Kushabikia Tena Simba bye bye

Bila CCM usingekuwa mjinga wa kiwango cha juu ulicho.

Na utabaki mjinga wakati wote wa CCM kuwa madarakani.
Huku CCM tunawaona nyie wapinzani ndo wajinga [emoji23][emoji23] coz hamtaki kukubali juhudi za serikali
Mmekukuwa brainwashed
 
Acha kusaliti chama mwamba,mke au mume akizingua dawa inaweza kuwa sii kumwachašŸ˜…
 
Naona umesharudi likizo, baada ya "KUFURUSHWA" kule South! Jamaa walipumzika kidogo! Machungu yamepungua, sasa unaendeleza ile kazi yako ya "kupambana" na Simba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…