Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la nini wakati anatoa taarifa ya kinachoendelea!HUYU NAYE NI TATIZO KUBWA.
Wa olasiti mwambie Mbowe alete mkanda wa video alioahidi atautoa kama ushahidi!Asiwatie mbaroni hao wa Tundu Lisu tu bali aanze na wale wa Arusha Olasiti, wale waliomuua Mawazo na Saanane. Akiweza hayo, tutajua kweli ana kiu ya kumaliza genge la wasojulikana
Ndugu ulitegemea wakubaliwe?, kamwe hawawezi kukubali kuvuliwa nguo mchana kweupe! Pale Soweto Arusha ilidaiwa tume huru ya kimahakama nayo waliikataa. Mnakumbuka jinsi polisi ilivyo wapiga lisasi watu waliomkimbiza mtuhumiwa?. Amini nakwambia hatokamatwa yeyote katika hili!!!...... Sasa hivi viroba vya maiti hawatupi mto ruvu tena bali kule nungwii baharini!. Naskitika kuwa tumekosa kiongozi miongoni mwetu hadi tuanze kuongozwa kutoka Kigali kweli??????...Inaelekea waliomdhuru Lissu wanafahamika na hakuna wa kuwachukulia hatua.
Exactly.Huyu mwigulu hakuelimika Bali ali-graduate
Hakuna aliyesema vyombo vyetu havina weledi wa kushughulikia suala la Lissu. Tatizo ni kuwa according to CHADEMA serikali ni kati ya SUSPECTS wa shambulio hilo hivyo wanapoteza credibility ya kuchunguza suala hili..
Too bad, waziri mwenye dhamana hawezi kugundua hiki kituExactly.
How can you allow one of the suspects to do the investigation?
Wwkitoa kibali,ikabaki suala la kugharimikia watavuna aibu mkuu.Kwa maoni yangu tu lakini; Namshauri Mh Mwingulu, ili kuiosha serekali yetu tukufu na pia jeshi letu pendwa la polisi, waseme hivi; Kama mlimpeleka wenyewe Nairobi kutibiwa, basi malizieni pia kwa kuwaleta hao wapelelezi wenu waje kupeleleza kwa gharama yenu.
Si Chadema wanataka hayo?? Wapeni ruksa kwani mtoto akililia wembe mpe.