Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
What if Lissu angekufa, ina maana uchunguzi usingefanyika ?Tundu lissu mwenyewe hakutaka uchunguzi ufanyike mana alikimbia yeye pamoja na shahidi namba moja ( dereva ) ulitaka Askari waanzie wapi uchunguzi kama mashahidi wote hawataki kutoa ushurikiano?
Leo wakat katiba mkuu wa chadema John Mnyika akiongea amesema kua serekal inatakiwa iwafanyie uchunguz baadh ya watu ambao tayar walikua wamesha toa kaul mbaya juu ya kiongozi wao Mbowe kwa kudai kua maneno walio ongea yanaendana na tukio
Pia chadema wamesema Polis TANZANIA wamkamate mashimo ili wamuhoji sababu anaweza kusaidia katika uchunguz. Ili ni sawa Ila hili apa Lina fikirisha
Ameweza kumtaja Mchungaji Mashimo ili akamatwe ahojiwe Kama kutoa ushirikiano kwa Polis Ila kakataa kuwataja alio kua nao Mbowe ili Polis isiwahoji Sasa niwaulize chadema mnataka polis ifanikishe au ifel?
Kwanin walio kua pamoja na mbowe muwafiche Kuna Sir gani na je wakat mwenyekit Mbowe anashambuliwa wao walikua wanafanya Nini?
Kwani hamuon Kuna umuhim wa kuwaleta au kuwataja wale walio kua na MBOWE ili wahojiwe waweza kulisaidia jeshi la Polis?
Kwann Mashimo ametajwa na hakuepo eneo la tukio Ila walio kuepo wamefichwa mkiulizwa sababu et mnafanya uchaguz
Uchunguz gan uo? Hamtak kuonyesha ushirikiano kwa Polis wakiacha kufatilia Mambo yenu mnasema wanatumika why
Chadema ni ze comedy [emoji23][emoji1787][emoji2960]Leo wakati Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika akiongea amesema kuwa serekal inatakiwa iwafanyie uchunguzi baadhi ya watu ambao tayari walikua wameshatoa kauli mbaya juu ya kiongozi wao Mbowe kwa kudai kua maneno waliyo ongea yanaendana na tukio.
Pia, Chadema wamesema Polisi TANZANIA wamkamate Mashimo ili wamuhoji sababu anaweza kusaidia katika uchunguz. Hili ni sawa ila hili apa linafikirisha.
Ameweza kumtaja Mchungaji Mashimo ili akamatwe ahojiwe Kama kutoa ushirikiano kwa Polis Ila kakataa kuwataja aliokuwa nao Mbowe ili Polisi isiwahoji, sasa niwaulize chadema mnataka polisi ifanikishe au ifeli?
Kwanini waliokuwa pamoja na Mbowe muwafiche Kuna Sir gani na je wakat mwenyekit Mbowe anashambuliwa wao walikua wanafanya Nini?
Kwani hamuoni kuna umuhimu wa kuwaleta au kuwataja wale waliokuwa na MBOWE ili wahojiwe, waweza kulisaidia jeshi la Polisi?
Kwanini Mashimo ametajwa na hakuwepo eneo la tukio ila waliokuwepo wamefichwa? Mkiulizwa sababu et mnafanya uchunguzi. Uchunguzi gan huo? Hamtak kuonyesha ushirikiano kwa Polis wakiacha kufatilia Mambo yenu mnasema wanatumika, why?
Siasa kama ni mbaya si waifute tu jamani.Jeshi la polisi laonya tukio la Kushambuliwa kwa Mbowe lisitumike kisiasa, lasema Mbowe hakushambuliwa kwa Sime, Panga wa Silaha.
Soma zaidi->
Tukio la Kushambuliwa kwa Mbowe lisitumike kisiasa -Muroto.
https://t.co/rTEEdWAcfN
Ungekuwepo maana maiti zingepelekwa mortuary zikafanyiwe post mortem simu zao zingeangaliwa mazungumzo ya mwisho na vitu kama hivyo ambavyo ni ngumu kama mtu yuko haiWangekufa kusingekuwa na uchaguzi?
Anasemekana alikuwa na mbunge wa viti maalumu na ndio alietoa taarifa polisi,swali saa Saba usiku uko na mbunge wa kike nyumbani kwako mnafanya Nini???Wengine wanasema ni ugomvi wa kimapenzi tusubiri uchunguzi
Unawashwa kunako wewe!Utalipwa na nini wakati Mbowe Mugabe kakomba ruzuku B8 yote!
Angeanzia kwa Polepole ambae kwa niaba chama chake, alikuwa ameandaa barua ya 'pole' kwa CHADEMA na Lissu, siku moja kabla ya tukio.Tundu lissu mwenyewe hakutaka uchunguzi ufanyike mana alikimbia yeye pamoja na shahidi namba moja ( dereva ) ulitaka Askari waanzie wapi uchunguzi kama mashahidi wote hawataki kutoa ushurikiano?
🚮🚮🚮 Uatendelea kuwa mramba nyayo mpaka utakufaMimi nina mashaka Inawezekana hizi ni njama ndani ya chama kumpoteza Mbowe ili kuwapokonya watu wa Kilimanjaro Chama chao.
Wangeanzia kwa Polepole ambae kwa niaba ya chama chake, alikuwa ameandika barua ya 'pole' kwa CHADEMA na Lissu, siku moja kabla ya tukio.Tundu lissu mwenyewe hakutaka uchunguzi ufanyike mana alikimbia yeye pamoja na shahidi namba moja ( dereva ) ulitaka Askari waanzie wapi uchunguzi kama mashahidi wote hawataki kutoa ushurikiano?