Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
KalpanaHajaamka mpaka Sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KalpanaHajaamka mpaka Sasa
Kuleni chuma hiko. Achaneni na KALPANA wangu. View attachment 2959367
Kama ni hujuma ina maana wachezaji ni bora? Hujuma Hadi kwa mashujaa?Inaumiza sana mkuu.....ni hujumaaa[emoji24][emoji24][emoji23]
Na huo ndio mtazamo wa mabwege wapumbavu na malofa kama wewe.Ccm ni tasisi imara + Chama dola
Mpaka tufe
😁😁wanacheza kama wametoka jando
Na mfe kweli 😂Mpaka tufe
Wana simba hatuzimiagi hivyo hovyoUlimuomba Nini mkuu [emoji23][emoji23]
. unfortunately Kalpana Alifaint Jana Baada mpira kuisha .....Kwa taarifa za awali naskia bado hajaamka ....yupo hospital ya kibondo kule kigoma
Mkuu vipi ile simulizi yako mpyaKalpana Jana hukutimiza nilichoomba ufanye. Umeamkaje?
Iliondolewa jukwaani mkuu. Mpaka next time nitaleta nyingineMkuu vipi ile simulizi yako mpya
Bila CCM.....usingekuwa keyboard warriors unfekuwa mkimbizi.kama wasomaliNa huo ndio mtazamo wa mabwege wapumbavu na malofa kama wewe.
Kutwa nzima mnaimba Simba mbovu utadhani hiyo Simba ndio utawaletea mlo.
CCM wameminya haki zenu zote, badala mpambane kuiondoa CCM, mnapambana kuisimanga Simba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]Mafala wakubwa.
Sasa s mpaka imalizwe haiwez Isha TU ivi iviAcha woga wewe club ni taasisi hivyo litakwisha.
Kwahiyo mwamba umepiga kama Ahmed Ally..!! Zilongwa mbali zitendwa mbali..!!Kuhama timu sio simple