwa kuamini kuwa Sisi tunateam nzuri bali tutakuw wasindikizaji t, ukweli nikwamba yanga anatim nzuri ya kishindani kila mchezaj akipew namba unaona namna anavyopambana sio simba

Ni mawazo yangu lakini..

Je hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?View attachment 2959319utakuwa fisi wewe
 
Maoni ya wadau

Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando

mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki. Hatuwez kutatua matatizo yetu kwa kuamini kuwa Sisi tunateam nzuri bali tutakuw wasindikizaji t, ukweli nikwamba yanga anatim nzuri ya kishindani kila mchezaj akipew namba unaona namna anavyopambana sio simba

Ni mawazo yangu lakini..

Je hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?View attachment 2959319
Zebedayo kavaa kanzu ya Oman leo
 
Back
Top Bottom