Kushabikia Tena Simba bye bye

Ccm ni tasisi imara + Chama dola
Na huo ndio mtazamo wa mabwege wapumbavu na malofa kama wewe.

Kutwa nzima mnaimba Simba mbovu utadhani hiyo Simba ndio utawaletea mlo.

CCM wameminya haki zenu zote, badala mpambane kuiondoa CCM, mnapambana kuisimanga Simba 😂😂😂😂

🐸🐸🐸🐸Mafala wakubwa.
 
Bila CCM.....usingekuwa keyboard warriors unfekuwa mkimbizi.kama wasomali

Madarasa imekujengeam... Umeme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…