Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Tundu lissu mwenyewe hakutaka uchunguzi ufanyike mana alikimbia yeye pamoja na shahidi namba moja ( dereva ) ulitaka Askari waanzie wapi uchunguzi kama mashahidi wote hawataki kutoa ushurikiano?
Muwe mnaangalia vyakula mnavyojua,si kubugia tu maharage hata kama hayajawiva.
 
Mbona kwenye inshu ya Ben Saa8 hamkusema Kubenea akamatwe ilihali mlimsikia mwenyewe kwa maandishi yake, akikiri kujua mahali Ben aliko na sababu ya kujificha?
Mashimo ni Nabii na unabii hauna ushahidi katika ulimwengu wa mwili labda wote wawe kwenye ulimwengu wa Roho.
 
Ungekuwepo maana maiti zingepelekwa mortuary zikafanyiwe post mortem simu zao zingeangaliwa mazungumzo ya mwisho na vitu kama hivyo ambavyo ni ngumu kama mtu yuko hai

Kwani mlivyodukua mawasiliano ya kina Kinana walikuwa mortuary? Kwanini msitumie mbinu hizo hizo kujua kilichokuwa kwenye simu zao?
 
Polisi wafanye kazi kwa weledi wao kubaini wahalifu walihusika
 
Kwani mlivyodukua mawasiliano ya kina Kinana walikuwa mortuary? Kwanini msitumie mbinu hizo hizo kujua kilichokuwa kwenye simu zao?
Watu wapotezw rasilimali kumsaidia mtu ambae haonyeshi ushirikiano BOSS huo ujinga hakuna jeshi linalofanya Afrika nzima
 
Anasemekana alikuwa na mbunge wa viti maalumu na ndio alietoa taarifa polisi,swali saa Saba usiku uko na mbunge wa kike nyumbani kwako mnafanya Nini???
Kuna kosa gani kuwa alipokuwa.
 
Hili tukio ni kubwa na linasikitisha. Tafadhali acha kufundisha vyombo vya dola vifanye nini. Tumefika pabaya kwa sasa.
 
Watu wapotezw rasilimali kumsaidia mtu ambae haonyeshi ushirikiano BOSS huo ujinga hakuna jeshi linalofanya Afrika nzima

Ni raslimali Kiasi gani mlipoteza kwa kudukua mawasiliano ya kina Kinana?
 
“Wewe unaisumbua sana Serikali” .. kuna viongozi wa nchi hawana damu ya Kitanzania
 
Katika eneo husika ni lazima kutakuwa na CCTV cameras. Na safari hii, tofauti na ilivyokuwa wakati wa tukio la kumdhuru Lissu zikapate kutumiwa pia ktk uchunguzi. Itakuwa ni jambo lenye hisia mbaya, endapo yatatolewa maelezo kuwa hazifanyi kazi ama zimeondolewa. Na pia ni lazima tujiulize ni kwa nini ktk matukio yote mawili ya kuwadhuru hawa viongozi, kuna kuwa hakuna sababu za kuridhisha kw walinzi kutokuwepo lindoni?

Hivi kweli inaingia akilini ya kwamba walinzi kutokuwepo lindoni kutokana na kuondolewa maeneo wanaoishi viongozi kutokana na ugonjwa wa Corona! Si tumepewa taarifa rasmi ya kuwa gonjwa hili si tishio tena hapa nchini, na tena wagonjwa wapo wachache ambao wapo Dar.
 
Chadema sisa imewashinda sasa wanatafuta visingizio,
Eti mwenyekiti ashushwe kisha dereva asijue kama bosi wake ameingia ndani salama?
Na kama derva aliondoka mapema kabla mbowe hajaingia ndani basi huyo deleva anajua kinachoendelea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuandika tu umedhihirisha kuwa wewe ni matanga, bisha??
 
Sisi ndio tunawafundisha au chadema IV kuwaambia Askari mkamaten fulani hii ni Nini?
Hili tukio ni kubwa na linasikitisha. Tafadhali acha kufundisha vyombo vya dola vifanye nini. Tumefika pabaya kwa sasa.
 
Chadema sisa imewashinda sasa wanatafuta visingizio,
Eti mwenyekiti ashushwe kisha dereva asijue kama bosi wake ameingia ndani salama?
Na kama derva aliondoka mapema kabla mbowe hajaingia ndani basi huyo deleva anajua kinachoendelea.
Sio kweli, kumbuja nyumba ya Mbowe ilikua juu ghorofani, dereva yupo chini, atasubiri chini atajuaje kama ameshafika nyumbani kwake?, kama hakuna mzigo wa kumsaidia, dereva hapaswi kuhakikisha kwamba ameingia ndani, hiyo ni kazi ya walinzi kumpeleka hadi mlangoni.
 
Uchunguzi gan huo? Hamtak kuonyesha ushirikiano kwa Polis wakiacha kufatilia Mambo yenu mnasema wanatumika, why?
Mpwa kwani wewe kitu gani kinakuwasha? aliyejeruhiwa ni kiobgozi wa Chadema na sio CCM, wewe ni CCM, sasa mambo ya Chadema yanakuhusu nini? unaweza kufunga bakuli lako ukatuachia sisi wenyewe?
 
"Taarifa ya Kamanda wa Polisi imetoa viashiria kwamba, kama ilivyokua kwa tukio la kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, ambapo polisi walijitokeza harakaharaka na kutoa kauli ambazo hazionyeshi uhalisia wa tukio.>>> https://t.co/BJ02dEStLC

Katika tukio hili napo polisi wamejitokeza wakijaribu kueleza kama vile ni tukio la kawaida na wakitaka lisihusishwe na siasa" -John Mnyika. #HATUCHUJI #KwanzaHabari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…