Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Uchunguzi ufike mwisho na taarifa ya uchunguzi itolewe.

Hizo marufuku wanazotoa sijui wanazitoa kwa malengo gani, kama hamtaki tukio lihusishwe na siasa mnataka lihusishwe na Corona au kitu gani?!

Tukio lolote lazima lihusishwe na shughuli ya mtu anayoifanya, kujaribu kulitoa nje ya hapo ni sawa na kutengeneza mfereji upeleke maji mlimani.
Kufika mwisho wa uchunguzi ni kama tu huo uchunguzi upo kweli. Tofauti na hapo kama ilivyotokea huko nyuma muathirika ndie atakaepewa uhaini.
 
Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma, Gilles Muroto amesema leo alfajiri walipokea taarifa kutoka kwa Mbunge wa Viti Maaalum, akiwa na Dereva wa Mbowe, Wilhad Urassa (34) kuwa Mwenyekiti huyo wa CHADEMA wakati akipandisha ngazi kuelekea ndani kwake inadaiwa alishambuliwa na watu 3

Kamanda Muroto amesema “Inadaiwa watu hao 3 waliokuwa wamevaa jackets (makoti) walimshambulia kwa kumkanyaga na kumpiga mateke hasa mguu wake wa kulia. Kutokana na taarifa hizo majeruhi alipelekwa katika Hospitali ya Ntyuka anakopatiwa matibabu na hali yake inaendelea vizuri.”

Ameeleza, “Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi bila kuacha chochote ili kupata ukweli na usahihi wa tukio hilo. Tukio hili lisitumike kisiasa au kwa njia yoyote ya kujiongezea umaarufu kwa mtu au watu na ni marufuku kuingilia uchunguzi huo.”

Amesisitiza kuwa eneo lile lina Walinzi na Majirani watafanya uchunguzi kujua ukweli wa tukio. Pia, amewaonya Wafuasi wa CHADEMA wanaohamasishana kukutana kwani Jeshi la Polisi lipo macho na yeyote anayefanya mikusanyiko isiyo halali atashungulikiwa kweli kweli

Aidha, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema Polisi wanapofanya Uchunguzi hawapaswi kufunga milango ya uchunguzi na kuliita hili ni tukio la kawaida kwasababu viashiria vinaonesha tukio hili lina muelekeo wa kisiasa

Mnyika amesema kati ya watu waliokuwa wanamshambulia Mbowe wapo waliosikika wakisema “Wewe unaisumbua sana Serikali, tunakushughulikia tuone kampeni utafanyaje.” Ametoa wito kwa Polisi na vyombo vya Usalama kuchunguza tukio hilo kwa mapana ili waliohusika wachukuliwe hatua

Amesema siku chache kabla ya Mbowe kushambuliwa, katika mitandao ya Kijamii kulisambaa video ya mtu anayejiita Mchungaji wa Kitaifa, Mchungaji Mashimo akisema “Kuna tukio litatokea mbele kwa Kiongozi wa Upinzani kushambuliwa” na kati ya majina aliyoyataja, jina Freeman Mbowe lilikuwepo. Ametoa wito kwa Polisi wamkamate ili aleeze hizo kauli zake.
Muroto anataka kujua ukweli wa tukio? Na kwamba tukio hilo lisitumike kisiasa kutafutia umaarufu? Hahahaha OK mimi nimeshaelewa
 
Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma, Gilles Muroto amesema leo alfajiri walipokea taarifa kutoka kwa Mbunge wa Viti Maaalum, akiwa na Dereva wa Mbowe, Wilhad Urassa (34) kuwa Mwenyekiti huyo wa CHADEMA wakati akipandisha ngazi kuelekea ndani kwake inadaiwa alishambuliwa na watu 3

Kamanda Muroto amesema “Inadaiwa watu hao 3 waliokuwa wamevaa jackets (makoti) walimshambulia kwa kumkanyaga na kumpiga mateke hasa mguu wake wa kulia. Kutokana na taarifa hizo majeruhi alipelekwa katika Hospitali ya Ntyuka anakopatiwa matibabu na hali yake inaendelea vizuri.”

Ameeleza, “Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi bila kuacha chochote ili kupata ukweli na usahihi wa tukio hilo. Tukio hili lisitumike kisiasa au kwa njia yoyote ya kujiongezea umaarufu kwa mtu au watu na ni marufuku kuingilia uchunguzi huo.”

Amesisitiza kuwa eneo lile lina Walinzi na Majirani watafanya uchunguzi kujua ukweli wa tukio. Pia, amewaonya Wafuasi wa CHADEMA wanaohamasishana kukutana kwani Jeshi la Polisi lipo macho na yeyote anayefanya mikusanyiko isiyo halali atashungulikiwa kweli kweli

Aidha, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema Polisi wanapofanya Uchunguzi hawapaswi kufunga milango ya uchunguzi na kuliita hili ni tukio la kawaida kwasababu viashiria vinaonesha tukio hili lina muelekeo wa kisiasa

Mnyika amesema kati ya watu waliokuwa wanamshambulia Mbowe wapo waliosikika wakisema “Wewe unaisumbua sana Serikali, tunakushughulikia tuone kampeni utafanyaje.” Ametoa wito kwa Polisi na vyombo vya Usalama kuchunguza tukio hilo kwa mapana ili waliohusika wachukuliwe hatua

Amesema siku chache kabla ya Mbowe kushambuliwa, katika mitandao ya Kijamii kulisambaa video ya mtu anayejiita Mchungaji wa Kitaifa, Mchungaji Mashimo akisema “Kuna tukio litatokea mbele kwa Kiongozi wa Upinzani kushambuliwa” na kati ya majina aliyoyataja, jina Freeman Mbowe lilikuwepo. Ametoa wito kwa Polisi wamkamate ili aleeze hizo kauli zake.
Uchunguzi wa tukio la Lissu uliishia wapi ?
 
Unyama kama huu mpaka lini,alipigwa risasi Lissu mpaka leo hakuna uchunguzi wowote .
Ifike mahali tuseme inatosha .
Tundu lissu mwenyewe hakutaka uchunguzi ufanyike mana alikimbia yeye pamoja na shahidi namba moja ( dereva ) ulitaka Askari waanzie wapi uchunguzi kama mashahidi wote hawataki kutoa ushurikiano?
 
Rais wa Sudan aliye lupango Al Bashir alikuwa na wapambe duni na wajinga kama wewe , kilichomkuta unakijua
Kwa hiyo kilichomkuta Mbowe Mugabe jana alikuwa na wapambe ngangari kwa nini wasimsaidie, mtu ameanguka bafuni kwa magonjwa yake ya kuzimia mara kwa mara alafu mnadai kapigwa na wasiojulikana!
 
Leo chadema wamethibitisha kua muda wote walikua Wana wahadaa watu kua Serikal ilitoa ulinzi na camera eneo la tukio ambalo alishambuliwa Tundulisu

Leo katibu mkuu wa chadema John Mnyika amewambia waandish wa habari kua Baada ya tukio la shambulio la Tundulisu Dodoma serekal na Bunge vilikaa na kupanga ulinzi kwenye majengo yote ya serekal na kufunga CCTV camera na kuahid kuhakikisha ulinzi wa viongozi Jijin Dodoma. Na kuhoji Kwanini Serikal ili ahid ulinzi wa viongozi lakini Mh Mbowe kavamiwa Tena eneo la serekal?

My point Kama chadema wanajua kabisa kua kipind anashambuliwa Tundulisu hapakua na Ulinzi
Kwann wanailaum Serikal na kigezo Cha kutokua na security camera ndio ushaid kwao? Je tuseme chadema tukio walilipanga wao kwa udhaifu wa kutokua na Camera semehem ambayo ilistai kua na camera?

Kama mmnajua wakat anashambuliwa Tundulisu hapakua na mlinzi Kwann mnasema ulinzi ulitolewa?

 
Back
Top Bottom